Login



Fotos

Get the Flash Player to see the slideshow.

Migawanyo

Kumbukumbu

Matokeo zaidi ya kura ya maoni

Wazalendo hapa kuna matokeo zaidi ya kura ya maoni ambayo tumeyapokea na bado hayajawa rasmi.

UNGUJA

Matokeo ya majimbo:

Bububu -   Ndio: 4978;    Hapana: 1622

M/Kwerekwe – Ndio: 3017;    Hapana: 2174

Kiembe Samaki -   Ndio: 1768;    Hapana: 1086

Dole -  Ndio: 2429;   Hapana: 2527

Kikwajuni -   Ndio: 3326;    Hapana: 2131

PEMBA

Sikupata matokeo na nambari kamili bali ni the nearest whole number. Pia ni matokeo ya vituo na sio majimbo.

Jadida (Wete) -   Ndio: 1800;     Hapana: 200

Utaani (Wete)  –    Ndio: 1200;   Hapana: 70

Chake Chake –   Ndio: 1000;  

[...]Endelea hapa “Matokeo zaidi ya kura ya maoni”

majimbo ya bububu na mji kongwe yesema NDIO

Majimbo ya Mji mkongwe na Bububu yasema ndio..

Matokeo zaidi kufuatilia usiku mzima

[...]Endelea hapa “majimbo ya bububu na mji kongwe yesema NDIO”

PICHA ZAIDI ZA KURA YA MAONI

Unaweza kupata picha zaidi za mchakato wa kura ya maoni katika

[...]Endelea hapa “PICHA ZAIDI ZA KURA YA MAONI”

Dw-wold.de Deutsche welle Swahili Germany

 | 31.07.2010 | 15:00 UTC
Matokeo ya muda ya kura kutangazwa kesho, Zanzibar

Zanzibar

Kura ya maoni nchini Zanzibar imepigwa leo yenye lengo la kuamua ikiwa itakuwa na serikali ya umoja wa kitaifa baada ya uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba ili kusitisha uhasama uliokita mizizi na kuvuruga maendeleo katika kisiwa hicho cha Tanzania kwa miongo kadhaa.

Wapiga kura laki nne waliojiandikisha walishiriki katika Uchaguzi huo unaonuia kupitisha pendekezo la kufanywa marekebisho katika katiba yatakayotenga nyadhifa mbili za makamu wa rais zitakazogawanywa kati ya vyama vitakavyoshika nafasi ya kwanza na ya pili katika uchaguzi wa wawakilishi.

Uhasama kati ya chama kikuu cha CCM na CUF katika kisiwa hicho cha watu milioni 1.2, umekuwa ukikithiri na

[...]Endelea hapa “Dw-wold.de Deutsche welle Swahili Germany”

Disgrace against Zanzibar State — RESPONSE

I am shocked and horrified at Joseph Mavere’s (does rhyme with Nyerere though!) emotional outburst. Because that is all it is: an emotional outburst – based on an incredible degree of ignorance! “Disgrace against Zanzibar State”! Let Mr Mavere tell his readers what exactly is disgraceful about the Zanzibar state. But, at the same time, let him also tell them this: is there anything anywhere in the world that is more DISGACEFUL than the REGULAR and SYSTAMATIC MURDER of ALBINOS? And who does that [in the face of YOUR Biblical teaching ‘Thou Shalt Not Kill’]? Would you care to tell your readers, please, Mr Mavere? And

[...]Endelea hapa “Disgrace against Zanzibar State — RESPONSE”

Report ya BBC Swahili London(uk)

Kura ya maoni yafanyika Zanzibar

Kisiwa cha ZanzibarKisiwa cha Zanzibar

Kura ya maoni inafanyika Zanzibar hii leo, ambayo inalenga kubadili katiba na kuruhusu uundwaji wa serikali za kuwagawana madaraka.

Zaidi ya wapiga kura laki nne walioandikishwa rasmi wanatarajiwa kupiga kura zao.

Chama tawala CCM na chama kikubwa cha upinzani CUF, vyote vinaunga mkono kura hiyo, ambayo inanuiwa kumaliza ghasia zilizokumba uchaguzi wa siku za nyuma visiwani Zanzibar.

