<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Maoni kwenye: MSIMAMO WANGU NI KURA YA NDIO-SPIKA KIFICHO</title>
	<atom:link href="http://www.mzalendo.net/habari/msimamo-wangu-ni-kura-ya-ndio-spika-kificho/feed" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.mzalendo.net/habari/msimamo-wangu-ni-kura-ya-ndio-spika-kificho</link>
	<description>...Zanzibar na zama za ukweli na uwazi</description>
	<lastBuildDate>Tue, 07 Feb 2012 12:46:52 +0000</lastBuildDate>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.3.1</generator>
	<item>
		<title>Kwa: Heart</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/msimamo-wangu-ni-kura-ya-ndio-spika-kificho#comment-7604</link>
		<dc:creator>Heart</dc:creator>
		<pubDate>Tue, 20 Jul 2010 16:48:12 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=16355#comment-7604</guid>
		<description>W&#039;msalaam. 

Ahsante sana Stonetonwn nimeisoma habari hii, nashukuru kwa ushirikiano wako.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>W&#8217;msalaam. </p>
<p>Ahsante sana Stonetonwn nimeisoma habari hii, nashukuru kwa ushirikiano wako.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: muhimu</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/msimamo-wangu-ni-kura-ya-ndio-spika-kificho#comment-7550</link>
		<dc:creator>muhimu</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 19 Jul 2010 15:49:56 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=16355#comment-7550</guid>
		<description>kwani nyie cuf nyote muna vyeoo ndani ya chama chenu ?</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>kwani nyie cuf nyote muna vyeoo ndani ya chama chenu ?</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: stonetown</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/msimamo-wangu-ni-kura-ya-ndio-spika-kificho#comment-7543</link>
		<dc:creator>stonetown</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 19 Jul 2010 12:45:15 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=16355#comment-7543</guid>
		<description>@Heart
Assalamu alaykum.

http://www.mzalendo.net/?s=SIRI+YA+MAALIM+SEIF+NA+AMANI+IMEFICHUKA</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>@Heart<br />
Assalamu alaykum.</p>
<p><a href="http://www.mzalendo.net/?s=SIRI+YA+MAALIM+SEIF+NA+AMANI+IMEFICHUKA" rel="nofollow">http://www.mzalendo.net/?s=SIRI+YA+MAALIM+SEIF+NA+AMANI+IMEFICHUKA</a></p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: Heart</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/msimamo-wangu-ni-kura-ya-ndio-spika-kificho#comment-7541</link>
		<dc:creator>Heart</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 19 Jul 2010 11:29:08 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=16355#comment-7541</guid>
		<description>mimi sipo kabisa kuchangia mada ya hapo juu, ila kwa maneno machache nawapongeza viongozi wote wanaoweka hadharani kuunga mkono kura ya NDIO kwa SUT kwani ni hawa hawa kule nyuma walikataa na kupinga umoja huu. Hongereni kwani sasa Zanzibar kumepambazuka.

Sasa niende kwenye makusudio yangu, Niliona mada moja hapo juu baada ya hii YA MHS Spika nilipofungua Mtandao huu ilikuwa na kichwa cha habari SIRI YA MAALIM SEIF NA AMANI IMEFICHUKA KUTOKANA NA MAKUBALIANO YAO YA GHAFLA  walitaka kushitakiwa mahakama ya kimataifa kule Hague  Uholanzi.

