sauti ya uchaguzi wa amani visiwani
Written by kocha // 08/09/2010 // Habari // 2 Comments
slm alakum wanzanzibari mimi nataka kuchangia kidogo kuhusu huyu bw. said soud kuwa amewahi kufugwa kwa wizi wa fitambaa dukani kwa seif said chake chake pemba hafai hata kugombea urais.






2 Comments on "sauti ya uchaguzi wa amani visiwani"
kumbe huyu dingi said sudi tunaweza kumwita
nimgonjwa waakili,licha hafai kugombea uraisi hata kuishi
najamii yakizanzibar hafai pia nasema hivo
kwasababu ana macho haoni, ana masikio hasikii
na ana pua hahisi harufu, tumwite mtapia mloo
mimi naona anichefua roho, Mungu sw ibariki zanzibar
nawabariki waipendeleayo mema zanzibar amin,
mimi nilimsikiliza hayo maongezi yakee nikaona huyu
anapapatua tongekwatonge but tunakwambia yagujuuuu.
Wazalendo naomba tupunguze kashfa kama hizi kwa watu wote.
Tutumie lugha za busara zinazoeleweka. Hata iwe amekera kiasi gani hakuna haja ya kutuo kashfa zake. Lengo ni kujenga na sio kuboa.
Wazalendo nasisitiza tena, tujadili mada na sio mtoa mada. Kinyume chake tutakuwa tumekwenda nje ya malengo ya mtandao huu.