Karibuni tu tulishuhudia ZFA ikipigwa kabari na Tanganyika, na hatimae FIFA kutoa uamuzi kwamba Zanzibar haiwezi kujiunga kama Zanzibar – bali iwe chini ya mwamvuli wa Tanzania.
Huu ni uonevu wa hali ya juu wakati mpira wenyewe timu ya taifa ya Tanzania tumeifunga karibuni tu hawajui mpira licha ya kuwa na kocha kutoka Brazil.
Inapokuja wakati wa uchaguzi wa wachezaji wa kuiwakilisha hiyo inayoitwa Tanzania ni nafasi mbili ama tatu tu wanazochaguliwa wachezaji kutoka Zanzibar! zilizobaki zote ni za wenyewe wasiojua kucheza mpira na kutofika popote, Tanzania haijawahi kukolifai kucheza kombe lolote kubwa duniani miaka yote na Zanzibar hawataki wapewe nafasi ya kujiwakilisha.
Zanzibar ina wachezaji wa
[...]Endelea hapa “Hata michezo mwatupiga kabari!?”
Na. b.ole.
Zanzibar ni visiwa ambavyo hata hilo jina lake linapotajwa huvutia watu wengi sana duniani. Hii nikutokana na sifa nyingi zinazopatikana kutokana na uzuri pamoja na mambo mengineo ya utamaduni na shughuli za kibiashara za hapo nyuma.
Naamini hata jamaa zetu wabara hapo zamani za kale walikuwa wakiona fahari kwa mtu kusafiri na kufika Zanzibar ilikuwa ni fahari mno kwake.
Leo hii Zanzibar imerudi nyuma na imekuwa ni sehemu ya kuokoa maisha yako tu ,huku shida na matatizo yakizidi kutawala miongoni mwa wananchi bila ufumbuzi.
Ukweli kama tunautaka ni Serkali yetu ndio iliyotufikisha hapa tulipo leo hii. Hatuna budi kuwalaumu wote wale waliohusika na
[...]Endelea hapa “SERIKALI YA ZANZIBAR NDIO INAYORUDISHA NYUMA MAENDELEO YA ZANZIBAR.”
The person concerned is a vivid evidence of how Israel helped the Infidels to overthrown the Zanzibar Government. This was held because the majority were/are Muslims and to make the Zanzibar island as unsecured place forever. The Israel is continuing to help the sleeping Government the so called Revolutionary Government headed by CCM in undermine and slowdown the democratic process against her own citizens.
It is shame to see the Government denied her own citizens the right to vote or the right to be registered as the bonafide residence albeit citizenship inlieu for the immigrants
[...]Endelea hapa “ISRAEL BEHIND THE ZANZIBAR REVOLUTION”
Nampongeza mhusika aliyeiwakilisha mada hii kwa asilimia mia.
Nikiwa Mzanzibari nitahakikisha ninaposafiri nateremkia ZANZIBAR na
[...]Endelea hapa “wazanzibar tuteremkie zanzibar”
Hongera Mh Amani na Maalim Seif kwa kuwaleta pamoja wazanzibar na kuweka mpele maaslahi ya Nchi na wananchi wazanzibar. Hii ni nemaa kubwa kwa wananchi wa Zanzibar kwani time kama hii ingekuwa watawala wetu wamecha tumiminia Jesh ili kuja kulinda koloni lao na kua wazanzibar wasio na hatia ndani ya Nchi yetu. Lakini Tunamshkuru Mh Amani kuona mbali na kukataa kutumiliwa kwa faida ya wageni. Ikitokea maafa Zanzibar wasirika wakubwa ni wazanzibar wenyewe wenye kwao huondoka na kukimbilia ktk mikoa yao lakini mzanzibar huna pakwenda ukiondoka wewe basi ndugu yako au mama ako ndio umemuasha kufaa. Kwa hio wasirika wa Zanzibar niwazanzibar wenyewe awe Mpemba au
[...]Endelea hapa “Ili tumuweze adui wetu Uzanzibar kwanza, Itikadi za chama baadae.Mwenye mapenzi hatumii Jeshi kua tumeshoka.”
Wazanzibari hatutaki wala haturidhii kuona mapato yetu yanakusanywa na bodi ya ukusanyaji wa mapato ya Tanzania(Tanganyika) TRA.
