Majimbo ya Mji mkongwe na Bububu yasema ndio..
Matokeo zaidi kufuatilia usiku mzima
[...]Endelea hapa “majimbo ya bububu na mji kongwe yesema NDIO”
|
|
||||
|
I am shocked and horrified at Joseph Mavere’s (does rhyme with Nyerere though!) emotional outburst. Because that is all it is: an emotional outburst – based on an incredible degree of ignorance! “Disgrace against Zanzibar State”! Let Mr Mavere tell his readers what exactly is disgraceful about the Zanzibar state. But, at the same time, let him also tell them this: is there anything anywhere in the world that is more DISGACEFUL than the REGULAR and SYSTAMATIC MURDER of ALBINOS? And who does that [in the face of YOUR Biblical teaching ‘Thou Shalt Not Kill’]? Would you care to tell your readers, please, Mr Mavere? And [...]Endelea hapa “Disgrace against Zanzibar State — RESPONSE” “Zanzibar is like an adopted child. Those who adopt try hard to incorporate the adopted child into the family,” says Josephe Mavere, a businessman from Arusha. “But like everyone will tell you, an adopted child is an adopted child. “The adopted child always has a problem with self-confidence in the family because whatever is being done by the family for the benefit of that child, the child feels it is being mistreated. (It wants to be) treated better than the rest of the family,” says Mavere. “They (Zanzibar) should have never accepted the union. (But) Leave them? NO!” he says. “Your child is your child no [...]Endelea hapa “Disgrace against Zanzibar State” Na Jabir Idrisa, KESHO JUMAMOSI – tarehe 31 Julai, – ndiyo siku ya uamuzi kuhusu mustakabali wa Zanzibar na Wazanzibari wenyewe. Hiyo ndiyo siku kwa kila mwananchi kupiga kura ya NDIYO kwenye kisanduku cha kura ya maoni ili kuyapa nguvu maridhiano yaliyoanzishwa na viongozi wetu wakuu katika siasa Zanzibar, Rais Amani Abeid Karume wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Maalim Seif Shariff Hamad wa Chama cha Wananchi (CUF). Hiyo ndiyo siku tunayopaswa kuitumia vizuri nafasi yetu ya haki kwa kusema NDIYO. Ni siku ambayo Wazanzibari walioandikishwa kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura (DKWK) la Zanzibar, wanatumia haki ya kikatiba kufanya uamuzi kuhusu mapendekezo ya mabadiliko ya mfumo wa [...]Endelea hapa “Ya nini ajizi? Mzanzibari sema NDIYO”
Na rasmi, Zanzibari mpya, mambo yetu mapya, matumaini mapya… Kupambazuka tu nafungua radio namsikia Abdalla Issa kawanda hewani. Mfano wa ngurumo sauti ya raisi wetu yasikika ikisema: Mbio mbio nikatoka nje kushuhudia nami niliyoyashuhudia siku hiyo adhimu, siku Zanzibar ilipoinuka upya na kuanza hatua ya matumaini; hatua ya nuru kuelekea usoni. Nje wanangu na wajukuu zangu furaha tele usoni; magari yamepambwa, makasida yanasika, dua na sherehe za aina kwa aina , watu wote wamejipamba na bashasha zimetawala; hali ya hewa imebadilika mfano wa Iddi. “ kunani Zanzibar?” ulimwengu ukauliza, “Uhuru, [...]Endelea hapa “Ikabaki siku moja…” Na.B.OLE, Wapemba na Waunguja watafanya kosa jengine la pili, ambalo watalijutia maishani mwao, pindipo wataikataa kura ya maoni hapo tarehe 31 july. Kosa la mwanzo ambalo ni lile la kuhadaliwa kwa