|
|
AS
Shk Benn amefanikiwa kupata picha ya baadhi ya vifaa ambavyo vimekwama huko Finland kwa sababu ya fedha za usafirishaji.Vifaa hivi ni idadi ya contena 3, ambazo vimetolewa kama ni msaada na vinaweza kusafirishwa mara moja kupelekwa Zanzibar pindipo kutapatikana fedha za usafirishaji contena hizo 3.
Tunaomba viongozi wa SMZ, wabunge, wawakilishi wetu, mawaziri na hata Rais wetu Dk.Karume ikiwezekana wafanikishe suala hili la usafirishaji wa vifaa hivi ambavyo vitasaidia kwenye hospitali zetu za Zanzibar.
Sisi wananchi tuko kwenye harakati za kupiga harambee, lakini gharama za usafirishaji ni kubwa na hatuna
[...]Endelea hapa “Macontena-Wananchi hima hima michango yenu inahitajika!”
Karibuni tu tulishuhudia ZFA ikipigwa kabari na Tanganyika, na hatimae FIFA kutoa uamuzi kwamba Zanzibar haiwezi kujiunga kama Zanzibar – bali iwe chini ya mwamvuli wa Tanzania.
Huu ni uonevu wa hali ya juu wakati mpira wenyewe timu ya taifa ya Tanzania tumeifunga karibuni tu hawajui mpira licha ya kuwa na kocha kutoka Brazil.
Inapokuja wakati wa uchaguzi wa wachezaji wa kuiwakilisha hiyo inayoitwa Tanzania ni nafasi mbili ama tatu tu wanazochaguliwa wachezaji kutoka Zanzibar! zilizobaki zote ni za wenyewe wasiojua kucheza mpira na kutofika popote, Tanzania haijawahi kukolifai kucheza kombe lolote kubwa duniani miaka yote na Zanzibar hawataki wapewe nafasi ya kujiwakilisha.
Zanzibar ina wachezaji
[...]Endelea hapa “Hata michezo mwatupiga kabari!?”
Na. b.ole.
Zanzibar ni visiwa ambavyo hata hilo jina lake linapotajwa huvutia watu wengi sana duniani. Hii nikutokana na sifa nyingi zinazopatikana kutokana na uzuri pamoja na mambo mengineo ya utamaduni na shughuli za kibiashara za hapo nyuma.
Naamini hata jamaa zetu wabara hapo zamani za kale walikuwa wakiona fahari kwa mtu kusafiri na kufika Zanzibar ilikuwa ni fahari mno kwake.
Leo hii Zanzibar imerudi nyuma na imekuwa ni sehemu ya kuokoa maisha yako tu ,huku shida na matatizo yakizidi kutawala miongoni mwa wananchi bila ufumbuzi.
Ukweli kama tunautaka ni Serkali yetu ndio iliyotufikisha hapa tulipo leo hii. Hatuna budi kuwalaumu wote wale waliohusika
[...]Endelea hapa “SERIKALI YA ZANZIBAR NDIO INAYORUDISHA NYUMA MAENDELEO YA ZANZIBAR.”
 Please read the article from www.guardian.co.uk/world/2010/mar/10/david-kimche-obituary
The person concerned is a vivid evidence of how Israel helped the Infidels to overthrown the Zanzibar Government. This was held because the majority were/are Muslims and to make the Zanzibar island as unsecured place forever. The Israel is continuing to help the sleeping Government the so called Revolutionary Government headed by CCM in undermine and slowdown the democratic process against her own citizens.
It is shame to see the Government denied
[...]Endelea hapa “ISRAEL BEHIND THE ZANZIBAR REVOLUTION”
Nampongeza mhusika aliyeiwakilisha mada hii kwa asilimia mia.
Nikiwa Mzanzibari nitahakikisha ninaposafiri nateremkia ZANZIBAR na si vyeginevyo.
