<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Maoni kwenye: pweza ,the paulo</title>
	<atom:link href="http://www.mzalendo.net/habari/16246/feed" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.mzalendo.net/habari/16246</link>
	<description>...Zanzibar na zama za ukweli na uwazi</description>
	<lastBuildDate>Sun, 05 Feb 2012 03:21:03 +0000</lastBuildDate>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.3.1</generator>
	<item>
		<title>Kwa: swaglish</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/16246#comment-7362</link>
		<dc:creator>swaglish</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 16 Jul 2010 09:18:09 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=16246#comment-7362</guid>
		<description>jamani shirki haifaii,, musitake kuwapotowa wazanzibari kwani zanzibar tuko waislamu wengi na hatuamini ushirikina huooo,,, kwanza uwongo hajenda kutabiri mtu coz kila mtu anaweka picha zake kwa kufanya editing hizo picha za ccm nz cuf nishaziona kama 3 zipo tofauti mara ccm iko kulia cuf ipo kushoto mana cuf ipo kulia na ccm kushoto  uwongo mtupu,, na huu mtandao nazani hamuna tena kazi za kufanya munatka sasa kudanganya watu haifaii upuuzi mtupu,,, sio kufurahisha watu hivi kama umekusudia watu wafurahi</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>jamani shirki haifaii,, musitake kuwapotowa wazanzibari kwani zanzibar tuko waislamu wengi na hatuamini ushirikina huooo,,, kwanza uwongo hajenda kutabiri mtu coz kila mtu anaweka picha zake kwa kufanya editing hizo picha za ccm nz cuf nishaziona kama 3 zipo tofauti mara ccm iko kulia cuf ipo kushoto mana cuf ipo kulia na ccm kushoto  uwongo mtupu,, na huu mtandao nazani hamuna tena kazi za kufanya munatka sasa kudanganya watu haifaii upuuzi mtupu,,, sio kufurahisha watu hivi kama umekusudia watu wafurahi</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: misali</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/16246#comment-7312</link>
		<dc:creator>misali</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 15 Jul 2010 18:26:45 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=16246#comment-7312</guid>
		<description>Huo ni ukosefu wa elimu na kutokuwa na iman na nyonyo zilizojaa shrrki kuamini visivyo aminiwa</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Huo ni ukosefu wa elimu na kutokuwa na iman na nyonyo zilizojaa shrrki kuamini visivyo aminiwa</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: cali</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/16246#comment-7303</link>
		<dc:creator>cali</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 15 Jul 2010 17:06:34 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=16246#comment-7303</guid>
		<description>aah sio itikadi wala ushirikina 
kwani hapo watu hawakupiga ramli walikwenda na kufanya kama ilivyokua akifanya kwenye kombe la dunia 
na hayo ndio matikeo yake 
jee unapinga kua cuf haishindi kwenye chaguzi zilizopigwa 
nazani bora tukupe darasa</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>aah sio itikadi wala ushirikina<br />
kwani hapo watu hawakupiga ramli walikwenda na kufanya kama ilivyokua akifanya kwenye kombe la dunia<br />
na hayo ndio matikeo yake<br />
jee unapinga kua cuf haishindi kwenye chaguzi zilizopigwa<br />
nazani bora tukupe darasa</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: Taymiya</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/16246#comment-7301</link>
		<dc:creator>Taymiya</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 15 Jul 2010 16:27:42 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=16246#comment-7301</guid>
		<description>Nahisi umekusudia kufurahisha wana ukumbi, lakini kama hivyo ndio unavyoitakidi katika nafsi yako basi hiyo ni shirki na shirki ni dhambi.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Nahisi umekusudia kufurahisha wana ukumbi, lakini kama hivyo ndio unavyoitakidi katika nafsi yako basi hiyo ni shirki na shirki ni dhambi.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>

