Wazanzibar walipo skia Pinda anasema Zanzibar si Nchi wazanzibar walikuja juu? Lakini kwa upande wa SMZ hilo liko na halikuwashtua kwa sababu wanajua huko ndiko tunakoelekea. Hivi sasa ukiwauliza SMZ tuko katika mfumo wa serekali ngapi? Basi jawabu kitandawili. Utambiwa mfumo waserekali mpili, Zanzibar na ya pili ni Muungano? Ukiuliza ya Tanganyika iko wapi? Utambiwa Tanganyika imekufa na kila bada ya kipindi inafayiwa sherehe za hitma.lakini wazanzibar wanajiuliza iliokufa ni Tanganika au Zanzibar?
Kwa sababu Zanzibar ndio powerless na mamuzi yoyote ya Zanzibar Bara kwa makusudi hawayaheshimu ikiwa hayakuamuliwa kwao ama Butiama au Dodoma hapo ndipo watayaheshimu. Lakini wazanzibar hawana haki ya mamuzi yao yoyote yale pila
[...]Endelea hapa “sera ya ccm ni serekali mbili kuelekea moja.jee Zanzibar inaelekea direction gani? musije mukasema smz hamukumfahamu Pinda?”

Habari maarufu