Login



Fotos

Get the Flash Player to see the slideshow.

Hii ndio Zanzibar tunayotaka kuwarisisha watoto wetu?


Wazanzibar kwa hali inavyo bebenywa zanzibar na kutokana na ccm-smz kuwa wapole na wataratibu zidi ya mabwana, zanzibar inaelekea kubaya na wazanzibar kupoteza utaifa wao.Kuna hatari kama wznz hatukufungana mikono tukawa kitu kimoja basi muelekeo wa nchi yetu ni huku, na hili nijukumu ni lakila mzanzibari na sio la Seif

[...]Endelea hapa “Hii ndio Zanzibar tunayotaka kuwarisisha watoto wetu?”

Jee wawakilishi wetu wa ccm wanapo tembelea nchi za watu huwa hawaoni au?

Jee wawakilishi wetu wa ccm wanapo tembelea nchi za watu huwa hawaoni au? au ndio Bongo ni kama New York atuwezi kuikosa.

Kupata cheti cha kuzaliwa Zanzibar nirahisi kuliko kibali cha kuchota mchanga almuradi uwe mkereketwa tu wa CCM na ukiwa ni kutoka Bara ndio the Door is open good welcome.
Hakuna kitu kizuri kama mtu kuwa na nchi yake na right zake za uzawa. leo zanzibar bora mgeni ana samani kuliko mzawa. hii ndio sera ya watawala wetu wa ccm-smz kupewa sheti cha kuzaliwa zanzibar hata kama sio mzanzibar nirahisi kuliko kununua kitu

[...]Endelea hapa “Jee wawakilishi wetu wa ccm wanapo tembelea nchi za watu huwa hawaoni au?”

Kwanini serikali inaogopa wagombea binafsi?

Na M.M. Mwanakijiji

MIAKA 17 baada ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kukemea serikali kwa kukataa kuruhusu mgombea binafsi, serikali inajaribu, kwa mara ya mwisho, kuwanyang’anya wananchi haki yao ya kushiriki siasa za nchi yao bila ya kulazimishwa kujiunga na chama cha siasa.

Mwalimu aliita kitendo hicho kuwa ni “upumbavu” na kusisitiza kwamba serikali haiwezi kuamka tu asubuhi na kuamua kufuta haki ya mwananchi kwa sababu haipendi haki hiyo.

Nakumbuka ni Nyerere aliyewaambia Wazanzibari kuunda Serikali ya Mseto mwaka 1995, lakini kama walivyopuuza ushauri wake juu ya mgombea binafsi, walimpuuza pia katika suala hilo.

Nionavyo mimi, kuna vipengele vikubwa viwili ndani ya katiba ambavyo ni chanzo cha mgogoro

[...]Endelea hapa “Kwanini serikali inaogopa wagombea binafsi?”

Tulipo si mahala tena pakushindana na wakati

KUJUA kwamba wajumbe wa Baraza la Mapinduzi (BLM) la serikali ya Rais Amani Abeid Karume wamejadili kizalendo muswada wa sheria ya mabadiliko yanayojengwa Zanzibar, kunanipa furaha sana.

Ni taarifa za kufurahisha ajabu ya Mungu. Wananchi wa visiwani Unguja na Pemba wanapozisikia taarifa kama hizi, nao wanaendeleza moyo wa imani kwa viongozi wao.

Wanawakubali na kuwaamini kwamba kujitoa kwao, wakasameheana binafsi, na kujenga hoja ya mantiki ya hatua yao ya kukutana faragha na kuteta kwenye Ikulu yao; kunaashiria utashi walionao katika kufuta siasa chafu.

Naambiwa siyo tu kwamba wajumbe hao wamejadili vizuri muswada kama yalivyo matarajio ya wananchi, bali hatimaye wameupitisha kwa kauli moja na kutaka uwasilishwe Baraza la

[...]Endelea hapa “Tulipo si mahala tena pakushindana na wakati”

Ada ya Bandari Zanzibar yapanda kwa asilimia 100

Bandari ya Zanzibar

Shirika la Bandari Zanzibar (ZPC) limepandisha ada za huduma za bandari kwa asilimia 100, kutokana na kupanda kwa gharama za uendeshaji kuanzia Aprili, mwaka huu.

Hayo yalielezwa jana na Mkurugenzi wa Shirka hilo, Mustafa Abood Jumbe, alipokuwa akitangaza viwango vipya vya ada Makao Makuu ya Shirika hilo Malindi mjini Zanzibar.

Alisema viwango vipya vya ada vitanza kutumika Aprili kwa mizigo yote kutoka nje ya nchi na ndani ili kuimarisha utendaji shughuli za Shirika hilo.

