Ni kwa nini smz wategemee umeme kutoka Tanganyika hali ya kuwa wao wenyewe hauwatoshi na sisi hupewa kwa usumbuliaji utazani hatulipi bill?. Wa-zanzibar tuamke vitimbi vya kero za Muungano vimekuwa vingi. igekuwa laitikuwa stakafiru hawa Wa-Tanganyika ndio wenye kutowa riski basi Wa-zanzibar tungepewa kwa masharti, na sharti la mwanzo musihoji Muungano.
Kwa nini smz wanapiga magotikwa hawa watu na kutuzalilisha Wa-zanzibar kuonekana silolote sio chochote kila kitu tunategemea kwao wakati Wa-zanzibar tunaweza ku-Devalop so quick kwa vile tuna mambo mengi ya kuingiza pesa za kigeni ya hitaji usimamizi tu wase rekali kujisimamia mambo yake na serekali
[...]Endelea hapa “Account moja tu ya Mh wa smz tukiachana na pesa zinazoteketezwa ktk sherehe za Mapinduzi basi zinatosheleza wazanzibar kupata mwanga wa Juwa (umeme)”
7 Machi 2010
Hali ya afya ya Maalim Seif yaendelea vizuri
Chama Cha Wananchi – CUF kinawajulisha wanachama na wapenzi wa CUF na Watanzania wote kwa ujumla kwamba Katibu Mkuu wake, Maalim Seif Sharif Hamad, amelazwa katika hospitali ya Hindu Mandal, mjini Dar es Salaam ambako anapatiwa matibabu kufuatia kusumbuliwa na ‘bronchitis’ ambayo ilisababisha kupanda kwa ‘blood pressure’.
Hali hiyo ilimtokea ghafla juzi Ijumaa, tarehe 5 Machi, hapo Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere wakati akiwa katika hatua za mwisho za kuondoka kuelekea Muscat, Oman kwa ziara ya binafsi.
Ingawa alikuwa akisumbuliwa na ‘bronchitis’ kwa siku kadhaa,
[...]Endelea hapa “TAARIFA KWA UMMA: “MAALIM SEIF HAJAMBO VIZURI””
click to enlarge
Ilikuwa ni muda kidogo nilitaka kulizungumzia suala hili la ulimbukeni katika uongozi wetu wa Zanzibar.Kikweli nilitaka kusema ushoga, lakini nilichelea lugha hiyo haitokuwa na picha nzuri kwa jamii.
Tukirudi kwenye hiyo ramani, utaona barabara zetu zote zimepewa majina ya viongozi ambao kwa njia moja au nyengine wametuangamiza au hata hawatokei Zanzibar.Hapo ndipo zile hasira zangu zilipopanda na kutaka kurusha matusi lakini nikajizuia na kutaka kutumia busara na kufahamishana.
Lengo la kuita mtaa au barabara jina la kiongozi, mara nyingi kiongozi huyo anakuwa na historia na sehemu ile.Kwa mfano watu huita barabara au
[...]Endelea hapa “Ulimbukeni au ushoga wa viongozi wetu!”
AS,
Tumepokea habari njema na chanzo kutoka Zanzibar kuwa umeme umesharudi baada ya matengenezo ya muda mrefu.Hivi sasa umeme umesharudishwa hadi Mtoni Control.Na kesho tarehe 8 Machi 2010 umeme unatarajiwa kusambazwa kwa majaribio kwa wananchi ya kisiwa cha Unguja.