Nilipotaka kuingia kwa undani ilipotea ghafla na sikuiona tena na nikambiwa habari hii haipo mtandaoni. Jee wataalamu hii habari ilikuwepo mukaifuta au kuna tatizo la kiufundi limejitokeza? Naomba jibu Administrater.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>mimi sipo kabisa kuchangia mada ya hapo juu, ila kwa maneno machache nawapongeza viongozi wote wanaoweka hadharani kuunga mkono kura ya NDIO kwa SUT kwani ni hawa hawa kule nyuma walikataa na kupinga umoja huu. Hongereni kwani sasa Zanzibar kumepambazuka.</p>
<p>Sasa niende kwenye makusudio yangu, Niliona mada moja hapo juu baada ya hii YA MHS Spika nilipofungua Mtandao huu ilikuwa na kichwa cha habari SIRI YA MAALIM SEIF NA AMANI IMEFICHUKA KUTOKANA NA MAKUBALIANO YAO YA GHAFLA  walitaka kushitakiwa mahakama ya kimataifa kule Hague  Uholanzi.</p>
<p>Nilipotaka kuingia kwa undani ilipotea ghafla na sikuiona tena na nikambiwa habari hii haipo mtandaoni. Jee wataalamu hii habari ilikuwepo mukaifuta au kuna tatizo la kiufundi limejitokeza? Naomba jibu Administrater.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: Taymiya</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/msimamo-wangu-ni-kura-ya-ndio-spika-kificho#comment-7536</link>
		<dc:creator>Taymiya</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 19 Jul 2010 09:42:20 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=16355#comment-7536</guid>
		<description>Ustadh wangu binamu.
Najuwa unamachungu sana na yaliopita hapa Zanzibar, lakini nahisi na ukweli hasa hayajakufika wewe kama yaliomfika Bilal Bin Rabah. Bilal Radhiya llah Anhu, alipata misukouko mikubwa kutoka kwa wale waliommiliki kipindi cha Ujahilia. Lakini walewale waliokuwa wakimtesa mfano Abuu Sufyaan mara tu aliposilim Bilal alikuwandie wa mwanzo kumkumbatia.

Sasa ikiwa hawa watu wanaonesha wameshakubali kuishi kwa umoja basi cha msingi tuwaombee duwa ili hiyo tarehe 31 July Allah akitufikisha tuone hizo kauli zao, hapo ndipo hayo yaliojificha kwnye nafsi zao yatakapodhihiri.

Ujuwe tu &quot;kila binaadamu ni mwenye kukosea na mbora wa yule ambae amekosea basi ni yule aliyetubia makosa yake[na huwezi kutubia mpaka ukiri]&quot; Hayo ni kwa mujibu wa Hadithi ya Mtume Muhammad amani ya Allah iwe juu yake.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Ustadh wangu binamu.<br />
Najuwa unamachungu sana na yaliopita hapa Zanzibar, lakini nahisi na ukweli hasa hayajakufika wewe kama yaliomfika Bilal Bin Rabah. Bilal Radhiya llah Anhu, alipata misukouko mikubwa kutoka kwa wale waliommiliki kipindi cha Ujahilia. Lakini walewale waliokuwa wakimtesa mfano Abuu Sufyaan mara tu aliposilim Bilal alikuwandie wa mwanzo kumkumbatia.</p>
<p>Sasa ikiwa hawa watu wanaonesha wameshakubali kuishi kwa umoja basi cha msingi tuwaombee duwa ili hiyo tarehe 31 July Allah akitufikisha tuone hizo kauli zao, hapo ndipo hayo yaliojificha kwnye nafsi zao yatakapodhihiri.</p>
<p>Ujuwe tu &#8220;kila binaadamu ni mwenye kukosea na mbora wa yule ambae amekosea basi ni yule aliyetubia makosa yake[na huwezi kutubia mpaka ukiri]&#8221; Hayo ni kwa mujibu wa Hadithi ya Mtume Muhammad amani ya Allah iwe juu yake.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: Mznz</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/msimamo-wangu-ni-kura-ya-ndio-spika-kificho#comment-7534</link>
		<dc:creator>Mznz</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 19 Jul 2010 08:36:19 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=16355#comment-7534</guid>
		<description>Ni msiba kumbe hivi ndivo Wazanzibari walivogawanyikaaa!!! mama miaaaa!!! huu msibaaaa tena sio mdogo.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Ni msiba kumbe hivi ndivo Wazanzibari walivogawanyikaaa!!! mama miaaaa!!! huu msibaaaa tena sio mdogo.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: Mznz</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/msimamo-wangu-ni-kura-ya-ndio-spika-kificho#comment-7533</link>
		<dc:creator>Mznz</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 19 Jul 2010 08:34:29 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=16355#comment-7533</guid>
		<description>INNAA LILLAH WAINNA ILAYHI RAAJIWUUN</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>INNAA LILLAH WAINNA ILAYHI RAAJIWUUN</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: Mznz</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/msimamo-wangu-ni-kura-ya-ndio-spika-kificho#comment-7532</link>
		<dc:creator>Mznz</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 19 Jul 2010 08:33:56 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=16355#comment-7532</guid>
		<description>ALLAH HUMA ANTA SALAM WAMINKA SALAM TABAARAKTA YA DHALJALAAL WAL-IKRAM</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>ALLAH HUMA ANTA SALAM WAMINKA SALAM TABAARAKTA YA DHALJALAAL WAL-IKRAM</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: zenjiboy</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/msimamo-wangu-ni-kura-ya-ndio-spika-kificho#comment-7528</link>
		<dc:creator>zenjiboy</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 19 Jul 2010 06:51:40 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=16355#comment-7528</guid>
		<description>@mtu kwao
Nami naungana mkono na mrfroasty,
Tuletee majina ya watu waliofukuzwa kazi wakati Maalim Seif ni Waziri Kiongozi. Naomba orodha iwe na:
1. Jina, 2. Idara aliyokuwa akifanya kazi, 3. Tarehe aliyofukuzwa kazi, 4. Sababu iliyoelezwa ndani ya barua yake.