Hongera Mh Amani na Maalim Seif kwa kuwaleta pamoja wazanzibar na kuweka mpele maaslahi ya Nchi na wananchi wazanzibar. Hii ni nemaa kubwa kwa wananchi wa Zanzibar kwani time kama hii ingekuwa watawala wetu wamecha tumiminia Jesh ili kuja kulinda koloni lao na kua wazanzibar wasio na hatia ndani ya Nchi yetu. Lakini Tunamshkuru Mh Amani kuona mbali na kukataa kutumiliwa kwa faida ya wageni. Ikitokea maafa Zanzibar wasirika wakubwa ni wazanzibar wenyewe wenye kwao huondoka na kukimbilia ktk mikoa yao lakini mzanzibar huna pakwenda ukiondoka wewe basi ndugu yako au mama ako ndio umemuasha kufaa. Kwa hio wasirika wa Zanzibar niwazanzibar wenyewe awe Mpemba
[...]Endelea hapa “Ili tumuweze adui wetu Uzanzibar kwanza, Itikadi za chama baadae.Mwenye mapenzi hatumii Jeshi kua tumeshoka.”
Wazanzibari hatutaki wala haturidhii kuona mapato yetu yanakusanywa na bodi ya ukusanyaji wa mapato ya Tanzania(Tanganyika) TRA.
Kwa nini kusiwe na chombo cha ukusanyaji wa mapato cha Zanzibar, ZRA; ambacho kitakusanya mapato ya Zanzibar na kuhakikisha yanafaidisha Wazanzibari?
Leo hii ni jambo la kusikitisha kuona Watanganyika wakitumaliza kwa kukusanya jasho la Wazanzibari na jioni kulitia kwenye boti kuelekea Tanganyika kwa kujifainishana wao, sababu eti Muungano!huu si wizi wa kimacho macho?
Zanzibar ina uwezo na ni haki yake kuwa na chombo cha ukusanyaji wa mapato yake na kuyatumia kwa manufaa ya wananchi wake.
Mapato yetu ya Bandari, Airport na mengineyo leo hii yamekuwa ni mali ya Watanganyika kutugaia
[...]Endelea hapa “ZRA iwe mkusanyaji wa mapato ya Zanzibar- na sio TRA”
Takribani Zanzibar inakufa kutokana na kuekewa mguu na Mkoloni wet Tanganyika, hii ni kuwa Bandari na Airport na biashara zote zimeuliwa Zanzibar kwa maksudi ili wazanzibar waslim amri katika Muungan Fake. Hali yakuwa wataalii wengi upendelea kutegemka Zanzibar kutokana na vivutio vikubwa vya utali na ukarimu wa wazanzibar. Lakini yote haya hufanyika Tanganyika na kufaidicha Wa-Tanganyika na kuzidi kututawala kimabavu. Wakati wazanzibar tuna Nyanja nyingi za kuingiza pesa za kigeni na kufaidisha wananchi wetu. Muungano ni kitega uchumi cha Wa-Tanganyika kwa jina la Tanzania. wazanzibar tustuke utajiri wa zanzibar unatokana na wazanzibar wenyewe wazungu wanalia kuona manzari ya zanzibar ilivyo na hali ya hewa ya
[...]Endelea hapa “Ombi Wazanzibar wote ulimwenguni wanaombwa wateremkie kiwanja cha Ndege Zanzibar ili kuingiza pesa za kigeni na kusaidia ndugu zao kuliko pesa kutafunwa na wajanja.”
