Login



Fotos

Get the Flash Player to see the slideshow.

UBALOZI WA TANZANIA HAPA UK NA MIRADI YAKE

Nasikia sasa huyu Mama balozi kaja na mradi wake mpya maana ule wa kufunguwa matawi naona haumtoshi
Mpya alokuja nayo sasa ni kuwa jumuia zote za Waswahili walizo rejista hapa kwa manufaa ya hao waswahili yeye eti anataka ziwe chini yake na kuziahidi eti kuzisaidia
Sasa nauliza atazisaidia vipi na wakati serikali ya Uingereza tayari wao wanazi saidia? Hi ni janja yake tu kutaka kuendeleza utapeli wake kwa kuiambia Serikali ya Tanzania kuwa jumuia za hapa UK za Waswahili amezisaidia kiasi fulani kumbe katia mfukoni
Mradi wake huu kaufanya vizuri tu wakati Rais Kikwete anakuja hapa tarehe 27/03/2010 eti kaalika wajumbe watatu wa kila jumui

[...]Endelea hapa “UBALOZI WA TANZANIA HAPA UK NA MIRADI YAKE”

Lazima Tuwe Na Hoja.

Na,B.OLE
Vyombo vya habari ni miongoni mwa nyezo madhubuti kwa kuelimisha jamii. Wakati huo huo ni silaha na sumu kali itakapotumiwa kwa propaganda. Mara nyingi silaha hii hutumiwa na vikundi vya watu kwa maslahi yao binafsi na huku wakielewa kwamba kile wanachokifanya ndio sahihi.

Na mara nyingi jamii hupotea kwa vile walio wengi wanakuwa hawawezi kupambanua chua na mchele, kwa maana hiyo wenye maslahi yao huitimia vizuri nafasi hii na kutaka watu waamini hivyo.

Uongo,kibri, uzandiki, ubabaishaji , ukandamizaji, uadui, ubaguzi, fitina hupewa kipau mbele na ukweli kuchimbiwa kaburi.

Kwa vile jamii nyingi zimekulia katika mazingira haya basi na akili nazo hudumaa na kuamini kwamba propaganda hizo

[...]Endelea hapa “Lazima Tuwe Na Hoja.”

Spice up your holiday in Zanzibar

The vibrant market of Stone Town.

Posted Monday, March 8 2010 at 00:00
Not long ago the name Zanzibar would conjure up the heady aroma of spices that centuries ago earned Unguja and Pemba the name of the Spice Islands.
The spice plantations may have taken a back seat economically and are no longer the mainstay of the island, but they are still the most common feature on the island.
Tourism is in big time. Lately, Zanzibar has become a byword for a dream getaway, home to an international film festival, the Zanzibar Film Festival; the Sauti za Busara international music festival; the exclusive Zanzibar Serena

[...]Endelea hapa “Spice up your holiday in Zanzibar”

Wakereketwa wakikata tungi

Hawa ndio viongozi wa CCM.“Wakereketwa wakikata tungi”

Onyesha hasira zako ktk haki na uchukie katika batli ndio M/mungu atakuwa pamoja na wewe yeye ndio Mumba na ndio mwenye kutowa risk kwa viumbe wote.


Hali ya zanzibar inatisha imani na huruma zimetoweka,watu wameweka mbele matamanio ya Dunia kuliko utukufu wa M/mungu. Hii inaonyesha uongo na vitisho vimezagaa zanzibar hizi zote zimekuwa ndio njia za kupata risk tunahisi. hivi karibuni nilikuta visa kama viwili hivi, cha kwanza ni Polisi kupokea rushwa kwa njia ya vitisho na yapili ni watu wa manispaa kushukuwa pesa kwa njia ya udanganyifu na ubabaishaji.

kisa cha kwanza ni polisi alimsimamicha jamaa na vispa akamwambia sitaki nikutftie kosa lakini nataka unipe alf 5 sihivyo uamuzi utafuata baadae jamaa akatowa ili kununua amani, na chabili

[...]Endelea hapa “Onyesha hasira zako ktk haki na uchukie katika batli ndio M/mungu atakuwa pamoja na wewe yeye ndio Mumba na ndio mwenye kutowa risk kwa viumbe wote.”

Zanzibar police ban veiled drivers, Muslims angry

I have seen this article over the Internet, but my biggest question did this really happen in Zanzibar???After all, there is no such an organ called Zanzibar Police.There is only Tanganyika/Tanzanian Police, what do they really mean to put a heading that Zanzibar Police….please continue


Tue Feb 6, 2007 11:59am EST

By William Sakala

ZANZIBAR, Feb 6 (Reuters) – A police ban on women drivers wearing veils came into effect on Tuesday across the Indian Ocean islands of Zanzibar, drawing some protests from the overwhelmingly Muslim population.

