Login



Fotos

Get the Flash Player to see the slideshow.

smz wana agenda gani na wa-israil? hakuna nchi hata moja ya Kislamu walioweza kuwakumbadia watu hawa jee sisi wazanzibar Ndio waislamu wenye iman na watu hawa. kwa hio kuna hatari ya kuja kulizwa watu hawa ni watu wenye agenda mbali na uislamu.

Mimi siamini kuwa ccm-smz ni waislam? Uislamu unasema muislamu Mwenzako nisawa na vidole vyako vya mwili au mwili wako mzima kikiumwa kimoja basi vyote vinapata maumivu. Sasa leo tuseme smz hawaoni mazila wanayofanyiwa Wausau wenziwao wa Palestin? Au na wao ndio wa-israil wa Zanzibar na vitendo vyao havina tafauti na wao. Kuvuja makazi ya raia,kua kwa kutumia nguvu,kupokonya mali za watu etc. mimi naona urafiki huu uptake kuwaliza

[...]Endelea hapa “smz wana agenda gani na wa-israil? hakuna nchi hata moja ya Kislamu walioweza kuwakumbadia watu hawa jee sisi wazanzibar Ndio waislamu wenye iman na watu hawa. kwa hio kuna hatari ya kuja kulizwa watu hawa ni watu wenye agenda mbali na uislamu.”

Wazanzibar tumeshoka kuishi ndani ya ardhi yetu ktk kifungo cha njee na kuekewa spy kila nyumba kumi kumi,zamani tulikuwa na spy mafitna mashame kila nyumba kumi kumi sasa hivi tuna Masheha hawa ugali umezidi maji ni maftna wakuwa. Wazanzibar tunasema tumeshoka vitimbi vyenu nyiyi mayahudi wa ccm.

Ndugu zangu wazanzibar mwenye macho Hambiwi tazama, hivi sasa unambiwa kila mwenye simu ya mkono nilazima lazima Regist wewe umeona wapi hii ya kwetu kubwa. Katika kureste simu sikitu chalazima kwa custema ni hiari tu yake kutaka. Leo hapa kwetu nikitu cha amri sasa julienne kuna nini hata tulazimishwe kuziorozesha simu zetu hii ni kuangaliwa watu bussness zao(siri zao chini ya udecteta r wa ccm)ili usalama wa taifa wapate kujuwa unazungumza nini huu ni kumuingilia mtu uhuru wake hii sio haki nilazima tustuke na tujuwe zamira ya hawa watu na vitimbi vyao niulimwengu gani walikuweko hawa

[...]Endelea hapa “Wazanzibar tumeshoka kuishi ndani ya ardhi yetu ktk kifungo cha njee na kuekewa spy kila nyumba kumi kumi,zamani tulikuwa na spy mafitna mashame kila nyumba kumi kumi sasa hivi tuna Masheha hawa ugali umezidi maji ni maftna wakuwa. Wazanzibar tunasema tumeshoka vitimbi vyenu nyiyi mayahudi wa ccm.”

Kitambulisho cha Uzanzibari au kitambulisho cha ukaazi ???????

Katika kubabaishwa na mtawala wetu Zanzibar,tumetakiwa kujiamini ya kuwa Uzanzibari wetu tulionao una thamani sana na unastahiki kuhifadhiwa kwa kusajiliwa kwetu kwa vitambulisho vya Uzanzibari ili tusipoteane na Uzanzibari wetu!! Huu ni ulaghai wa hali ya juu!!

Kinachoshangaza kuwa kitambulisho hicho badala ya kuwa cha Mzanzibari, kimekuwa cha ukaazi tu!! Na kuwekwa sheria khasaa kuwa kila aliekaa Zanzibar kwa muda maalumu huwa anayo haki ya kukipata kitambulisho hicho!! Hili halina siri yoyote!! Maana wako watu tena wengi sana, na kwa makusudi huwa wanaletwa kutoka Bara za pwani kama Tanga na kwengineko kwa kwa maslaha ya kukipigia kura CCM tu!! Basi kwa vitambulisho vya aina hii huwa wana

[...]Endelea hapa “Kitambulisho cha Uzanzibari au kitambulisho cha ukaazi ???????”

Macontena-Wananchi hima hima michango yenu inahitajika!

Update 26-03-2010

Hii issue inajaribiwa turufu ya mwisho kwa kufanya maombi ubalozini hapo Dar.ZOP wako bizzi na maombi hayo.Tuombe dua ifanikiwa na ombi hilo likubaliwe hapo ubalozini.

Update on 21-03-2010

Tunatizama njia ya kupunguza na kuchukua vifaa vyenye umuhimu zaidi ya vyengine, na kutumia container moja tuu ya 40ft.Inshallah hii itasaidia kupunguza gharama, hatujajua bado itagharimu kiasi gani kusafirisha container moja ya 40ft.Data zitatolewa, lakini kwa hesabu za haraka inaweza kupunguza gharama na kufikia makadirio ya 7-8000 Euros.

Update on 20-03-2010
AS,
Kwa bahati mbaya jitihada zetu za kupata msaada kutoka SMZ wa kusafirisha makontena hayo ya vifaa ya hospitali zimegonga ukuta.Katibu mkuu Dr.Jidawi na Waziri

[...]Endelea hapa “Macontena-Wananchi hima hima michango yenu inahitajika!”

MUUNGANO WETU: Tanganyika ilikufaje Z'bar ikasalimika?