Bila ya Muungano wazanzibar tungekuwa tuko mbali lakini wenzetu Wa-Tanganyika wametukaa na roho na kuwa kolon lao(Mosquito blood sucker). Ndio ukaona Mtanganyika yoyote hayuko tayari kuiona Zanzibar ni nchi na hata ukijita Mzanzibar wao humia rohoni na kutafuta kila mbinu kulifuta jina la Zanzibar lisijulikane ulimwenguni too let. Na wengine husema kujita Mzanzibar ni ubaguni au kumwita Mtanganyika ni kumzalilisha. Lakini tunavyo fahamu sisi Tanganyika ipo na ina mambo yake wanayo yasimamia ya sio ya Muungano. Ikiwa Tanganyika imekufa haya mambo yasio ya Muungano yana simamiwa na serekali gain? Wazanzibar tuvunje Muungano fake tujenge Nchi yetu kabla hawa watu hawaja tia damage kubwa. Huu Muungano
[...]Endelea hapa “Jee kuna siri gani ya Muungano hataikawa Tanganyika wakangangania Muungano usivunjike lakini Zanzibar ikawa ni Uharo wa Bata wenye kunuka?”

NA MUHIBU SAID
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Shariff Hamad, jana aliruhusiwa kutoka katika Hospitali ya Hindu Mandal, jijini Dar es Salaam, alikolazwa kwa siku sita, baada ya daktari aliyekuwa akimtibu, Dk. Ramaiya Kaosheki, kuridhishwa na maendeleo ya afya yake. Maalim Seif, ambaye alilazwa kutokana na matatizo ya shinikizo la damu na kifua, alitoka saa 4:00 asubuhi.
Naibu Mkurugenzi wa Uenezi na Mahusiano na Umma wa CUF, Ashura Mustafa, alisema jana kuwa baada ya kutoka hospitali, Maalim Seif anatarajiwa kuendelea na shughuli zake za kawaida muda mchache ujao.
Maalim Seif, aliugua
[...]Endelea hapa “Maalim Seif atoka hospitali”
Jaji Bomani: Madini yatainufaisha Tanzania
na Irene Mark
MWENYEKITI wa Tasnia ya Uziduaji, Jaji Mark Bomani, amesema Tanzania itaanza kunufaika na madini yaliyopo baada ya kuanza kazi kwa tasnia hiyo ya kimataifa.
Jaji Bomani, alisema sekta ya madini itaanza kuwanufaisha Watanzania wengi baada ya kuanza kazi rasmi kwa tasnia hiyo yenye kazi ya kuhakiki mapato yatokanayo na madini kwa manufaa ya wananchi.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana muda mfupi baada ya kutiliana saini waraka wa makubaliano kati ya mwenyekiti wa tasnia ya uziduaji na Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, kwa niaba ya serikali, Jaji Bomani aliwataka wananchi kutarajia neema.
Kusainiwa kwa makubaliano hayo kutasaidia
[...]Endelea hapa “Bomani? rekebisha matamshi yako wewe. hayo ni madini ya Tanganyika na yatawanufaisha wenyewe WaTanganyika sisi wazanzibar ikiwa ni sehemu ya Muundano wa Tanzania hatunufaiki chochote na madini yenu kwanza hayamo ktk Muungano? nisawa na yetu mafuta Mh Mansour kufuta rasmi ktk Muungano ,”
Je tumejitayarisho kwa mvua za El Nino?
Na Ally Saleh
Dunia imepiga hatua kubwa za maendeleo katika miaka ya karibuni. Kila
kitu sio tu kiekuwa rahisi lakini pia kiko katika ncha za vidole vyetu
kwa kutumia kukua kwa elimu ya kompyuta na pia utaalamu wa elimu za
jiografia na fizikia kukuwa kupita kiasi.
Kwa sasa kwa elimu hiyo mambo mambo sio tu yanaweza kubashiriwa, si
kwa njia ya ramli, lakini kwa njia ya kutumia hesabu na vigezo mbali
mbali na kwa hivyo elimu ya mwanadamu imeongezeka sana na mwanadamu
anaweza kumudu mazingira yake kwa ubora zaidi.
Miaka michache nyuma, dunia iliambiwa kuwa kutokana na kuchafuka kwa
mfumo wa kidunia
[...]Endelea hapa “Je tumejitayarisho kwa mvua za El Nino?”