Shukurani kwa Shk Eddy kwa kutupasha habari
[...]Endelea hapa “Just in:Umeme umerudi visiwani Zanzibar”
NDUGU ZANGU WANZAZIBAR WENZANGU NATAKA NITOE KIDOGO NILICHO NACHO NAJUA PENYE WENGI PANA MENGI NA KUNA KILA AINA YA WATU WENYE UPEO TAFAUTI NA DIRA TAFAUTI MIMI NATAKA KUELEZEA MUUNGANO SIRI YAKE NA FAIDA ZAKE KWA UPANDE MMOJA WA WALIOUNGANA KAMA NI MUUNGANO BASI NI WATU AU NCHI MBILI ZILIZOUNGANIKA ZINATAKIWA KUWA NA FAIDA AU KUWA NA MAENDELEO SAWA JE MUUNGANO HUU UNA FAIDA GANI KWA WANZANZIBAR MFANO HEBU TAZAMA DODOMA ,ARUHA NA DAR HALAFU TIZAMA ZANZIBAR HALI YAKE NA HALI YA WANZANZIBAR WENYEWE HII KWELI MUUNGANO UNA FAIDA KWA WANZAZIBAR AU UNA FAIDA
[...]Endelea hapa “muungano unatuzalilisha wazanzibar siri ya mungano nini hata ikafika hadi huo mkataba wenyewe hatupewi wazanzibar kuona?”
Vituo katika miji 45 kwenye nchi 16 kwa wapiga kura wa Kiiraki, licha ya mizengwe ya hapa na pale.
Zanzibar tunaelekea wapi na vitambulisho vya mkaazi?
Haki ya kimaumbile ya kila raia iko wapi Zanzibar?
[...]Endelea hapa “UCHAGUZI NCHINI IRAKI NA CHANGAMOTO ZA MATAYARISHO YA UCHAGUZI ZANZIBAR.”
Kwa ndugu wapenzi, tunaskitika kuwatangazia kifo cha mtoto wetu mpenzi Zanzibar Bi SMZ kilicho tokezea kisiwaduwi katika harakati za vitambulisho na daftar lakudumu. habari ziwafikie ndugu na jamaa wa marehemu Unguja na Pemba waloko safarini kuelekea mkoa wa Pwani na wale wote wa husika wa kifo mkuu wa tume ya uchaguzi na mkuu wa vitambulisho vya uzanzibar. mazishi mpaka sasa hivi tume haija kubliana kufanyika Dodoma au Butiama.
Sikiliza Mahamoud trip 3 tu alfu 50 mafuta ya mekwisha? jee panga trip 20 tutatumia mafuta kiasi gani mbali uchotaji mchanga na kibali na kutumia gari letu
[...]Endelea hapa “sera yetu ccm-smz ni Wa-Tanganyika kuwa na haki zaid kuliko wazawa. na SMZ inatangaza kifo cha serekali mbili kuelekea moja na Zanzibar kupoteza utaifa wake.”
Kuna hatari ya wazanzibar kuwa kidogo na wabara kuwa wengi kutokana na ingia ingia ilivyokuwa nyingi zanzibar kwa kuondosha passport na Laana tu laahi Mohammed Seif Hatibu. hali hivi sasa inatisha katika maeneo ya Nje kidogo yafukwe za zanzibar kama vile Kiwengwana sehemu nyingine. mkoa moja tu wa Morogoro una watu 1.3 laki moja na alfu hamsini jee Wa-Zanzibar alikusudia nini huyu Hatibu kuondosha passport kiubabe? jee
[...]Endelea hapa “Seraza za Mh Pinda nikuwaingiza Wa-Tanganyika kwa wingi na kuzaliana sana ili kuingiza kizazi kipya kwa mategemeo ya mallenia ya 2015 kuwa Nchi moja.”
Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Salim Kassim Ally.
Wazanzibar hawa smz hufanya mambo mpaka ya kawazonga wenyewe. Baada ya kutowa vyeti vingi kiholele holela vya kuzaliwa, leo imekuwa nisawa na Ngombe kujipinza kwa kamba yake. ukiangalia katika jimbo la Munduli zanzibar(Kiwengwa) wakaazi wote wapole wenye asili za kimasai wana vyeti vya vya kuzaliwa ya zanziba na ID card na uandikishaji wa daftari umekwenda vizuri sana. sasa leo hakuna kitambulisho kikubwa ulimwenguni kuliko cheti au ile shemu yako ulio zaliwa nilazima watu wako watakufahamu na utakuwa
[...]Endelea hapa “ujanja na ulahai njia ya muongo ni fupi tu. smz watangza walokuwa na shahada za zamani wanaweza kupiga kura lakini vyete vyakuzaliwa hatuviamini.”
Habari maarufu