Login



Fotos

Get the Flash Player to see the slideshow.

Migawanyo

Kumbukumbu

M.Seif akipiga kura ya NDIO

M.Seif akipiga kura ya NDIO   (Picha kutoka FB ya Ghassany)

Maalim Seif amepiga kura yake muda mfupi ulopita na akasema “Zanzibar Daima!” alipoulizwa na waandishi wa habari ‘comments’ zake baada ya kupiga kura. Alisema ameridhika kwamba zoezi linakwenda vyema na kwamba ana matumaini kila Mzanzibari atapiga kura ya NDIO kwani hawataki kurudi kwenye migogoro iliyopita

Share and Enjoy:
  • Facebook
  • Twitter
  • Digg
  • MySpace
  • del.icio.us

1 Maoni M.Seif akipiga kura ya NDIO

  • truthtakestime

    Naafikiana na Maalim Seif kwa kusema,ktk nyakati tulizonazo Wazanzibari hawataki kurudi kwenye migogoro iliyopita ambayo takriban ni nusu karne iliendelea kuitafuna Zanzibar na siasa zake na zaidi ikaleta mifarakano.Tunaka ujenzi wa Zanzibar mpya,yenye matumaini mapya na itakayofungua ukurasa mpya kwa wananchi wake wote kwa kukaa pamoja na kufanyakazi pamoja bila kujali tofauti zao za dini,rangi,asili au kabila.Zanzibar daima!!!