JUMUIYA YA UAMSHO NA MIHADHARA YA KIISLAMU
(JUMIKI)
THE ASSOCIATION FOR ISLAMIC MOBILISATION AND PROPAGATION
P. O. BOX: 1266 -Tel: +255-777-419473 / 434145 E-Mail: jumiki@hotmail.com
MKUNAZINI ZANZIBAR
|
|
||||
|
JUMUIYA YA UAMSHO NA MIHADHARA YA KIISLAMU (JUMIKI)
THE ASSOCIATION FOR ISLAMIC MOBILISATION AND PROPAGATION P. O. BOX: 1266 -Tel: +255-777-419473 / 434145 E-Mail: jumiki@hotmail.com MKUNAZINI ZANZIBAR
Ili kuhakikisha maisha bora ya Mzanzibari, kuishi kwa usalama na amani,kuheshimu maisha na haki za binaadam za kila Mzanzibari, kumhakikishia kila Mzanzibari haki zote za kihalali za kidemokrasia, pana wajib mkubwa sana kwa wanasiasa wote wa Kizanzibari kutizama na kulinda maslahi yaWazanzibari wote kwa jumla bila ya kujali chama wakifuatacho. Kwa hivyo viongozi wote wa kisiasa lazima wasahau tofauti zao na kuungana na kutizama maslahi ya nchi nzima. ASP,CCM(ZNZ), Um- ma Parti, ZNP na ZPPP lazima watambuwe kwamba wanawajib mkubwa sana kwa nchi yao na vizazi vyao, na bila ya kuungana watu wataendeleakuangamizana na nchi kuselelea nyuma milele. CUF ni chama pekee kinachowakilisha mirengo yote hiyo tofauti [...]Endelea hapa “CUF ni chama pekee kinachowakilisha utaifa” MAKALA ILIYOWASILISHWA NA MUANDISHI SALIM SAID SALIM Tafadhali bonyeza kichwa cha chapisho hili. HOTUBA YA MAKARIBISHO KWENYE KONGAMANO LA MUWAZA KUHUSU KURA YA MAONI NA SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA 08.30 17.07.2010 Baytul Yamini, Malindi, Unguja, Zanzibar Imesomwa na Salim Toufiq, Mheshimiwa Mgeni Rasmi Waziri wa Utawala Bora na Katiba Mhe. Abdulla Shaaban akimwakilisha Rais Amani Abeid Karume Makamo wa Mwenyekiti Kamati ya watu 6 Mhe. Abubakar Khamis Waheshimiwa Washiriki wa Kongamano Waheshimiwa Wageni wa Kimataifa Mabibi na Mabwana Wapenzi Wazanzibari Kwanza napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupa afya njema ambayo imetuwezesha kufika hapa kwa ajili ya kuhudhuria Kongamano hili adhimu. Pili, nachukua fursa hii adhimu kwa ajili ya kutoa salamu za dhati [...]Endelea hapa “HOTUBA YA MAKARIBISHO KWENYE KONGAMANO LA MUWAZA” KURA YA MAONI YA SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA MAKALA HII IMEWASILISHWA NA ALI UKI KATIKA KONGAMANO UTANGULIZI Mfumo wa Kura ya Maoni ni demokrasia kwa wananchi kupiga kura ili kuamua§ jambo katika nchi yao. MORE……UTANGULIZI Aidha, mfumo wa Kura ya Maoni ni utaratibu mpya kwa baadhi ya nchi. Mfano,§ Zanzibar. [...]Endelea hapa “KURA YA MAONI YA SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA” HOTUBA YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI BUNGENI, MHE. RIZIKI OMAR JUMA (MB), KUHUSU MAKADIRIO NA MATUMIZI YA OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MAMBO YA MUUNGANO) KWA MWAKA WA FEDHA 2010/2011 1. UTANGULIZI Mheshimiwa Spika, [...]Endelea hapa “Serikali ya Muungano haiheshimu Mkataba wa Muungano” |
||||
Habari maarufu