_DSC0181

Written by  //  20/08/2010  //   //  No comments

(Picha na Amour  Nassor )

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Hatib Mwinchande akimkabidhi Fomu za kugombea Urais wa Zanzibar Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, alipokwenda kuchukua fomu hizo katika Ofisi za Tume hiyo leo.

Leave a Comment

You must be logged in to post a comment.