Kijana Ahmed Juma
Written by Stonetown (Kiongozi) // 19/08/2010 // // 1 Comment
Tutakuwa tukileta live pictures from time to time kutoka Masjid swahaba Mtoni Zanzibar.
Kijana Ahmed Juma ambae amehifadhi juzuu kumi kwa njia ya Tashjee.
Written by Stonetown (Kiongozi) // 19/08/2010 // // 1 Comment
Tutakuwa tukileta live pictures from time to time kutoka Masjid swahaba Mtoni Zanzibar.
Kijana Ahmed Juma ambae amehifadhi juzuu kumi kwa njia ya Tashjee.
One Comment on "Kijana Ahmed Juma"
as/a
sheikh uloleta picha tumeziona.lakini kwa wengi wasiomwafahamu hawa vijana kupitia kwenye pic hizi tunaomba utuwekee video tusikilize usomaji wao na tuweze kucomment naona itakuwa ni njia nzuri kuliko kutuwekea picha.
by the way ahstante sana kwa picha.