Assalaam alaykum,
Sh. wangu hii documentary inanikumbusha machungu sikuhiyo home kulikuwa kumeshaandaliwa Biriyani ya nguvu lakini amini Mungu haikuliwa na wala hakikuonekana tena kama ni chakula kizuri kwa ajili ya siku ya furaha.
Unaweza ukatuwekea mzalendo net watu wakajikumbusha.
Ahsante.
Taymia

Habari maarufu