KURA YA MAONI: WALIOJIANDIKISHA NA WALIOPIGA KURA
Written by administrator // 04/08/2010 // Nyaraka/Vitabu // 8 Comments
Utangulizi:
Ufuatao ni mjadala juu ya kura nzima ya maoni ilivyokwenda, wangapi wamepiga NDIO, HAPA na waliochagua kutokupiga kura kabisa!
Waaleykum salaam
Kwa hili watu tofauti wanaweza kuwa na uchu tofauti wa kutaka kuelimika zaidi.
Kwa mfano kwa nini hawa ndugu zetu wameamua kuto piga kura
Jee hawakupata elimu ya kutosha na wanahitaji elimu zaidi ili kutambua umuhimu wa kura kama hiyo. Kwa hivyo itabidi wajulikane ili waweze kuelekezewa elimu itakikanayo. Pengine hata na wale waliopiga Hapana wanahitaji elimu zaidi kuona kama nafasi kama ile wakiipata tena huenda wakachukua msimamo mwengine.
Jee walitishwa na kuogopa au waliogopa wenyewe?
Walivunjika moyo na matokeo ya kura za nyuma?
Waliepuka kwa sababu walijua kwamba ushindi utapatikana au walikuwa na wasiwasi kwamba hapatakuwa na ushindi ?
Jee kumepitika kizungumkuti kutoka na mikono ya wale waliokuwa wa Hapana ndani au nje ya ZEC ?
Jee ZEC inaweza kusawazisha baadhi ya makosefu? Ili chaguzi zijazo ziwe bora zaidi ?
Jee ni bahati tu kwamba kuhusu Pemba ni mtindo wa asili mia 20% ndio wasiopiga kura wakati Unguja mtindo wa mtiririko umekuwa wa asili mia 30% ?
Mtu unaweza kujiuuliza kwa nini majimbo manane ya Hapana yameweza kupata idadi ya 95 elfu wakati majimbo 42 ya NDIO yamepata elfu 188 tu.
Matokeo yaliyotolewa ni ya vituo 1212 vya kupiga kura wakati vituo vyote ni 1292. Hesabu za vituo 80 zimekwenda wapi?
Baadhi yetu tulikuwa tunatarajia ushindi wa asili mia 75-80%. Kwa mujib wa jinsi maridhiano yalivyopokewa asili mia 66.4% kwetu wengine haitoshi hata kidogo.
Utafiti wa kina na waki sayansi unatakikana ili tuendeleze Demokrasia ya kuwekewa mfano hasa barani Afrika. Nyota ya Zanzibar hivi sasa inan“gara ingelikuwa vizuri kama tukaipiga polish ili in“gare zaidi. Zuri tuzidi kulizurisha na baya tulikimbie.
Naomba kutoa hoja.
Wasalaam
Yussuf
|
|
PEMBA |
WALIOJIANDIKISHA |
WALIOPIGAKURA |
WASIOPIGAKURA |
% Waliopiga kura |
%WASIOPIGA |
|
1 |
MKANYAGENI |
6142 |
4623 |
1519 |
75.26864214 |
24.73136 |
|
2 |
WETE |
8422 |
6868 |
1554 |
81.54832581 |
18.45167 |
|
3 |
MTAMBILE |
6634 |
5305 |
1329 |
79.9668375 |
20.03316 |
|
4 |
OLE |
7206 |
6361 |
845 |
88.27366084 |
11.72634 |
|
5 |
CHAKE |
8195 |
6314 |
1881 |
77.04697987 |
22.95302 |
|
6 |
ZIWANI |
7454 |
6191 |
1263 |
83.05607727 |
16.94392 |
|
7 |
WAWI |
9355 |
7100 |
2255 |
75.89524319 |
24.10476 |
|
8 |
KIWANI |
5995 |
4550 |
1445 |
75.89658048 |
24.10342 |
|
9 |
CHAMBANI |
4835 |
3968 |
867 |
82.06825233 |
17.93175 |
|
10 |
KONDE |
7443 |
5664 |
1779 |
76.09834744 |
23.90165 |
|
11 |
GANDO |
6755 |
5545 |
1210 |
82.08734271 |
17.91266 |
|
12 |
KOJANI |
7440 |
6485 |
955 |
87.16397849 |
12.83602 |
|
13 |
MTAMBWE |
6155 |
5332 |
823 |
86.62875711 |
13.37124 |
|
14 |
MKOANI |
6972 |
5014 |
1958 |
71.91623637 |
28.08376 |
|
15 |
CHONGA |
7325 |
5533 |
1792 |
75.53583618 |
24.46416 |
|
16 |
MGOGONI |
6951 |
5836 |
1115 |
83.95914257 |
16.04086 |
|
17 |
MICHEWENI |
7988 |
6694 |
1294 |
83.80070105 |
16.1993 |
|
18 |
TUMBE |
7692 |
6367 |
1325 |
82.77431097 |
17.22569 |
|
|
TOTAL PEMBA |
128959 |
103750 |
25209 |
80.49918068 |
19.50082 |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
UNGUJA |
|
|
|
|
|
|
1 |
BUMBWINI |
7170 |
4514 |
2656 |
62.9567643 |
37.04324 |
|
2 |
MJIMKONGWE |
7495 |
5646 |
1849 |
75.33022015 |
24.66978 |
|
3 |
TUMBATU |
9424 |
6689 |
2735 |
70.97835314 |
29.02165 |
|
4 |