Zanzibar ina utawala wake wa ndani chini ya serikali kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ikiwa kura hiyo ya maoni itapitishwa, Zanzibar kwa mara ya kwanza itashuhudia mfumo mpya wa serikali ambapo kutakuwa na rais na makamu wake wawili.

Makamu

[...]Endelea hapa “Report ya BBC Swahili London(uk)”

Matokeo ya Kituo cha Tumekuja [Maoni]

Matokeo yasio rasmi kutoka Kituo cha Tumekuja

Matokeo ya tumekuja school waliotakiwa kupiga 350, wamepiga 267, kura ndio 231, hapana 33, zilizoharibika 3.

Tumekuja number, wapiga kura 350. wamepiga kura 250 ndio 219, hapana 26, zilizoharibika 5.

Chumba 3, walitakiwa kupiga kura 350, waliopiga 345, ndio 209, hapana 30, ziliharibika 6.

Kituo number4, waliotakiwa kupiga 356, waliopiga kura 252, ndio 224, hapana 26, zilizoharibika.

Kura zote zilizotakiwa kupigwa 1406

Waliojitokeza 1014

NDIO 883

Hapana

[...]Endelea hapa “Matokeo ya Kituo cha Tumekuja [Maoni]“

SALAM KWA WEB YA BBC YA KISWAHILI

BBC TUNAWAHESHIMU SANA LAKINI TUNAWAOMBA HIYO PICHA MULIOIWEKA INATUDHALILISHA WAZANZIBAR. ZANZIBAR YA LEO SIO YA 1964 WALA 2005. LEO WATU WANAPIGA KURA KIISLAM NA SIO KIKAFIRI KAMA ILIVYOKUWA IKITOKEZEA KWENYE UCHAGUZI ZILIZOPITA.

TUNAOMBA KUPITIA ALLY SALEH UWAAMBIE JAMAA ZAKO KAMA HAWANA PICHA BASI WACHUKUE HAPA MZALENDO NA TUMESHAWAIDHINISHIA WALA HAWAHITAJI KUOMBA. KAMA MUNAONA TABU BASI NI BORA MUKATUEKEA JAPO YA BAIT AL AJAIB.

UONGOZI WA MZALENDO NAOMBA RADHI KWA KUEKA HABARI HII LAKINI SIJAONA NJIA NZURI YA KUWASILISHA OMBI LANGU ZAIDI

[...]Endelea hapa “SALAM KWA WEB YA BBC YA KISWAHILI”

UPIGAJI KURA WAFANYIKA KWA UTULIVU

Siku imeanza Zanzibar. Ndio nimetoka kituo cha skuli ya Mtopepo ambapo Maalim Seif ndipo alipopiga kura yake kama nusu saa iliyopita. Umma ni mkubwa kwenye kituo hicho kama picha inavyoonesha. Hali kwa ujumla ni ya utulivu kwa nchi nzima. Taarifa
<p>[...]Endelea hapa <a href=“UPIGAJI KURA WAFANYIKA KWA UTULIVU”

mpinga serikali ya umoja afukuzwa kazi

RAIS wa Zanzibar Amani Abeid Karume amemtimu kazi mkuu wa wilaya ya kati Ali Hassan Khamis akidaiwa kufanya kampeni chafu dhidi ya kura ya maoni ambayo itafanyika leo visiwani Zanzibar itakayoamua muundo mpya wa serikali ya umoja wa kitaifa.

Taarifa kutoka ikulu zimesema rais karume ametmfukuza kazi mkuu wa wilaya hiyo kwa mujibu wa kifungu namba 53(b) cha sheria ya Zanzibar ya mwaka 1984 kinachompa mamlaka rais kumfukuza mtu yeyote katika serikali yake.

Hadi sasa hakuna sababu zilizotolewa kuhusiana na kufukuzwa kazi kwake lakini kwa mujibu wa tetesi ziliopo ni kwamba hatua ya rais karume imefuatia kauli yake ya juzi aliyoitoa katika hafla ya kuzindua majenereta ya

[...]Endelea hapa “mpinga serikali ya umoja afukuzwa kazi”

Page 1 of 29123451020...Last »