Zanzibar police commander Ramadhan

[...]Endelea hapa “Zanzibar police ban veiled drivers, Muslims angry”

Je Mzanzibari kuwa mwanachama wa CCM ni kuisaliti Zanzibar?

Si jambo la siri katika visiwa vya Zanzibar kwamba kuwa mwanachama wa CCM kunachukuliwa na wengi kama ni moja ya hatua za utayari wako kuisaliti Zanzibar kwa kuwapa haki Watanganyika ya kuendeleza ukoloni mamboleo.

Leo nijaribu kwa kuona kwa kioo cha darubini kwa nini dhana hii imeshamiri Zanzibar, na ukweli wake kama kuna chembe yeyote; ukweli kwamba CCM- Zanzibar ni wasaliti wa Zanzibar na Wazanzibari.

Nitaangalia sababu mbili tu katika sababu nyingi zinazowafanya Wazanzibari kuichukia CCM nazo ni:
(i) Ajenda ya Siri ya CCM kwa Zanzibar.
(ii) Je ni chama kinachowawakilisha Wazanzibar tokea uzawa wake?

(i)Ajenda ya siri ya CCM kwa Zanzibar.
Hii ni sababu ya kwanza ambayo kwangu

[...]Endelea hapa “Je Mzanzibari kuwa mwanachama wa CCM ni kuisaliti Zanzibar?”

Waznz hatutaki Njia zetu kuitwa majia ya makafiri hawa akina Mkapa na ndugu zake hawana historia zozote znz, kama mumeshindwa kuwa enzi wana vyuoni wetu basi bora muite jina la Bi Kitute Road wazanzibar tutarizika.

click to enlarge

click to enlarge

Wanao jizalilisha ni ccm-smz sio wazanzibar wote, kuna wana vyuoni wetu na watu wenye historia mzuri Zanzibar na wazanzibar wana zipenda kwa nini hamukuita mumekwenda kuita majina ya wauwaji na walioasha asari za viwete na vizuka. Wakadi kuna historia zetu wenyewe wazanzibar. Au ndio kutawaliwa smz huko? Mungeita barabara ya Sh Amer Tajo,Sh Abdalla Farth,Sitti Binti Sadi, Mwana wa Mwana na Mkama Tume. Hizi ndio historia zetu. Lakini ccm-smz mumeoza kwa watawala wa ki-Tanganyika kama. Kama tulivyo piga kelele iondoshwe historia mpovu isisomeswe maskulini watoto wetu isio wahusu wazanzibar

[...]Endelea hapa “Waznz hatutaki Njia zetu kuitwa majina ya makafiri hawa akina Mkapa na ndugu zake hawana historia zozote znz, kama mumeshindwa kuwa enzi wana vyuoni wetu basi bora muite jina la Bi Kitute Road wazanzibar tutarizika.”

Kura za Rais kutangazwa majimboni

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema kuwa matokeo ya Rais yatatangazwa kwenye majimbo badala ya kusubiriwa kutangazwa na NEC.

Mkurugenzi wa NEC, Rajabu Kiravu, alisema hayo jana jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano na wawakilishi wa watu wenye ulemavu kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu.

Alisema kuwa lengo la kufanya hivyo ni kuondoa hofu kwa wananchi wanaosubiri kujua matokeo.

Kiravu alisema kuwa NEC imeanza maandalizi ya uchaguzi ujao kwa kujipanga kikamilifu ili kuwepo na uwazi na haki sawa kwa mujibu wa sheria.

Alisema kwa sasa NEC inaboresha Daftari la Kudumu la Wapigakura ili iweze kupanga vituo vya kupigia kura wakati wa uchaguzi

[...]Endelea hapa “Kura za Rais kutangazwa majimboni”

Kauli Ya Wazanzibar

Wazanzibar tunasema kuepusha maafa ya umwagaji damu usitokee tena na kuwa na (True election) nilazima kundwe Kamati mara moja kabla ya uchaguzi mkuu kuanza ili kuweka misingi ya kuaminiana na kufanya ushaguzi huru na wahaki kwa sababu ya malalamiko mingi ya Zan-ID na Daftari, na ikibainika kuwa kuna makosa ya maksudi wakuu na wahusika wa Zan-Id na Daftari wawajibike na iwe ni funzo kwa baadae.
Endelea kusoma Kauli Ya Wazanzibar

Page 1 of 212