<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Maoni kwenye: (habari za magazeti) Mgombea wa urais Zanzibar &#8211; Dodoma</title>
	<atom:link href="http://www.mzalendo.net/habari/kitaifa/breaking-news-matokeo-ya-dodoma/feed" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.mzalendo.net/habari/kitaifa/breaking-news-matokeo-ya-dodoma</link>
	<description>...Zanzibar na zama za ukweli na uwazi</description>
	<lastBuildDate>Tue, 07 Feb 2012 11:24:36 +0000</lastBuildDate>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.3.1</generator>
	<item>
		<title>Kwa: mrfroasty</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/kitaifa/breaking-news-matokeo-ya-dodoma#comment-7003</link>
		<dc:creator>mrfroasty</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 10 Jul 2010 15:50:39 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=15954#comment-7003</guid>
		<description>Kulikuwa na LIVE coverage hapo kwenye chapisho hilo, imekuwa moved kwenye section ya live coverage i.e 

mzalendo.net/live au bonyeza button ya &quot;LIVE&quot; hapo juu kwenye navigation.

Maasalaam</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Kulikuwa na LIVE coverage hapo kwenye chapisho hilo, imekuwa moved kwenye section ya live coverage i.e </p>
<p>mzalendo.net/live au bonyeza button ya &#8220;LIVE&#8221; hapo juu kwenye navigation.</p>
<p>Maasalaam</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: pozitivu</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/kitaifa/breaking-news-matokeo-ya-dodoma#comment-6999</link>
		<dc:creator>pozitivu</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 10 Jul 2010 15:12:47 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=15954#comment-6999</guid>
		<description>@ Junius,
habari yako, natumai umenielewa vyema hapo hako ka fatma karume atulie kweli saivi sababu wazanzibar wamechoka nae&lt; sijui safari watampa tenda gani kama ya matofali au ya kushona uniform za janjawiri, junius kwa taarifa yako saivi wakina karume wanataka lile jumba la mayatima forodhani wauze ulevi basi, jee hii ni haki kweli, shein ajitayarishe kweli, mda wa karume umeisha lakini miradi yake bado, junius umeenda tunguu ukaona mahekali ya shadya karume? fanya uende, ujionee ardhi chache ya zanzibar inavyomilikiwa na wanamapinduzi wachache, yaani we acha tu.
@ MTUKWAO UNANIKOSHA
alieshinda ni karume sio sheni, sheni tayari alishajisabilia maisha yake bara na ndio maana hata kajiandikisha bara, sijui kapewa mabilioni mangapi na karume ili aje atuharibie shughuli yetu, sawa karume malizia hiyo ardhi iliyobaki baba, hongera.
@SARHAN SALIM,
kweli amani ndo komandoo</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>@ Junius,<br />
habari yako, natumai umenielewa vyema hapo hako ka fatma karume atulie kweli saivi sababu wazanzibar wamechoka nae&lt; sijui safari watampa tenda gani kama ya matofali au ya kushona uniform za janjawiri, junius kwa taarifa yako saivi wakina karume wanataka lile jumba la mayatima forodhani wauze ulevi basi, jee hii ni haki kweli, shein ajitayarishe kweli, mda wa karume umeisha lakini miradi yake bado, junius umeenda tunguu ukaona mahekali ya shadya karume? fanya uende, ujionee ardhi chache ya zanzibar inavyomilikiwa na wanamapinduzi wachache, yaani we acha tu.<br />
@ MTUKWAO UNANIKOSHA<br />
alieshinda ni karume sio sheni, sheni tayari alishajisabilia maisha yake bara na ndio maana hata kajiandikisha bara, sijui kapewa mabilioni mangapi na karume ili aje atuharibie shughuli yetu, sawa karume malizia hiyo ardhi iliyobaki baba, hongera.<br />
@SARHAN SALIM,<br />
kweli amani ndo komandoo</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: sarhan salim</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/kitaifa/breaking-news-matokeo-ya-dodoma#comment-6998</link>
		<dc:creator>sarhan salim</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 10 Jul 2010 14:02:25 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=15954#comment-6998</guid>