Nyerere na Karume wasaini mkataba

Joseph Mihangwa

MIAKA 46 tangu meli ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ing’oe nanga, Aprili 26, 1964 hadi sasa; bado inaendelea kuyumba kwa kusukwasukwa na mawimbi makali na kusababisha adha kubwa, kizunguzungu na kichefuchefu kwa wasafiri.

Na ingawa meli hii ilianza vyema safari yake, kwa kuzingatia dira thabiti, na kwa manahodha wake kusoma vyema ramani, yaelekea sasa imepoteza dira na kusuasua kuelekea kwenye ukungu wa hatari na wa kutisha.

Kama kuna mtu wa kulaumiwa kwa hilo, basi, manahodha wa meli hiyo hawawezi kukwepa lawana kwa kubeza dira na

[...]Endelea hapa “MUUNGANO WETU: Tanganyika ilikufaje Z’bar ikasalimika?”

wangombaniaji urais zanzibar nilazima wafuate masharti ya NNchi ya zanzibar na katiba ya smz1984 ili uwe rais wa zanzibar nilazima uwe mzanzibar. tumeshoka kuingiziwa mamluki akina Kizuguti na wenziwe.

Wanasiasa Zanzibar wachangamkia urais
Na Mwinyi Sadallah
3rd March 2010B-pepeChapaMaoni
Vyama vya Siasa Zanzibar vimeendelea kujitokeza kuwania nafasi ya Urais, kwa matarajio ya kushirikishwa katika muundo wa serikali ya mseto inayotarajiwa kuundwa baada ya uchaguzi wa mwaka huu.

Vyama vilivyojitokeza kusimamisha wagombea katika uchaguzi huo ni Demokrasia Makini na Sauti ya Umma (Sau), ambavyo vinatarajia kutangaza wagombea wake kuanzia Juni.

Makamu Mwenyekiti wa Demokrasia Makini, Khamis Haji Mussa, amesema chama hicho kimeamua kusimamisha mgombea wa nafasi ya urais baada ya kukamilisha kazi ya kujiimarisha kisiasa katika majimbo 50 ya Zanzibar.

Alisema kutokana na mpango wa kuwepo serikali ya mseto, wameona ipo haja ya kusimaisha mgombea ili chama chao kiweze

[...]Endelea hapa “wangombaniaji urais zanzibar nilazima wafuate masharti ya NNchi ya zanzibar na katiba ya smz1984 ili uwe rais wa zanzibar nilazima uwe mzanzibar. tumeshoka kuingiziwa mamluki akina Kizuguti na wenziwe.”

Picha:Mchakato wa kurejesha umeme -2

[...]Endelea hapa “Picha:Mchakato wa kurejesha umeme -2″

Tangazo la sadaka za magenerator

UJUMBE MAALUM

Assalamu alaykum ndugu zangu wakiislamu, mimi ni ndugu yenu wa kiislamu ambaye najulikana kwa jina Al-ustadhi Khamis, ambaye kwa mda huu niko Nchini UK.  Kwa kifupi baada ya kuzingatia hali halisi  ya Umeme inavyokwenda huko nyumbani Zanzibar, Kwa kweli ni ya kusikitisha na kukatisha Tamaa.  Sasa Kutokana hali hii nimeona ipo haja ya kutoa Mchango wangu kadri nitakavyojaaliwa na Alla(SW).

Nao ni kuwasiliana na “Company” inayozalisha magenereta ambayo iko hapa UK na kwabahati nzuri tumewezakuelewana lugha.  Sasa kilichobaki ni kupata bei halisi za “Products” hizi na hii ni baada ya kujua idada ya magenerator ninayo

[...]Endelea hapa “Tangazo la sadaka za magenerator”

Wanasiasa Zanzibar wachangamkia urais

Vyama vya Siasa Zanzibar vimeendelea kujitokeza kuwania nafasi ya Urais, kwa matarajio ya kushirikishwa katika muundo wa serikali ya mseto inayotarajiwa kuundwa baada ya uchaguzi wa mwaka huu.

Vyama vilivyojitokeza kusimamisha wagombea katika uchaguzi huo ni Demokrasia Makini na Sauti ya Umma (Sau), ambavyo vinatarajia kutangaza wagombea wake kuanzia Juni.

Makamu Mwenyekiti wa Demokrasia Makini, Khamis Haji Mussa, amesema chama hicho kimeamua kusimamisha mgombea wa nafasi ya urais baada ya kukamilisha kazi ya kujiimarisha kisiasa katika majimbo 50 ya Zanzibar.

Alisema kutokana na mpango wa kuwepo serikali ya mseto, wameona ipo haja ya kusimaisha mgombea ili chama chao kiweze kuingia katika serikali hiyo.

Makamo Mwenyekiti wa Sau, Peter Magwira, alisema

[...]Endelea hapa “Wanasiasa Zanzibar wachangamkia urais”

Kikwete ahaha urais 2010

Rais Jakaya Kikwete

HARAKATI za kuwania urais zinahusishwa kuandaliwa kwa mtandao mpya wa Rais Jakaya Kikwete ambao unadaiwa unawarejesha baadhi ya wajumbe wake wa zamani, unampigia debe Spika Samuel Sitta na umetanuliwa hadi kuwashirikisha baadhi ya viongozi wa vyama vya Upinzani, Raia Mwema imeelezwa.

Kwa mujibu wa habari zilizotufikia, juhudi hizo zinalenga kumfanya Rais Kikwete kupigiwa kura ya ‘ndiyo au hapana’ kama ilivyokuwa wakati wa mfumo wa chama kimoja. Ili kufanikisha mpango huo, baadhi ya vyama vya

[...]Endelea hapa “Kikwete ahaha urais 2010″

Page 1 of 212