Kwa nini kusiwe na chombo cha ukusanyaji wa mapato cha Zanzibar, ZRA; ambacho kitakusanya mapato ya Zanzibar na kuhakikisha yanafaidisha Wazanzibari?
Leo hii ni jambo la kusikitisha kuona Watanganyika wakitumaliza kwa kukusanya jasho la Wazanzibari na jioni kulitia kwenye boti kuelekea Tanganyika kwa kujifainishana wao, sababu eti Muungano!huu si wizi wa kimacho macho?
Zanzibar ina uwezo na ni haki yake kuwa na chombo cha ukusanyaji wa mapato yake na kuyatumia kwa manufaa ya wananchi wake.
Mapato yetu ya Bandari, Airport na mengineyo leo hii yamekuwa ni mali ya Watanganyika kutugaia sisi
[...]Endelea hapa “ZRA iwe mkusanyaji wa mapato ya Zanzibar- na sio TRA”
Takribani Zanzibar inakufa kutokana na kuekewa mguu na Mkoloni wet Tanganyika, hii ni kuwa Bandari na Airport na biashara zote zimeuliwa Zanzibar kwa maksudi ili wazanzibar waslim amri katika Muungan Fake. Hali yakuwa wataalii wengi upendelea kutegemka Zanzibar kutokana na vivutio vikubwa vya utali na ukarimu wa wazanzibar. Lakini yote haya hufanyika Tanganyika na kufaidicha Wa-Tanganyika na kuzidi kututawala kimabavu. Wakati wazanzibar tuna Nyanja nyingi za kuingiza pesa za kigeni na kufaidisha wananchi wetu. Muungano ni kitega uchumi cha Wa-Tanganyika kwa jina la Tanzania. wazanzibar tustuke utajiri wa zanzibar unatokana na wazanzibar wenyewe wazungu wanalia kuona manzari ya zanzibar ilivyo na hali ya hewa ya zanzibar.[...]Endelea hapa “Ombi Wazanzibar wote ulimwenguni wanaombwa wateremkie kiwanja cha Ndege Zanzibar ili kuingiza pesa za kigeni na kusaidia ndugu zao kuliko pesa kutafunwa na wajanja.”
Bila ya Muungano wazanzibar tungekuwa tuko mbali lakini wenzetu Wa-Tanganyika wametukaa na roho na kuwa kolon lao(Mosquito blood sucker). Ndio ukaona Mtanganyika yoyote hayuko tayari kuiona Zanzibar ni nchi na hata ukijita Mzanzibar wao humia rohoni na kutafuta kila mbinu kulifuta jina la Zanzibar lisijulikane ulimwenguni too let. Na wengine husema kujita Mzanzibar ni ubaguni au kumwita Mtanganyika ni kumzalilisha. Lakini tunavyo fahamu sisi Tanganyika ipo na ina mambo yake wanayo yasimamia ya sio ya Muungano. Ikiwa Tanganyika imekufa haya mambo yasio ya Muungano yana simamiwa na serekali gain? Wazanzibar tuvunje Muungano fake tujenge Nchi yetu kabla hawa watu hawaja tia damage kubwa. Huu Muungano wa
[...]Endelea hapa “Jee kuna siri gani ya Muungano hataikawa Tanganyika wakangangania Muungano usivunjike lakini Zanzibar ikawa ni Uharo wa Bata wenye kunuka?”

NA MUHIBU SAID
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Shariff Hamad, jana aliruhusiwa kutoka katika Hospitali ya Hindu Mandal, jijini Dar es Salaam, alikolazwa kwa siku sita, baada ya daktari aliyekuwa akimtibu, Dk. Ramaiya Kaosheki, kuridhishwa na maendeleo ya afya yake. Maalim Seif, ambaye alilazwa kutokana na matatizo ya shinikizo la damu na kifua, alitoka saa 4:00 asubuhi.
Naibu Mkurugenzi wa Uenezi na Mahusiano na Umma wa CUF, Ashura Mustafa, alisema jana kuwa baada ya kutoka hospitali, Maalim Seif anatarajiwa kuendelea na shughuli zake za kawaida muda mchache ujao.
Maalim Seif, aliugua ghafla
[...]Endelea hapa “Maalim Seif atoka hospitali”
Habari maarufu