		<description>wanaosema eti SALMIN&lt; NA BILAL, MAKAMANDO WAMEKOSEA , COMANDO HASA AMANI KARUME KAMPINDUA BILAL, 2000,2005,2010 NA SASA KAMMALIZA KABISA ARUDI CHUO KIKU AKASOMESHE NDIO LILILOBAKIA</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>wanaosema eti SALMIN&lt; NA BILAL, MAKAMANDO WAMEKOSEA , COMANDO HASA AMANI KARUME KAMPINDUA BILAL, 2000,2005,2010 NA SASA KAMMALIZA KABISA ARUDI CHUO KIKU AKASOMESHE NDIO LILILOBAKIA</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: mtukwao</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/kitaifa/breaking-news-matokeo-ya-dodoma#comment-6996</link>
		<dc:creator>mtukwao</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 10 Jul 2010 13:52:05 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=15954#comment-6996</guid>
		<description>alieshinda hasa ni Amani Karume.....na familia yake.. Mchezo umekwisha!
Na sisi wazanzibari tumerubunika kwa kutuletea maridhiano haliyakua  tunajua fika kua angelitaka hili angelileta mapema 1- kaiba kwanza- 2- kafunga mlango halafu katupa wenyewe ufunguo. sisi tunafurahi tu kwasababu na sie tutakua washika funguo basi mwache aende na alichoiba... hamna neno!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>alieshinda hasa ni Amani Karume&#8230;..na familia yake.. Mchezo umekwisha!<br />
Na sisi wazanzibari tumerubunika kwa kutuletea maridhiano haliyakua  tunajua fika kua angelitaka hili angelileta mapema 1- kaiba kwanza- 2- kafunga mlango halafu katupa wenyewe ufunguo. sisi tunafurahi tu kwasababu na sie tutakua washika funguo basi mwache aende na alichoiba&#8230; hamna neno!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: sarhan salim</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/kitaifa/breaking-news-matokeo-ya-dodoma#comment-6995</link>
		<dc:creator>sarhan salim</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 10 Jul 2010 13:49:47 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=15954#comment-6995</guid>
		<description>salamu wazanzibar, BILALI,eeeeeeeeeeee cmm hawakutaki tafuta jembe ukalime, au njoo cuf na wanachama wako, tutakupokea sisi hatuna matatizo muhimu upiganie haki, yaani haki kwa sote, na kama unataka kujiunga na jahazi asilia shauri yako jahazi yafata upepo ikikosa yatangatanga, lakini sisi cuf tunatumia speed jet boart kama unataka iwahi kabla boart haijaondoka, kama unataka jahazi asilia ujue tu jahazi lishatoboga linakwenda mrama.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>salamu wazanzibar, BILALI,eeeeeeeeeeee cmm hawakutaki tafuta jembe ukalime, au njoo cuf na wanachama wako, tutakupokea sisi hatuna matatizo muhimu upiganie haki, yaani haki kwa sote, na kama unataka kujiunga na jahazi asilia shauri yako jahazi yafata upepo ikikosa yatangatanga, lakini sisi cuf tunatumia speed jet boart kama unataka iwahi kabla boart haijaondoka, kama unataka jahazi asilia ujue tu jahazi lishatoboga linakwenda mrama.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: kindy</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/kitaifa/breaking-news-matokeo-ya-dodoma#comment-6991</link>
		<dc:creator>kindy</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 10 Jul 2010 11:25:21 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=15954#comment-6991</guid>
		<description>Punda  yule  yule  lilobadilika  ni soji  endeleeni  na  furaha  kibao  kile kile ccm will never  change</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Punda  yule  yule  lilobadilika  ni soji  endeleeni  na  furaha  kibao  kile kile ccm will never  change</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: kitahanani</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/kitaifa/breaking-news-matokeo-ya-dodoma#comment-6990</link>
		<dc:creator>kitahanani</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 10 Jul 2010 11:23:29 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=15954#comment-6990</guid>
		<description>Kwako Junius

