Matokeo yasio rasmi NDIO inaongoza visiwani Zanzibar katika Kura ya Maoni
Ujumbe was SMS tumepokea kutoka kwa Skh Hassan wa Zanzibar
Mahojiano ya Ally Saleh na Ali Rashid
Mahojiano ya Ally Saleh na Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Salum,Kassim
-
-
Maalim Seif apiga kura ya Maoni na kusema: “Zanzibar Daima!” (Picha kutoka FB ya Ghassany)
-
-
M.Seif akipiga kura ya NDIO (Picha kutoka FB ya Ghassany)
-
-
Wananchi wakijipanga kusubiri kupiga kura (Picha kutoka FB ya Ghassany)
-
-
Dk.Karume akitia kura ya NDIO (Picha na Ramadhan Othman Ikulu.)
-
-
Dk.Karume – kura ya NDIO (Picha na Ramadhan Othman Ikulu.)
Picha zote kutoka FB ya Ghassany
Tangazo:
Kwa waliopo nyumbani tunaomba tupeane update ya kinachojiri nyumbani kufuatia Kura ya Maoni leo hii.Tafadhali acha habari hizo kama ni maoni, au kama huna internet access unaweza tuma ujumbe wa sms kwa namba 0031 684440925
Shukurani kwa ushirikiano wenu
P:S
**Tunaomba tetezi sisichapishwe kwenye machapaisho mapya kurahisisha watu kuona habari za Kura ya maoni kwenye chapisho hili ambalo litakuwa la mwanzo kwa wekeend nzima hadi mchakato huu ukimalizika.
Sikiliza repoti ya Ally Saleh,
Endelea kusoma Vidokezo:Mchakato wa kura ya maoni Zanzibar
Mr. Mohamed Said introducing Dr. Harith Ghassany’s new book “Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru”. The presentation was infront of MSAUDI members at University of Dar-es-Salaam, Tanzania.

Endelea kusoma Video:Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru
Wazalendo hapa kuna matokeo zaidi ya kura ya maoni ambayo tumeyapokea na bado hayajawa rasmi.
UNGUJA
Matokeo ya majimbo:
Bububu - Ndio: 4978; Hapana: 1622
M/Kwerekwe – Ndio: 3017; Hapana: 2174
Kiembe Samaki - Ndio: 1768; Hapana: 1086
Dole - Ndio: 2429; Hapana: 2527
Kikwajuni - Ndio: 3326; Hapana: 2131
PEMBA
Sikupata matokeo na nambari kamili bali ni the nearest whole number. Pia ni matokeo ya vituo na sio majimbo.
Jadida (Wete) - Ndio: 1800; Hapana: 200
Utaani (Wete) – Ndio: 1200; Hapana: 70
Chake Chake – Ndio: 1000;
[...]Endelea hapa “Matokeo zaidi ya kura ya maoni”
Majimbo ya Mji mkongwe na Bububu yasema ndio..
Matokeo zaidi kufuatilia usiku mzima
[...]Endelea hapa “majimbo ya bububu na mji kongwe yesema NDIO”
Unaweza kupata picha zaidi za mchakato wa kura ya maoni katika
[...]Endelea hapa “PICHA ZAIDI ZA KURA YA MAONI”
| 31.07.2010 | 15:00 UTC
Matokeo ya muda ya kura kutangazwa kesho, Zanzibar
Zanzibar
Kura ya maoni nchini Zanzibar imepigwa leo yenye lengo la kuamua ikiwa itakuwa na serikali ya umoja wa kitaifa baada ya uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba ili kusitisha uhasama uliokita mizizi na kuvuruga maendeleo katika kisiwa hicho cha Tanzania kwa miongo kadhaa.
Wapiga kura laki nne waliojiandikisha walishiriki katika Uchaguzi huo unaonuia kupitisha pendekezo la kufanywa marekebisho katika katiba yatakayotenga nyadhifa mbili za makamu wa rais zitakazogawanywa kati ya vyama vitakavyoshika nafasi ya kwanza na ya pili katika uchaguzi wa wawakilishi.
