mkapabenjamin
 //   //  26/01/2012  //  3 Comments

Taarifa kwa Vyombo vya Habari

Mnamo Januari 26 Mwaka 2001, Chama cha Wananchi, CUF, kiliandaa maandamano halali nchini, kupinga matokeo batili yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, ZEC. Serikali kupitia vyombo vya dola, waliamua kutumia nguvu kupita kiasi, kukabiliana na …

Baraza la wawakilishi Zanzibar
 //   //  23/01/2012  //  10 Comments

Sauti:Hoja ya Mh.Jussa – Baraza la wawakilishi

Ripoti ya DW-SW Shukurani za dhati kwa Ashakh

Bwana Haji Gora Haji akionyesha baadhi ya vitabu vyake alivyotunga
 //   //  23/01/2012  //  10 Comments

Bwana Haji Gora Haji – Hazina isiyokwisha

Naam leo nimepata nafasi ya kuonana na nyota adhimu katika fani ya utungaji Zanzibar, Bw Haji Gora Haji. Kwangu mimi ilikuwa fursa adhimu katika maisha yangu kwa mara ya kwanza kuonana naye uso kwa uso. Bw …

Baraza la wawakilishi Zanzibar
 //   //  22/01/2012  //  2 Comments

Sauti:Mjadala mkali – Ongezeko la mafao ya wanasiasa Zanzibar

Ally Saleh, Mjadala mkali unaendelea kuhusu muswada wa sheria ya mafao ya viongozi wa kisiasa ambapo wajumbe baraza la wawakilishi wasio katika serikali wa cuf na ccm wanaupinga na wamediriki kuuita kuwa unataka kuanzisha ufalme. Muswada …

Breaking News
 //   //  22/01/2012  //  13 Comments

Breaking News kutoka Zanzibar

Mesej ambayo nimeletewa sasa hivi na inaelekea inasambazwa inasema hivi: TWENDENI kwa wingi kike kwa kiume kesho Jumatatu na saa mbili asubuhi tuwe tumeshakaa nje ya Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi, Chukwani ili kuonyesha Ulimwengu kuwa …

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akimvisha nishani kijana Mohd Khamis mwenye ulemavu wa akili baada ya kupata ushindi katika michezo ya Special Olimpik kwa ajili ya watu wenye ulemavu yaliyofanyika Morogoro. Hafla hiyo ilifanyika uwanja wa michezo Gombani Pemba.
Olimpik ya walemavu – Gombani Pemba
14/01/2012  //  1 Comment
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad amekabidhi nishani mbali mbali kwa vijana wenye ulemavu wa ...