Huwa nakufuatlia sana comments zako unapozitoa wakati uko kwenye mzalendo na jamii forums.Huwa napendelea sana comments zako jamii kwani ni miongoni wa wazanzibari wachache walioweza kuwa up in arms na ndugu zetu wa upande wa pili haa katika masuala yanayohusiana na Zanzibar.

Kwenye jamii forums uko very well connected to the point and subject issue. Ila kwenye mzalendo unaonekana kidogo kuelekea zaidi katika discussing people more than issues wakati jamii upo vice versa.

Can you tell me why.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Kwako Junius</p>
<p>Huwa nakufuatlia sana comments zako unapozitoa wakati uko kwenye mzalendo na jamii forums.Huwa napendelea sana comments zako jamii kwani ni miongoni wa wazanzibari wachache walioweza kuwa up in arms na ndugu zetu wa upande wa pili haa katika masuala yanayohusiana na Zanzibar.</p>
<p>Kwenye jamii forums uko very well connected to the point and subject issue. Ila kwenye mzalendo unaonekana kidogo kuelekea zaidi katika discussing people more than issues wakati jamii upo vice versa.</p>
<p>Can you tell me why.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: Junius</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/kitaifa/breaking-news-matokeo-ya-dodoma#comment-6989</link>
		<dc:creator>Junius</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 10 Jul 2010 09:18:08 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=15954#comment-6989</guid>
		<description>@Positivu,
Nakubaliana na wewe ni kweli kabineti yote ya Karume ilikuwa nyuma ya Dr.sheni na usishangae atakapowekwa madarakani baadhi yao wakaendelea kama kawaida na nyadhifa zao. Na Karume ndiye alimshawishi Sheni kwa kisingizio cha MARIDHIANO ambayo kwa Karume hayana faida kinchi bali kwa nafsi yake. 

Ni wazi kuwa hataguswa na midhambi yake akiondoka madarakani maana mtu wake yupo na jaalia hiyo serikali ya ukweli na uwongo ya umoja wa kitaifa inaundwa ndiyo kabisa kwa kuwa itakonekana kaiasisi yeye basi hakuna atakaye mgusa.

Nilichokuwa nakiomba yule bibi(Fatma Karume) aache kupayukwa payukwa na kulia lia kuwa mwanawe anasingiziwa wizi, labda nimkumbushe awe fair, si mwanawe hata mjukuu wake Ahmed Karume ameshawadhulumu shamba la ekari si kidogo wakaazi wa Nungwi mkoa wa kaskazini Unguja, na mradi mkubwa hoteli ya kitalii umeanza. Kwa hiyo si mwanawe tu, ukoo wake wote wezi pamoja na yeye na akiendelea kubisha tutamfunuwa mpaka na yeye.

Kama Bi.Fatma anamuona mwanawe safi, basi ajitazame na yeye anayechukuwa mali za serikali kwa miradi yake binafsi kwa kisingizio cha &quot;marehemu bwana&quot;kapoteza roho itakuwa vipipa vya maji ya UUB.Loo!bibi hana haya yule, mwanawe kaifisidi nchi na yeye ameshamtafuta kibaraka kama yeye kwa kusaidiniana na mabawana zake wa tanganyika kumaliza kilichobaki.