Alisema kutokana na kupanda kwa gharama za uendeshaji Shirika limelazimika kupandisha viwango vyake vya ada ambavyo

[...]Endelea hapa “Ada ya Bandari Zanzibar yapanda kwa asilimia 100″

Zanzibar-Hatua 1mbele,3 nyuma mwendo mdundo!!

Zanzibar sasa yajifunza kutoka Bara, kamati yatumwa yende TBC kujifunza maendeleo…Upuuzi mtupu.


Zanzibar ambayo ilikuwa mstari wa mbele katika ukanda wa Africa kimaendeleo, sasa tumerudi nyuma kiasi cha kutosha na tumebakia tiro kabisa!!!Leo hii zile ndoto za Nyerere na watanganyika kwa ujumla zinaanza kutimia moja baada ya moja.Tena wala bado safari ni ndefu ndio kwanza tuko njiani…CCM Oyee!!!

Leo tunadiriki kusikia ati Zanzibar inakwenda Bara kujifunza, acheni kutupumbaza!
[...]Endelea hapa “Zanzibar-Hatua 1mbele,3 nyuma mwendo mdundo!!”

Breaking news:Karume akutana na Seif ikulu

Na Salma Said,

KATIKA kuendeleza maridhiano yalioasisiwa mwaka jana na viongozi wawili wa Zanzibar Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF) Maalim Seif Sharif Hamad leo wamekutana na Rais wa Zanzibar Amani Abeid Karume Ikulu Mjini Zanzibar.

Hii ni mara ya tatu tokea viongozi hao kukutana ambapo kwa mara ya kwanza walikutana mwezi Novemba mwaka jana na baadae kukutana tena kwa mara ya pili Desemba mwaka uliopita

[...]Endelea hapa “Breaking news:Karume akutana na Seif ikulu”

Durus za Fiqh za watu wazima by Ust Ally Khamis


Reminder from:

alnoorcet Yahoo! Group

Title:

Durus za Fiqh za watu wazima by Ust Ally Khamis

Date:

Friday March 5, 2010

Time:

8:00 pm – 9:00 pm

Repeats:

This event repeats every week.

Location:

LiveDarsah

Notes:

Durus hizi zinafanyika online katika ukumbi wa LiveDarsah.
Kuingia katika ukumbi wa LiveDarsah BONYEZA HAPA.

Please zingatia rules za ukumbi

[...]Endelea hapa “Durus za Fiqh za watu wazima by Ust Ally Khamis”

Unafiki na uhafidhina-Mafuta

Wazanzibari kikao cha BLW kilichopita kuhusu suala la mafuta Zanzibar wawakilishi wa ccm-smz wanaposema wenzetu bara hawapendi kuiona Zanzibar inaendelea kiuchumi wana shoyo, ukenda bara walivyojenga utazani uko ulaya, lakini hapo hapo wao smz ndio zamana wa nchi ya wazanzibar na wao ndio wanao wa binya kafu wasitawale au kutetea zanzibar kwa kuingizwa kwa nguvu ya Nchi yao? sasa hawa ccm-smz tuseme ni wanafki zidi ya wazanzibari au wamekuwa pewerless mbele ya mambwana zao? u ubabe huwafanyia cuf tu(wamekuwa mbwa koko?

Madaraka matamu kwa ccm-smz lakini uzalendo hawana wala hawawezi kuwa nao kwa vile niwatu waloweka mbele sana matamanio yao binafsi bila kujali hatma nya

[...]Endelea hapa “Unafiki na uhafidhina-Mafuta”

‘Harakati huzaa mbinu – mbinu zikazaa harakati’

Je safari ya maridhiano imefikia ukingoni?
Ni nani atayemtosa Maalim Seif; CCM- Zanzibar ama CUF?

“Buku” limeanza kuzua jambo, na jambo limedai roho ya mwanzo ya upinzani…
Naam, visu vimeanza kutolewa nyongani na kauli za dhahiri -shahiri kusikikana. Mtoa mada akanena, “Maalim hafai, muoga, akapumue maana hayawezi awaachie majabari waendeleze mapambano!” Wadau wakaongeza, aaa kwa maana hali inavyoendelea ya “buku” basi ashamwagiwa changa la macho, ni hadaa!, ni chenga tu! Na mwisho akachomeka kisu, ni kizingiti kwa mapambano ya kumnasua Mzanzibari na kabari ya Watanganyika(muungano.)

Naam, hiyo para nimemaliza makusudi kwa muungano. Kwani wengi wetu bado hatujaelewa kiini cha hii safari na lini tutafika!? Ni baada

[...]Endelea hapa “‘Harakati huzaa mbinu – mbinu zikazaa harakati’”

Page 1 of 212