Login



Fotos

Get the Flash Player to see the slideshow.

Sauti ya Kisonge

[...]Endelea hapa “Sauti ya Kisonge”

Picha ya leo kibanda maiti – SUK

Viongozi wa vyama vya siasa wenye bendera hapo juu wote walihudhuria katika ufunguzi wa tamasha la kuhimiza kura ya maoni lililofanyika uwanja wa demokrasia kibanda maiti lililotayarishwa na tanzania center for democracy (TCD) Lipumba(CUF), Shamhuna (CCM), Mrema(TLP), Maalim Seif(CUF), Mussa Hamad (CHADEMA)

[...]Endelea hapa “Picha ya leo kibanda maiti – SUK”

Picha:Jitimai – 2010

Salma Said,
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Amani Abeid Karume ametoa wito kwa Waislamu na wananchi wote wa Zanzibar kuunga mkono kura ya maoni kwa lengo la kuendeleza amani, mshikamano na kutofarikiana miongoni mwao kama Uislamu unavyosisitiza.

Rais Karume aliyasema hayo leo huko katika Msikiti wa Markaz Kuu Fuoni Migombani katika horuba yake aliyoitoa wakati wa ufunguzi wa Ijtmai ya 17 ya Kimataifa na kusisitiza kuwa zoezi la kura ya maoni linalotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi huu ni ishara tosha ya kujenga umoja na mshikamano na hakuna sababu ya kukataa kwani sio jambo baya.
Katika

[...]Endelea hapa “Picha:Jitimai – 2010″

Mkombozi abadilika kuwa mkoloni – J.K.Nyerere

Nyerere ni miongoni mwa wanasiasa wa Afrika waliojaribu sana kujipaka mafuta waonekane ni wakombozi.Na kweli Nyerere na taifa la Tanganyika limeshiriki katika ukombozi wa nchi nyingi barani Afrika.

Kile ambacho hatuelezwi katika historia ni zile tabia za ukweli za Nyerere.Nitachukia sana kuona watu wanamfananisha Nyerere na N.Mandela.Hawa watu hawafanani kwa namna yoyote ile.Hawa ni watu tofauti :

1.Mandela alikinai na hakuwa mlafi wa madaraka, alichokitaka ilikuwa ni uhuru wa watu wake.Mara tuu alivyofanikisha alijiondosha madarakani na kupumzika na familia yake.
Upande wa pili, Nyerere aliganda madarakani hadi kufika wananchi kutaka kumpindua si zaidi ya mara moja wala mbili Nyerere alikosewa kupinduliwa na wananchi waliochoshwa na ufukara na umasikini

[...]Endelea hapa “Mkombozi abadilika kuwa mkoloni – J.K.Nyerere”

Picha:Mapokezo ya wagombea wa CCM – Unguja


[View with PicLens]


bilal-shein


bilala-makofi


dua-22


dua[...]Endelea hapa
“Picha:Mapokezo ya wagombea wa CCM – Unguja”

Mkutano wa CCM Unguja – “Picture speaks thousand words”

Wazalendo hebu itazameni hii picha halafu tupate maoni yenu. Tafadhali bonyeza kwenye picha yenyewe ili uone kwa karibu zaidi.

Picha hii ni moja ya picha zilizopigwa katika mkutano wa CCM huko Unguja na kuwekwa katika mtandao huu wa mzalendo.net Mwandishi ameandika “umati mkubwa …”

Wanafalsafa wanasema a picture speaks thousand words, wakimaanisha kuwa picha zinatoa ujumbe mkubwa sana. Hata wale waliokuwa hawakuhudhuria mkutano huu wanaweza kupata picha ya jinsi mambo yalivyokuwa.  Je ni ujumbe gani unaotolewa na picha hii?

Nimejaribu kuonyesha baadhi ya ujumbe  niliopata katika picha hii, lakini nisingependa kuufafanua kwa maneno. Angalia alama nyekundu za

[...]Endelea hapa “Mkutano wa CCM Unguja – “Picture speaks thousand words””

Picha:Mgombea Urais Zanzibar na Mgombea Mwernza watambulishwa Pemba

Na Salma Said,
MAKAMU Mwenyekiti wa ChamaCha Mapinduzi Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwwnyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Amani Abeid Karume amesema kuwa busara na hekima za wazee wa CCM ndio chachu ya kukiimarisha chama hicho.
Rais Karume ameyasema hayo leo wakati alipokuwa akizungumza na wazee wa CCM wa Mikoa miwili ya Pemba huko katika ukumbi wa hoteli ya Clove Inn, mjini ChakeChake Pemba.
Katika hutoba yake kwa wazee hao, Rais Karume alisema kuwa mafanikio yaliyopatikana Zanzibar yametokana na mashirikiano makubwa yaliopo kati ya viongozi na wananchi ambapo wazee nao wamekuwa na mchango mkubwa katika kufikia hatua hiyo.
Alisema kuwa wazee wa CCM

[...]Endelea hapa “Picha:Mgombea Urais Zanzibar na Mgombea Mwernza watambulishwa Pemba”

Picha:Kongomano Picture Essay


[View with PicLens]


dscf0081


dscf0082


dscf0083


dscf0084

[...]Endelea hapa “Picha:Kongomano Picture Essay”

COMMITTE OF FOURTEEN

WAZANZIBARIIIII.....“COMMITTE OF FOURTEEN”

Kura ya maoni – NDIO!

[...]Endelea hapa “Kura ya maoni – NDIO!”

Page 1 of 151234510...Last »