Date::3/11/2010
Watu 3,000 wapiga simu kujua kama Maalim Seif amekufa
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad akisoma gazeti la mwananchi jana katika hospitali ya Shree Hindu Mandal ya jijini Dar es Salaam. Maalim Seif aliyelazwa katika hospitali hiyo toka Ijumaa baada ya kusumbuli na ugonjwa wa mkamba (bronchitis) anatarajia kutoka leo baada ya afya yake kuimarika.
Salim Said
ZAIDI ya watu 3,800 wamepiga simu kutoka kona mbalimbali duniani kwa viongozi mbalimbali wa Chama cha Wananchi (CUF), wakitaka kufahamu kama kuna ukweli wowote kwamba Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharrif Hamad, alikuwa amefariki duni au la.
Maalim Seif alilazwa Hospitali ya Hindu Mandal
[...]Endelea hapa “HALI YA MAALIM SEIF INAENDELEA VIZURI”
Joseph Mihangwa Machi 10, 2010
KATIKA sehemu ya kwanza ya makala haya wiki iliyopita, tuliona chimbuko la migogoro na kero za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambazo hazijapata ufumbuzi makini hadi leo.
Nilisema kuwa kuahirishwa kwa muda usiojulikana kwa uteuzi wa Tume ya Kupendekeza Katiba, ili hatimaye kuweza kuitishwa kwa Bunge la Katiba ndani ya mwaka mmoja, ili kupitisha Katiba ya Jamhuri mpya ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, kuliupokonya Muungano huo nafasi ya kujiongoza kwa dira iliyokusudiwa, na hivyo kuendeshwa kwa Amri za Rais (decrees) na hisia za ki-imla kwa matashi ya wanasiasa.
Tuliona jinsi kwa miaka 13, tangu Aprili 26, 1964 hadi mwaka
[...]Endelea hapa “MUUNGANO WETU: Tanganyika ilikufaje Zanzibar ikabaki 2″
Nasikia sasa huyu Mama balozi kaja na mradi wake mpya maana ule wa kufunguwa matawi naona haumtoshi
Mpya alokuja nayo sasa ni kuwa jumuia zote za Waswahili walizo rejista hapa kwa manufaa ya hao waswahili yeye eti anataka ziwe chini yake na kuziahidi eti kuzisaidia
Sasa nauliza atazisaidia vipi na wakati serikali ya Uingereza tayari wao wanazi saidia? Hi ni janja yake tu kutaka kuendeleza utapeli wake kwa kuiambia Serikali ya Tanzania kuwa jumuia za hapa UK za Waswahili amezisaidia kiasi fulani kumbe katia mfukoni
Mradi wake huu kaufanya vizuri tu wakati Rais Kikwete anakuja hapa tarehe 27/03/2010 eti kaalika wajumbe watatu wa kila jumui
[...]Endelea hapa “UBALOZI WA TANZANIA HAPA UK NA MIRADI YAKE”
Na,B.OLE
Vyombo vya habari ni miongoni mwa nyezo madhubuti kwa kuelimisha jamii. Wakati huo huo ni silaha na sumu kali itakapotumiwa kwa propaganda. Mara nyingi silaha hii hutumiwa na vikundi vya watu kwa maslahi yao binafsi na huku wakielewa kwamba kile wanachokifanya ndio sahihi.
Na mara nyingi jamii hupotea kwa vile walio wengi wanakuwa hawawezi kupambanua chua na mchele, kwa maana hiyo wenye maslahi yao huitimia vizuri nafasi hii na kutaka watu waamini hivyo.
Uongo,kibri, uzandiki, ubabaishaji , ukandamizaji, uadui, ubaguzi, fitina hupewa kipau mbele na ukweli kuchimbiwa kaburi.
Kwa vile jamii nyingi zimekulia katika mazingira haya basi na akili nazo hudumaa na kuamini kwamba propaganda
[...]Endelea hapa “Lazima Tuwe Na Hoja.”
|
|
Habari maarufu