Assalaamu alykum
Tunawakaribisha waislamu wote kujiunga na ukumbi huu katika kufaidika na makala mbalimbali ya dini, siasa, habari za ulimwenguni, biashara na kadhalika.
Jiunge na alnoorcet Mailing list:
http://groups.yahoo.com/subscribe/alnoorcet
Shukran
Visit Your Group
Alnoorcet TWITTER
http://twitter.com/Alnoorcet/
Alnoorcet Facebook
http://www.facebook.com/alnoorcet
Download our Alnoorcet Toolbar …useful for Matangazo ya Vifo na Matangazo Mengine Muhimu straight to your desk top
Try it today and tell your friends.
http://alnoorcet.ourtoolbar.com/
Karibu Ukumbini: …. Download->Run->Install->weka jina na mahala ulipo->Enter Meeting Room-> and there you are —>Faidika nayo.
http://www.voxwire.com/login/index.php?r=07038631&a=LiveDarsah1
LiveDarsah Rules
http://www.alnoorcet.co.uk/livedarsah-rules
Jiunge
[...]Endelea hapa “Salamu”
Marehemu alizaliwa 1976 huko kidatu TZ BARA,Katika uhai wake aliwatumikia wazanzibar kadri ya uwezo wake,marehemu alisumbuliwa na maradhi mbali mbali kama vile kukatika mara kwa mara na mgao.
Wakati wa Salmin aliwahi kaufleti kwa kipindi cha ramadhani hadi siku kuu na serikali kuamua kuongeza sikukuu ya tano,mnamo mwaka 2008 Aliwahi kufleti kwa muda wa sk 28,na kufanikiwa kurudia hali yake ya kawaida kwa msaada wa madaktari kutoka NORWAY.
Mnamo tar 10/12/2009 Marehemu alikua katika matibabu na madaktari kutoka south afrika lakini hawakufanikiwa na kupoteza maisha Katika kijiji cha Fumba ZNZ.
Katika uhai wake marehemu alifanya mengi ikiwemo kumurika watu na mali zao pamoja na kukuza uchumi.marehemu
[...]Endelea hapa “RISALA FUPI YA MAREHEMU UMEME ZNZ”
Jackson Odoyo
MADAKTARI wa wilaya ya Temeke wameibua hisia nzito, hofu, simanzi na maswali baada ya kudaiwa kuruhusu mazishi ya watoto wawili mapacha na mmoja wao kuzinduka muda mfupi kabla ya kuingizwa kaburini.
Mtoto huyo, ambaye hadi anataka kuzikwa alikuwa na umri wa siku moja, alishangaza wazikaji baada ya kuonyesha dalili za uhai wakati akiandaliwa kuwekwa kaburini.
Alikuwa bado anapumua na baadaye akaonyesha kufungua macho, kitendo kilichostua wazikaji na kuamua kumkimbiza Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Watoto hao mapacha ni walizaliwa na mama aitwaye Aisha Jabir, 32, mkazi wa Mbagala Maji Matitu ambaye alipelekwa hospitalini hapo Jumamosi kwa ajili ya matibabu.
Baadaye mama huyo alilazwa na saa 11:00 alfajiri ya jana alijifungua
[...]Endelea hapa “Pacha azindukia makaburini kabla ya kuzikwa”
- Eti kavaa kofia chini mtupu!
- Polisi wamdaka
Mtu mmoja anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Mara baada ya kudaiwa kukutwa akiwanga kwenye choo cha shule moja, huku akiwa amevalia kofia kichwani ilhali mwilini akiwa mtupu kama alivyozaliwa.
Mtu huyo ambaye alinaswa hivi karibuni katika Kijiji cha Kibasuka mkoani humo na kunusurika kuuawa na wananchi wenye hasira, ametambuliwa kwa jina la Robert Mzee, mkazi wa kijiji jirani na kile alichonaswa cha Tegeruka Mpango.
Taarifa toka katika eneo la tukio na ambazo zimethibitishwa na Kamanda wa Polisi wa Mkoa Maalum wa Kipolisi Tarime – Rorya, Costantine Massawe, zinadai kuwa Mzee alikutwa akifanya vitendo vya kishirikina huku akiwa hana nguo mwilini
[...]Endelea hapa “Anaswa akiwanga kweupee!”
Ilikuwa ni siku ya ijumaakuu ya mwaka 2006 wakati nikiwa katika mjzungoko ya kujitafutia rizki halali, jua lilikuwa linazama tena katika kijiji kiitwacho masuguru bagamoyo mkoa wa pwani kamasikosei ni kijiji alikotokea mh. rais Kikwete..
Nikiwa na mwenzangu jina hemed. Tulipoona jua limetua na tulikuwa mifukoni tuna pesa ambazo ndio msingi wa mihangaiko yetu tuliona nibora kuomba hifadhi kwa serikali ya kijiji hicho tusije tukaporwa.
Tuliripoti kwa mtendaji wa kijiji hicho alitupa chakula pia alitusaidia simu kwani zetu hazikuwa nachaji ili tuwasiliane na jamaa zetu pemba.Diwani huyu alikuwa mkarim sana alitupa na jamvi la kujipumzishia.yote haya ilikuwa baada ya kujieleza na kuridhika kuwa tulikuwa ni wasafiri
[...]Endelea hapa “Yaliyowakuta wapemba wakiwa safarini”
ZANZIBAR INSTITUTE FOR RESEARCH AND PUBLIC POLICY
(ZIRPP)
P.O. Box 416,
Zanzibar,
Tanzania.
Tel: 0777 707820 Cellular
Tel: 0242 223 8474 Office
Email: yussufm@gmail.com
Fax: 0242 223 8475
Weblog: www.zirppo.wordpress.com
MASUALA YAULIZWAYO MARA KWA MARA:
Vipi Wazanzibari wanaweza kujiunga na ZIRPP? Tungelipenda kujibu suala hili kwa kusema kuwa wanachotakiwa kufanya Wazanzibari ni kujaza fomu na kulipa ada zao za uwanachama kama baadhi yao walivyokwisha kufanya. Fomu za maombi zimeshatumwa kwa kupitia mialiko ya kujiunga na taasisi yetu iliyokuwa ikitolewa mara kwa mara. Ada ya uwanachama kwa Wazanzibari wanaoishi ndani ya Tanzania
[...]Endelea hapa “Zanzibar institute for research and public policy”

Katika kitabu chake cha “The life and Times of Abdulwahid Sykes (1924-1968): The untold story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika” mwandishi Mohamed Said anaangalia mchango wa waislam katika harakati za kuleta uhuru wa Tanganyika. Je waislam ndio walioanzisha TAA na TANU? Je ni kweli Mwalimu Nyerere alinyakua TANU toka kwa waislam na kukifanya kuwa chombo cha kanisa? Nani alisaidia sana kuleta uhuru wa Tanganyika kati ya Mwalimu Nyerere na Abdul Sykes?
[...]Endelea hapa “Sauti:Mahojiano na Author & Historian Mohamed Said”
Umoja wa Wazalendo
“Na shikamaneni kwa Dini ya Mwenyezi Mungu nyote pamoja,
wala msifarikiane…”.
Wazee wetu, Ndugu zetu,
Assalaam Alaaykum,
[...]Endelea hapa “Umoja na mshikamano ndio ngao zetu”
Habari maarufu