<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Maoni kwenye: Matokeo ya Kituo cha Tumekuja [Maoni]</title>
	<atom:link href="http://www.mzalendo.net/habari/matokeo-ya-kituo-cha-tumekuja-maoni/feed" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.mzalendo.net/habari/matokeo-ya-kituo-cha-tumekuja-maoni</link>
	<description>...Zanzibar na zama za ukweli na uwazi</description>
	<lastBuildDate>Tue, 07 Feb 2012 11:24:36 +0000</lastBuildDate>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.3.1</generator>
	<item>
		<title>Kwa: Mtu-wakale</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/matokeo-ya-kituo-cha-tumekuja-maoni#comment-8159</link>
		<dc:creator>Mtu-wakale</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 31 Jul 2010 20:21:26 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=17060#comment-8159</guid>
		<description>Tumekuja na Bububuu ni halindwa tu, taarifa rasmi ni kuwa Pemba, moto mkali kwa mikoa yote miwili na wilaya zake nne. habari ni kuwa wale ma-CCM wenye muelekeo wa kihafidhina, wasiopendelea mabadiliko, leo hawakutoka nje ati wamefutuka, wanapinga kura ya maoni. Inasikitika maana hata ule utaratibu wa kupinga hawaujui. Hii imetokana kuwa wapingaji wa kura ya maoni hawakuwa na viongozi waliyojidhihirisha wazi wazi na kuweza kuwasidia wenzao kwa kuwaelimisha namna ya kupinga kura ya maoni. Maana kura ya maoni ni kuulizwa unataka au hutaki -NDIYO na hapana, sasa wewe ukijifungia ndani kwa kuwa unapinga unasaidia ushindi kwa wanaosema NDIYO.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Tumekuja na Bububuu ni halindwa tu, taarifa rasmi ni kuwa Pemba, moto mkali kwa mikoa yote miwili na wilaya zake nne. habari ni kuwa wale ma-CCM wenye muelekeo wa kihafidhina, wasiopendelea mabadiliko, leo hawakutoka nje ati wamefutuka, wanapinga kura ya maoni. Inasikitika maana hata ule utaratibu wa kupinga hawaujui. Hii imetokana kuwa wapingaji wa kura ya maoni hawakuwa na viongozi waliyojidhihirisha wazi wazi na kuweza kuwasidia wenzao kwa kuwaelimisha namna ya kupinga kura ya maoni. Maana kura ya maoni ni kuulizwa unataka au hutaki -NDIYO na hapana, sasa wewe ukijifungia ndani kwa kuwa unapinga unasaidia ushindi kwa wanaosema NDIYO.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: Ghalib</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/matokeo-ya-kituo-cha-tumekuja-maoni#comment-8149</link>
		<dc:creator>Ghalib</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 31 Jul 2010 16:26:12 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=17060#comment-8149</guid>
		<description>Alhamdu lilah,mungu ashukuriwe,inaonesha itapita ndio zadi ya asilimia 78% mungu ibarika zanzibar</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Alhamdu lilah,mungu ashukuriwe,inaonesha itapita ndio zadi ya asilimia 78% mungu ibarika zanzibar</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: mashelisheli</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/matokeo-ya-kituo-cha-tumekuja-maoni#comment-8147</link>
		<dc:creator>mashelisheli</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 31 Jul 2010 15:57:32 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=17060#comment-8147</guid>
		<description>ALHAMDULILLAH. INAFAA MOLA ASHUKURIWE KWA HILI NA MENGINEYO YAJAYO. KWA MATOKEO HAYA YA TUMEKUJA NDIO NI ZAIDI YA 87%.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>ALHAMDULILLAH. INAFAA MOLA ASHUKURIWE KWA HILI NA MENGINEYO YAJAYO. KWA MATOKEO HAYA YA TUMEKUJA NDIO NI ZAIDI YA 87%.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>