Washukuru sana Zanzibar haina msitu, wangeshika adabu yao,tumechoshwa na upuuzi wao!
J</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>@Positivu,<br />
Nakubaliana na wewe ni kweli kabineti yote ya Karume ilikuwa nyuma ya Dr.sheni na usishangae atakapowekwa madarakani baadhi yao wakaendelea kama kawaida na nyadhifa zao. Na Karume ndiye alimshawishi Sheni kwa kisingizio cha MARIDHIANO ambayo kwa Karume hayana faida kinchi bali kwa nafsi yake. </p>
<p>Ni wazi kuwa hataguswa na midhambi yake akiondoka madarakani maana mtu wake yupo na jaalia hiyo serikali ya ukweli na uwongo ya umoja wa kitaifa inaundwa ndiyo kabisa kwa kuwa itakonekana kaiasisi yeye basi hakuna atakaye mgusa.</p>
<p>Nilichokuwa nakiomba yule bibi(Fatma Karume) aache kupayukwa payukwa na kulia lia kuwa mwanawe anasingiziwa wizi, labda nimkumbushe awe fair, si mwanawe hata mjukuu wake Ahmed Karume ameshawadhulumu shamba la ekari si kidogo wakaazi wa Nungwi mkoa wa kaskazini Unguja, na mradi mkubwa hoteli ya kitalii umeanza. Kwa hiyo si mwanawe tu, ukoo wake wote wezi pamoja na yeye na akiendelea kubisha tutamfunuwa mpaka na yeye.</p>
<p>Kama Bi.Fatma anamuona mwanawe safi, basi ajitazame na yeye anayechukuwa mali za serikali kwa miradi yake binafsi kwa kisingizio cha &#8220;marehemu bwana&#8221;kapoteza roho itakuwa vipipa vya maji ya UUB.Loo!bibi hana haya yule, mwanawe kaifisidi nchi na yeye ameshamtafuta kibaraka kama yeye kwa kusaidiniana na mabawana zake wa tanganyika kumaliza kilichobaki.</p>
<p>Washukuru sana Zanzibar haina msitu, wangeshika adabu yao,tumechoshwa na upuuzi wao!<br />
J</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: mrfroasty</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/kitaifa/breaking-news-matokeo-ya-dodoma#comment-6987</link>
		<dc:creator>mrfroasty</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 10 Jul 2010 08:54:05 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=15954#comment-6987</guid>
		<description>@Kassim, 

&lt;blockquote&gt;
Tusijaribu kufikiria kuvunja Muungano, bali tufikiriye kuimarisha Muungano unao kubalika kwa maslahi yetu sote. Panapo kuwa na mijadala ya wazi na wananchi kushirikishwa, basi tutapata kitu safi.
&lt;/blockquote&gt;

Mwenzetu hebu tupe hizo faida za muungano ambao unataka tusifikirie kuuvunja.Kumbuka sasa ni miaka 50 &lt;strong&gt;(nusu karne)&lt;/strong&gt; wazanzibari wamekuwa njia panda na kuganda kujiletea maendeleo sababu kuu ni Muungano.

Unataka tuendelee na miaka mengine 50 ya kujadili na kutatua kero za muungano.Zaidi ya hapo, umetuacha pangu pakavu kwa kusema tusifikirie kuuvunja bila ya kutupa sababu yoyote ya kuonesha faida tulizopata baada ya kustahamili kwa muda wa nusu karne.

Pengine suala kwako, jee tusingelikuwa na muungano tungelikuwa wapi kimaendeleo?

Kwa kumalizia toa maoni yako na ujisimee nafsi yako, usijaribu kuwaambia wazanzibari wasijaribu kufikiria.Hii ni kauli ya vitisho na kidikteta, watu wanatakiwa waachwe huru kufikiria.&lt;strong&gt;Napenda kuwahakikishia wazanzibari kuwa watapiga hatua kubwa sana za kimaendeleo pindipo watavunja muungano.Wana kila sababu ya kufikiria kuuvunja, na ndio njia sahihi ya kujikwamua na matatizo yao mengi ya kimaendeleo.&lt;/strong&gt;

