#Zanzibar’s 90 days Blackout
Hizo ni siku kuanzia December mwaka 2009, hadi somewhere in march 2010.Visiwa vya Zanzibar vilikuwa gizani, nchi ilienda kwenye sherehe za Mapinduzi na kutumia si chini ya bilioni moja huku ikiwa gizani bila ya standby generators.
On top of that, hakukua na maandamano wananchi wa Zanzibar kudai umeme wala hakuna aliejiuzulu.Hio ndio habari kwa ufupi.
Data archived here for future reference of our children of children, in case our nation Zanzibar will still remain
#Zanzibar’s 90 days Blackout
Hizo ni siku kuanzia December mwaka 2009, hadi somewhere in march 2010.Visiwa vya Zanzibar vilikuwa gizani, nchi ilienda kwenye sherehe za Mapinduzi na kutumia si chini ya bilioni moja huku ikiwa gizani bila ya standby generators.
On top of that, hakukua na maandamano wananchi wa Zanzibar kudai umeme wala hakuna aliejiuzulu.Hio ndio habari kwa ufupi.
Data archived here for future reference of our children of children, in case our nation Zanzibar will still remain