Uhasama kati ya chama kikuu cha CCM na CUF katika kisiwa hicho cha watu milioni 1.2, umekuwa ukikithiri na
[...]Endelea hapa “Dw-wold.de Deutsche welle Swahili Germany”
I am shocked and horrified at Joseph Mavere’s (does rhyme with Nyerere though!) emotional outburst. Because that is all it is: an emotional outburst – based on an incredible degree of ignorance! “Disgrace against Zanzibar State”! Let Mr Mavere tell his readers what exactly is disgraceful about the Zanzibar state. But, at the same time, let him also tell them this: is there anything anywhere in the world that is more DISGACEFUL than the REGULAR and SYSTAMATIC MURDER of ALBINOS? And who does that [in the face of YOUR Biblical teaching ‘Thou Shalt Not Kill’]? Would you care to tell your readers, please, Mr Mavere? And
[...]Endelea hapa “Disgrace against Zanzibar State — RESPONSE”
Kura ya maoni yafanyika Zanzibar
Kisiwa cha Zanzibar
Kura ya maoni inafanyika Zanzibar hii leo, ambayo inalenga kubadili katiba na kuruhusu uundwaji wa serikali za kuwagawana madaraka.
Zaidi ya wapiga kura laki nne walioandikishwa rasmi wanatarajiwa kupiga kura zao.
Chama tawala CCM na chama kikubwa cha upinzani CUF, vyote vinaunga mkono kura hiyo, ambayo inanuiwa kumaliza ghasia zilizokumba uchaguzi wa siku za nyuma visiwani Zanzibar.
Zanzibar ina utawala wake wa ndani chini ya serikali kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ikiwa kura hiyo ya maoni itapitishwa, Zanzibar kwa mara ya kwanza itashuhudia mfumo mpya wa serikali ambapo kutakuwa na rais na makamu wake wawili.
Makamu
[...]Endelea hapa “Report ya BBC Swahili London(uk)”
Matokeo yasio rasmi kutoka Kituo cha Tumekuja
Matokeo ya tumekuja school waliotakiwa kupiga 350, wamepiga 267, kura ndio 231, hapana 33, zilizoharibika 3.
Tumekuja number, wapiga kura 350. wamepiga kura 250 ndio 219, hapana 26, zilizoharibika 5.
Chumba 3, walitakiwa kupiga kura 350, waliopiga 345, ndio 209, hapana 30, ziliharibika 6.
Kituo number4, waliotakiwa kupiga 356, waliopiga kura 252, ndio 224, hapana 26, zilizoharibika.
Kura zote zilizotakiwa kupigwa 1406
Waliojitokeza 1014
NDIO 883
Hapana
[...]Endelea hapa “Matokeo ya Kituo cha Tumekuja [Maoni]“
BBC TUNAWAHESHIMU SANA LAKINI TUNAWAOMBA HIYO PICHA MULIOIWEKA INATUDHALILISHA WAZANZIBAR. ZANZIBAR YA LEO SIO YA 1964 WALA 2005. LEO WATU WANAPIGA KURA KIISLAM NA SIO KIKAFIRI KAMA ILIVYOKUWA IKITOKEZEA KWENYE UCHAGUZI ZILIZOPITA.
TUNAOMBA KUPITIA ALLY SALEH UWAAMBIE JAMAA ZAKO KAMA HAWANA PICHA BASI WACHUKUE HAPA MZALENDO NA TUMESHAWAIDHINISHIA WALA HAWAHITAJI KUOMBA. KAMA MUNAONA TABU BASI NI BORA MUKATUEKEA JAPO YA BAIT AL AJAIB.
UONGOZI WA MZALENDO NAOMBA RADHI KWA KUEKA HABARI HII LAKINI SIJAONA NJIA NZURI YA KUWASILISHA OMBI LANGU ZAIDI
[...]Endelea hapa “SALAM KWA WEB YA BBC YA KISWAHILI”
Zanzibar haikuhitaji kura ya maoni ili kufanya Serikali ya Umoja wa Kitaifa wala haikuweko ndani ya katiba ya Zanzbiar bali ni utaratibu tu wa kusafiana nia, na kuondoa migogoro Zanzibar. Hofu hapa ilikuwa kama ingefanya Serikali ya Umoja wa Kitaifa bila ya kura ya maoni kungetokea vidudu watu wakasema tulifanyiwa tu kura ya Serikali hii lakini haikuwa ridhaa ya Wa-zanzibari. Kwa maana hiyo kuna mantiki ya kufanya kura ya maoni Zanzibar ili kuwa na Serikali ya Umoja wa Kitaifa.
Ushawishi wa Serikali yeneywe pamoja na Viongozi wa ngazi za juu akiwemo Rais mwenyewe ni kuonesha nia njema ya kutaka kuleta maendeleo badal;a ya kudumu na malumbano
[...]Endelea hapa “KURA YA MAONI ZANZIBAR SI DEMOCRACY BALI PROTOCAL TU YA KUFIKIA TUANPOTAKA”
Habari maarufu