Maasalaam,
mrfroasty</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>@Kassim, </p>
<blockquote><p>
Tusijaribu kufikiria kuvunja Muungano, bali tufikiriye kuimarisha Muungano unao kubalika kwa maslahi yetu sote. Panapo kuwa na mijadala ya wazi na wananchi kushirikishwa, basi tutapata kitu safi.
</p></blockquote>
<p>Mwenzetu hebu tupe hizo faida za muungano ambao unataka tusifikirie kuuvunja.Kumbuka sasa ni miaka 50 <strong>(nusu karne)</strong> wazanzibari wamekuwa njia panda na kuganda kujiletea maendeleo sababu kuu ni Muungano.</p>
<p>Unataka tuendelee na miaka mengine 50 ya kujadili na kutatua kero za muungano.Zaidi ya hapo, umetuacha pangu pakavu kwa kusema tusifikirie kuuvunja bila ya kutupa sababu yoyote ya kuonesha faida tulizopata baada ya kustahamili kwa muda wa nusu karne.</p>
<p>Pengine suala kwako, jee tusingelikuwa na muungano tungelikuwa wapi kimaendeleo?</p>
<p>Kwa kumalizia toa maoni yako na ujisimee nafsi yako, usijaribu kuwaambia wazanzibari wasijaribu kufikiria.Hii ni kauli ya vitisho na kidikteta, watu wanatakiwa waachwe huru kufikiria.<strong>Napenda kuwahakikishia wazanzibari kuwa watapiga hatua kubwa sana za kimaendeleo pindipo watavunja muungano.Wana kila sababu ya kufikiria kuuvunja, na ndio njia sahihi ya kujikwamua na matatizo yao mengi ya kimaendeleo.</strong></p>
<p>Maasalaam,<br />
mrfroasty</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: pozitivu</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/kitaifa/breaking-news-matokeo-ya-dodoma#comment-6986</link>
		<dc:creator>pozitivu</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 10 Jul 2010 08:53:12 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=15954#comment-6986</guid>
		<description>OMMYKISS NA KUMEKUCHA
mbona mnatuchanganya? wembe gani tena huo alonyolewa bilal mwaka 2000 na mwaka 2005, basi washauri ccm wabadilishe katiba yao kua mtu akifanikiwa kuwa rais ni lazima abakie nafasi hiyo kwa vipindi viwili, pia akimaliza kipindi cha pili aruhusiwe atoe mtu anaemtaka yeye awe mrithi wake, au mnaonaje hiyo wanamzalendo??? lakini hapa napata mashaka ya matokeo hayo, au ndo MAPINDUZI DAIMA,pole babu yangu dr bilal.
@ GUMEGUME, kakwambia nani shein hana makundi? ni juzi tu kina mansoor wanapigana vikumbo nyumbani kwa shein maisara kupeleka ujumbe kutoka kwa &quot;MZEE&quot; pole sana gumegume.
thanks,zanzibar ni njema atakae aje</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>OMMYKISS NA KUMEKUCHA<br />
mbona mnatuchanganya? wembe gani tena huo alonyolewa bilal mwaka 2000 na mwaka 2005, basi washauri ccm wabadilishe katiba yao kua mtu akifanikiwa kuwa rais ni lazima abakie nafasi hiyo kwa vipindi viwili, pia akimaliza kipindi cha pili aruhusiwe atoe mtu anaemtaka yeye awe mrithi wake, au mnaonaje hiyo wanamzalendo??? lakini hapa napata mashaka ya matokeo hayo, au ndo MAPINDUZI DAIMA,pole babu yangu dr bilal.<br />
@ GUMEGUME, kakwambia nani shein hana makundi? ni juzi tu kina mansoor wanapigana vikumbo nyumbani kwa shein maisara kupeleka ujumbe kutoka kwa &#8220;MZEE&#8221; pole sana gumegume.<br />
thanks,zanzibar ni njema atakae aje</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>