Nadhani wakati wa Salmini wewe mwenyewe ni shahidi wa watu kufukuzwa kazi na wanafunzi kufukuzwa skuli pamoja na wengine kunyimwa nafasi za kwenda kusoma. Naamini humu ndani ya mtandao angalau asilimia 50 ya wasomaji wameathirika kwa namna moja au nyengine na kadhia za Salmin, na Bilali na master mind wao Shamhuna.

Tukija katika mada, tunaomba msimamo wa Dr Bilali na Nahodha, tuna hamu tuwajue msimamo wao hadaharani wasipite chini kwa chini kupakaza sumu tu!

</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>@mtu kwao<br />
Nami naungana mkono na mrfroasty,<br />
Tuletee majina ya watu waliofukuzwa kazi wakati Maalim Seif ni Waziri Kiongozi. Naomba orodha iwe na:<br />
1. Jina, 2. Idara aliyokuwa akifanya kazi, 3. Tarehe aliyofukuzwa kazi, 4. Sababu iliyoelezwa ndani ya barua yake.</p>
<p>Nadhani wakati wa Salmini wewe mwenyewe ni shahidi wa watu kufukuzwa kazi na wanafunzi kufukuzwa skuli pamoja na wengine kunyimwa nafasi za kwenda kusoma. Naamini humu ndani ya mtandao angalau asilimia 50 ya wasomaji wameathirika kwa namna moja au nyengine na kadhia za Salmin, na Bilali na master mind wao Shamhuna.</p>
<p>Tukija katika mada, tunaomba msimamo wa Dr Bilali na Nahodha, tuna hamu tuwajue msimamo wao hadaharani wasipite chini kwa chini kupakaza sumu tu!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: mrfroasty</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/msimamo-wangu-ni-kura-ya-ndio-spika-kificho#comment-7526</link>
		<dc:creator>mrfroasty</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 19 Jul 2010 06:33:58 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=16355#comment-7526</guid>
		<description>@mtu kwao
Tuletee ushahidi wa watu kufukuzwa makazini katika uongozi wa Seif.That will be very interesting...

Aidha ukitaka ushahidi wa watu waliofukuzwa makazini katika uongozi wa Salmin, huu hapa chini:

1.Dr.Muchi - Alikuwa kiongozi wa project ya Malaria na Mnazi mmoja.Alisumbuliwa wakati wa Salmin, hadi CUF wakamfuata na kumuingiza kwenye siasa.
2.Baba angu mimi personally amefukuzwa kazi, kisa na mkasa hakijulikani amekosa hata pension.
3.Babu Duni amekosa haki zake zote nadhani...
4.....orodha ndefu

Kila la kheri na kutuletea ushahidi huo wa Seif kufukuza watu makazini.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>@mtu kwao<br />
Tuletee ushahidi wa watu kufukuzwa makazini katika uongozi wa Seif.That will be very interesting&#8230;</p>
<p>Aidha ukitaka ushahidi wa watu waliofukuzwa makazini katika uongozi wa Salmin, huu hapa chini:</p>
<p>1.Dr.Muchi &#8211; Alikuwa kiongozi wa project ya Malaria na Mnazi mmoja.Alisumbuliwa wakati wa Salmin, hadi CUF wakamfuata na kumuingiza kwenye siasa.<br />
2.Baba angu mimi personally amefukuzwa kazi, kisa na mkasa hakijulikani amekosa hata pension.<br />
3.Babu Duni amekosa haki zake zote nadhani&#8230;<br />
4&#8230;..orodha ndefu</p>
<p>Kila la kheri na kutuletea ushahidi huo wa Seif kufukuza watu makazini.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>

