<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Maoni kwenye: RECRUITMENT</title>
	<atom:link href="http://www.mzalendo.net/foundation/recruitment/feed" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.mzalendo.net</link>
	<description>Sherehe za miaka 46 za hujma dhidi ya taifa la Zanzibar!</description>
	<lastBuildDate>Fri, 10 Sep 2010 09:53:30 +0000</lastBuildDate>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.0.1</generator>
	<item>
		<title>Kwa: ari mpya</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/foundation/recruitment#comment-1651</link>
		<dc:creator>ari mpya</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 23 Jan 2010 15:12:47 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?page_id=8162#comment-1651</guid>
		<description>Mambo mazuri hayo!!! kazi kwenu vijana wa kinyumbani kuchangamka.

Wasi wasi wangu nikuwa mzalendo.net inabidi iwe makini na hili ili tusije tkaharamikia mtu kama Seif Khatibu ambaye baadaye akajakuwa ndio anayetaka kuwatia vitanzi wazanzibari.

Uangalifu na mipango mikubwa ni lazima ipangwe ili kuhakikisha kwamba atakaye saidiwa atakuwa ni mzalendo wa kizanzibari na anastahili kusaidiwa na sio mtoto wa tajiri ambaye mzee wake anauwezo wa kumpeleka hata marekani kusoma anchotaka halafu akaja kuiangukia nafasi hii.

Nimategemeo angu kwamba hadi tangazo hili limetolewa basi nilazima mipango na mchakato wa kumpata huyo kijana itakuwa imeshaandaliwa vile vile.

Ikibidi kuwashirikisha watu wenye ujuzi juu ya hili basi ni bora hilo lifanywe!!

Ahsanteni</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Mambo mazuri hayo!!! kazi kwenu vijana wa kinyumbani kuchangamka.</p>
<p>Wasi wasi wangu nikuwa mzalendo.net inabidi iwe makini na hili ili tusije tkaharamikia mtu kama Seif Khatibu ambaye baadaye akajakuwa ndio anayetaka kuwatia vitanzi wazanzibari.</p>
<p>Uangalifu na mipango mikubwa ni lazima ipangwe ili kuhakikisha kwamba atakaye saidiwa atakuwa ni mzalendo wa kizanzibari na anastahili kusaidiwa na sio mtoto wa tajiri ambaye mzee wake anauwezo wa kumpeleka hata marekani kusoma anchotaka halafu akaja kuiangukia nafasi hii.</p>
<p>Nimategemeo angu kwamba hadi tangazo hili limetolewa basi nilazima mipango na mchakato wa kumpata huyo kijana itakuwa imeshaandaliwa vile vile.</p>
<p>Ikibidi kuwashirikisha watu wenye ujuzi juu ya hili basi ni bora hilo lifanywe!!</p>
<p>Ahsanteni</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>