Muasisi wetu wa Taifa la Zanzibar na Julius Nyerere na kulazimishwa Muungano ambao leo hii ndio kiini na chanzo cha matatizo ya Zanzibar. Wazanzibar wote hawana budi kuelewa kwamba hii ndio karata yao ya mwisho na nafasi pekee ya kuikoa nchi yao kwenye midomo ya chewa, kinyume na hapo ni kusema Zanzibar bye bye. Naamini siku zote majuto huwa ni mjukuu,Wazanzibar kuna haja ya kukumbuka kwamba ikiwa tutashindwa kuamua mustakabali wa Taifa letu basi tusije kutafuta [...]Endelea hapa “Wapemba, Waunguja na karata yao ya mwisho.” A/a Wa-Zanzibar hali ya Zanzibar tunaijuwa wenyewe Wa-Zanzibar tukiashana na yote hayo lakini Zanzibar wenzetu kwa maksudi hawaishukulii kuwa ni Nchi ilio kuwa na utaifa wake kamili na imeungana na Nchi nyingine, wenzetu wamejaribu kutufanya tuwe kama mkoa usio na watu wengi ambao ni mkoa mdogo ktk migowa ya Tanzania (Tanganyika) tena mkoa wa Pwani mawio na masheyo ktk utabiri wa hali ya hewa. ili turudishe heshima ya utaifa wetu na kizazi shetu cha badae pasi kura yako iwe NDIO, kundwakwa serekali ya mseto nikuifanya Zanzibar iwe (ALIVE ) hakuna taifa hata moja lililo kubali kuza utaifa wake kwa mwengine? vipi sisi Wazanzibar tukubali kuuza utaifa wetu? [...]Endelea hapa “Ukitaka usipoteze utaifa wako wa U-Zanzibar basi pigia (NDIO)” Jana niliandika kuelezea kuwa kupiga kura ya NDIYO- Jumamosi ni kuitafsiri Katiba kwa vitendo. Leo niliposoma katika mtandao wa Mzalendo na nikaona tangazo la SAUTI YA KISONGE kwa kweli nilishangaa sana kwani Kisonge palipaswa pawe ni pahali penye bango la kuhimiza NDIYO, najua wengi mtanishangaa kwa hilo, lakini naeleza hivyo kwa kunukuu tena maelezo yaliyomo katika Katiba yetu{- Ukarasa wa kwanza(Utangulizi)(fungu(paragraph)3)- Endelea kusoma WAKISONGE MSIOGOPE ” JUMAMOSI KUSEMA NDIYO” PIUS MSEKWA – NA HOFU YA KUVUNJIKA MUUNGANO “From Union Day and forever after, the Republic of Tanganyika and the Peoples’ Republic of Zanzibar are united into one Sovereign Republic of Tanganyika and Zanzibar” Haya ni maneno yaliokuwemo katika mkataba wa Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar. Na sasa Mheshimiwa Pius Msekwa katamka kua ana hofu kubwa ya Muungano huu kuvunjika. Kaendelea kusema “ … baada ya Baraza la Mapinduzi la Zanzibar kuwa limeridhia mkataba huo asubuhi ya tarehe hiyo hiyo [yaani, 25/4/64]” Huu
[...]Endelea hapa “PIUS MSEKWA – NA HOFU YA KUVUNJIKA MUUNGANO” Asalamu alaykum, nimeona kwa kuwa tumebakiwa na siku chache tu tupige kura ya maoni juu ya mstakabali mzima wa nchi yetu ni vyema nilete humu maamuzi ya baraza la wawakilishi juu ya serikali ya umoja wa kitaifa yaliofikiwa na wajumbe wa pende mbili za CCM na CUF. Tafadhali soma maamuzi wa wajumbe wetu hao upate faida ikiwa bado hujapata kuyaona au kuyasoma mamuzi haya yalioazimiwa Januari maamuzi ndio hayo huku nikikusihi mzanzibari kwenye haki ya kupiga kura tumia haki yako ya kikatiba ya kuchagua mfumo gani uutakao katika serikali mpya ijayo baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Pamoja na kuwa kura ni uamuzi wa mtu [...]Endelea hapa “SIKU ZILOBAKI WAZANZIBARI TUHIMIZANE” |
||||
|
Haki zote zimehifadhiwa © 2010 MZALENDO.NET |
||||
Habari maarufu