Login



Fotos

Get the Flash Player to see the slideshow.

Sultan Jamsheed na kiti cha Usultan wa Zanzibar

Jamsheed alikuwa sultan kwa wakati wake, si leo wala jana. Hivyo asahau kama yeye ama watoto au wajukuu zake wana hisa ya kuwa wafalme wa zanzibar leo.
Yaliyopita yamepita Jamsheed na vizazi vyake wajiulize wazee wao walifikaje hata wakawa masultan katika kisiwa kidogo cha waafrika.
Pili Jamsheed asahau wala asiwadanganye vijukuu zake kama zanzibar ana mali.Majumba, mapelesi, mangomekonkwe, na mji mzima wa “stonetown” ulijengwa kwa fedha zilizotokana na biashara ya utumwa, ukulima wa mikarafuu na mpata. Mtumwa aliuzwa kutoka pale, mkulima hakuambua chochote. Huna unachowadai wazanzibar usijidanganye. Mwaafrika wa Zanzibar hakulipwa chochote juu ya dhuluma na mateso aliyoyapa katika kipindi chote cha utawala wa sultan.
Namshauri

[...]Endelea hapa “Sultan Jamsheed na kiti cha Usultan wa Zanzibar”

ZANZIBAR NI YETU SOTE SALUM, M.AME.

Na. B. OLE
Nianze kwa kuwaombea dua wale wanaojiandaa kupata fursa ya kujiandikisha na wale ambao kwa sasa tumeshajiandikisha tukingojea hapo octoba kutumia haki yetu ya kuchagua serikali inayofaa.

Naamini kila moja wetu ana mshawasha wa kutaka kujua hali na hatima ya taifa letu. Hili si utani, Wazanzibar wamesambaritika kila upande katika dunia hii. Haina maana kwamba wanafanya hivyo kwa sababu wanachukia kwao, la hasha hizi zote ni shida na matatizo ambayo kwa muda mrefu Zanzibar imekumbana nayo. Naamini wale wote walitokomea nje kwa sababu moja ama nyengine wanatamani kurudi kwao.

Hii nilishuhudia kwa macho yangu pale nilipobahatika kutembelea Poland, Alibania na kukutana na

[...]Endelea hapa “ZANZIBAR NI YETU SOTE SALUM, M.AME.”

Monthy Statistics

For those interested with statistics over the last 30 days.

Note:
**The big drop of visits around 8th February was due to downtime we had this month due to technical errors