Gazeti la Majira Haliko hewani
Written by Mrfroasty (Ufundi) // 28/07/2009 // Isio-gawanyo // 2 Comments
Tunaomba samahani kwa kuliondosha gazeti la majira, sio kama tumelifungia lakini tumeliondosha kwa muda kutoka na website hiyo ya gazeti la majira kuondoka hewani.
Tutarudisha habari za majira mara tuu tutakapogundua kuwa website ya majira imerudi hewani
Asenteni
mzalendo
Marekebisho:
Majira wamerudi hewani, tushawarudishia habari hizo tayari.




2 Comments on "Gazeti la Majira Haliko hewani"
acheni kutoa sababu sisizo za msingi kwa kutokuwepo gazeti lenu kwenye mtandao,semeni kama ndiyo kufanya biashara ili sisi tunaotumia tusiweze kupata habari, kwani na sisi tunalipia.
Imefanyiwa marekebisho kwenye KISARA-admin
Sisi ni wasomaji wa gazeti la majira, twambie unalipa kiasi gani tukurudishie fedha zako