<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Maoni kwenye: SALAM KWA WEB YA BBC YA KISWAHILI</title>
	<atom:link href="http://www.mzalendo.net/habari/salam-kwa-web-ya-bbc-ya-kiswahili/feed" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.mzalendo.net/habari/salam-kwa-web-ya-bbc-ya-kiswahili</link>
	<description>...Zanzibar na zama za ukweli na uwazi</description>
	<lastBuildDate>Sun, 05 Feb 2012 04:52:06 +0000</lastBuildDate>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.3.1</generator>
	<item>
		<title>Kwa: swaglish</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/salam-kwa-web-ya-bbc-ya-kiswahili#comment-8176</link>
		<dc:creator>swaglish</dc:creator>
		<pubDate>Sun, 01 Aug 2010 06:53:39 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=16752#comment-8176</guid>
		<description>sawa sawa ally saleh haina tatizo lolote mm a tu basi nilijuwa imekusudiwa nini kuwekwa picha hiyo haina mashaka yoyote
nahuyo anae lalamika hakusema ukweli zanzibar hatupigi kura kiislam niuwongo kwasababu walio andikishwa ni kidogo sana ambao wanapiga kura na wasio andikishwa yani tulonyimwa haki zetu ni wengi so hapo tu hakuna haki yani hakuna uislam 
na nakwambia usiwaamini sana hawa ccm ukasema mumepiga kihaki,, hatuombi yatokee mabaya ila hawa hawaaminiki bro kuwa makini na unayo sema 

swaglish hapa,,</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>sawa sawa ally saleh haina tatizo lolote mm a tu basi nilijuwa imekusudiwa nini kuwekwa picha hiyo haina mashaka yoyote<br />
nahuyo anae lalamika hakusema ukweli zanzibar hatupigi kura kiislam niuwongo kwasababu walio andikishwa ni kidogo sana ambao wanapiga kura na wasio andikishwa yani tulonyimwa haki zetu ni wengi so hapo tu hakuna haki yani hakuna uislam<br />
na nakwambia usiwaamini sana hawa ccm ukasema mumepiga kihaki,, hatuombi yatokee mabaya ila hawa hawaaminiki bro kuwa makini na unayo sema </p>
<p>swaglish hapa,,</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: Ally Saleh</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/salam-kwa-web-ya-bbc-ya-kiswahili#comment-8150</link>
		<dc:creator>Ally Saleh</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 31 Jul 2010 16:34:59 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=16752#comment-8150</guid>
		<description>Sina mamlaka ya kusema kwa niaba ya bbc.

Ila nimeona barua kuhusiana na picha iliyotumiwa katika mtandao wa bbc na msomaji mmoja analalamika.

Nimeitizama sana picha hiyo na nimeshindwa kujua analalamikia nini.Ni kweli pengine hakuipenda picha hiyo kwa sababu zake, lakini kihabari hiyo ni picha nzuri sana.

Ni picha ambayo inaonyesha taabu ambazo wazanzibari wamezipitia na hata kufika kufanya kura ya maoni leo.

Sioni ubaya wa picha hiyo kwa sababu ni tukio la kiuchaguzi ambalo mara nyingi huishia katika hali kama hiyo.

Samahani kama hiyo itakuwa inaleta picha mbaya ya zanzibar, lakini ndio historia yetu na tena si ya zamani maana hao askari ni wa jku naamini na vitendo hivyo vinafaa kukemewa ikiwa ni pamoja na njia ya
kutiwa aibu kama hivi.

Ally Saleh</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Sina mamlaka ya kusema kwa niaba ya bbc.</p>
<p>Ila nimeona barua kuhusiana na picha iliyotumiwa katika mtandao wa bbc na msomaji mmoja analalamika.</p>
<p>Nimeitizama sana picha hiyo na nimeshindwa kujua analalamikia nini.Ni kweli pengine hakuipenda picha hiyo kwa sababu zake, lakini kihabari hiyo ni picha nzuri sana.</p>
<p>Ni picha ambayo inaonyesha taabu ambazo wazanzibari wamezipitia na hata kufika kufanya kura ya maoni leo.</p>
<p>Sioni ubaya wa picha hiyo kwa sababu ni tukio la kiuchaguzi ambalo mara nyingi huishia katika hali kama hiyo.</p>
<p>Samahani kama hiyo itakuwa inaleta picha mbaya ya zanzibar, lakini ndio historia yetu na tena si ya zamani maana hao askari ni wa jku naamini na vitendo hivyo vinafaa kukemewa ikiwa ni pamoja na njia ya<br />
kutiwa aibu kama hivi.</p>
<p>Ally Saleh</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>

