All posts in Mashairi

mashairi

Risala wa Zinjibari – shairi
17/05/2011, Zima maoni

Mashairi ya Kibabina yajulikanayo kwa jina la “Risala wa Zinjibari” liloliandika mnamo karne ya 19: 1. Risal ...

KITI
09/04/2011, 1 Comment

Kiti kye miliki yangu, yukaja dhalimu, yukaniondosha Yukaiba hadhi yangu, na pya majukumu, yukanivulisha Kwa nguvu za wa ...

Upweke
13/03/2011, Zima maoni

Upweke waadhabisha,  pekeyo unapokuwa Maisha huwa yachosha,  la raha karaha lawa ‘Kiona watu wacheka,   utasema waz ...

Poetry reading
17/02/2011, Zima maoni

For the first time in my memory we had a Poetry Reading Night at bookshop called The Novel Idea in the Stone Town. The t ...

Jini hili jini gani?
12/01/2011, 2 Comments

kama hili hulioni, macho yako yana kutu meliona mie jini, langamiza wetu watu zaidi ya subiani, kiziwi kupewa tutu jini ...

NAKUAGA RAMADHANI
08/09/2010, Zima maoni

1.     Sina budi kukuaga                       Karimu wetu mgeni Nyoyo wazitoa woga      ...

SHAIRI-NABWA UMETUACHIA KALAMU
26/04/2010, Zima maoni

NABWA UMETUACHIA KALAMU Hatua yake ya kwanza Akifika kaburini Mimi hilo ndani naliamini Ni Ali Nabwa kuuliza Jee huku ni ...