KIKWAJUNI |
7910 |
5549 |
2361 |
70.1517067 |
29.84829 |
|
5 |
CHUMBUNI |
10379 |
7043 |
3336 |
67.85817516 |
32.14182 |
|
6 |
KIEMBESAMAKI |
4698 |
2810 |
1888 |
59.81268625 |
40.18731 |
|
7 |
MAKUNDUCHI |
8689 |
6488 |
2201 |
74.66912188 |
25.33088 |
|
8 |
FUONI |
10884 |
6560 |
4324 |
60.27195884 |
39.72804 |
|
9 |
KOANI |
12034 |
7898 |
4136 |
65.63071298 |
34.36929 |
|
10 |
MAGOGONI |
10141 |
6887 |
3254 |
67.91243467 |
32.08757 |
|
11 |
CHAANI |
8103 |
5357 |
2746 |
66.1113168 |
33.88868 |
|
12 |
DONGE |
7872 |
4645 |
3227 |
59.00660569 |
40.99339 |
|
13 |
JANG’OMBE |
9173 |
6431 |
2742 |
70.10792543 |
29.89207 |
|
14 |
MATEMWE |
6325 |
3997 |
2328 |
63.19367589 |
36.80632 |
|
15 |
MTONI |
9672 |
7164 |
2508 |
74.06947891 |
25.93052 |
|
16 |
RAHALEO |
7269 |
4960 |
2309 |
68.23497042 |
31.76503 |
|
17 |
AMANI |
7641 |
5405 |
2236 |
70.73681455 |
29.26319 |
|
18 |
BUBUBU |
9809 |
6741 |
3068 |
68.72260169 |
31.2774 |
|
19 |
CHWAKA |
10402 |
6726 |
3676 |
64.66064218 |
35.33936 |
|
20 |
DIMANI |
12813 |
8959 |
3854 |
69.92117381 |
30.07883 |
|
21 |
DOLE |
8017 |
5101 |
2916 |
63.627292 |
36.37271 |
|
22 |
NUNGWI |
8436 |
5777 |
2659 |
68.48032243 |
31.51968 |
|
23 |
KITOPE |
7737 |
4723 |
3014 |
61.04433243 |
38.95567 |
|
24 |
UZINI |
8743 |
5902 |
2841 |
67.50543292 |
32.49457 |
|
25 |
KWAHANI |
7497 |
4614 |
2883 |
61.54461785 |
38.45538 |
|
26 |
KWAMTIPURA |
10767 |
7248 |
3519 |
67.31680134 |
32.6832 |
|
27 |
MAGOMENI |
9912 |
6924 |
2988 |
69.85472155 |
30.14528 |
|
28 |
MFENESINI |
7247 |
5670 |
1577 |
78.23927142 |
21.76073 |
|
29 |
MKWAJUNI |
6769 |
4584 |
2185 |
67.72049047 |
32.27951 |
|
30 |
MPENDAE |
9489 |
6781 |
2708 |
71.46169249 |
28.53831 |
|
31 |
MUYUNI |
8201 |
6178 |
2023 |
75.33227655 |
24.66772 |
|
32 |
MWANAKWEREKWE |
8062 |
5318 |
2744 |
65.9637807 |
34.03622 |
|
|
TOTAL UNGUJA |
278780 |
189289 |
89491 |
67.76338661 |
32.23661 |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
TOTAL ZNZ |
407739 |
293039 |
114700 |
71.86 |
28.14 |





8 Comments on "KURA YA MAONI: WALIOJIANDIKISHA NA WALIOPIGA KURA"
bwana mtowa mada umesema kuwa matokeo yaloizinishwa ni ya vituo 1212,na jumla ya vituo unasema kuwa ni 1292 hebu tuwekee wazi ili tupate kuelewa na tujuwe jinsi gani ya kuchangia ,hivyo vituo vengine vya kupigiya kura unaweza kututajia kwa majina yake ?ambavyo umesema kuwa vituo 80 matokeo yake hayaonekani ,,
Hayo hapo chini ndio matokeo yaliyoletwa na ZEC katika mtandao wao. Sasa inaonekana wamebadilisha. Ingia kwenye mtandao.
Zanzibar Referendum Results for Country : National
——————————————————————————–
CandidateName Votes
NDIO / YES 175476
HAPANA / NO 90588
ResisteredVoters 407669
ValidVotes 266064
InvalidVotes 8309
TotalTurnOut 274373
PercentTurnOut 67.00%
PollingStationsPublished 1210 of 1292
Wazzalendo,
Naogopa sana komputer hasa katika masuala muhimu kama. Wakati unajiribu kuganga kumbe unaharibu.
Mwandishi katika Total yake ya waliojiandikisha kapata 407,739 wakati ZEC yakwake ni 407,669. Tayari makosa yameshatokea. Sasa tumuamini nani?
Hili ni suala ambalo ningewaomba Wazalendo na ZEC kuwa makini sana katika data transfer. Ni kidole tu ndio kinacho bonyeza, kosa utalijuwa baadae. Ni rahisi katika hali kama hii kuandika makosa.
Hiyo total si yangu imetiwa na mzalendo, Nambari nilizotumia mimi ni tatu tu nazo ni za vituo tu. 1292, 1212 n1 80. Hiyo jeduweli si yangu.
Nambari za hapo juu zinatoka kwa mtanda wa ZEC zimekopiwa na kupestiwa. Hiyo ndio mibonyezo yangu.
mimi sikuelewi mtoa mada unataka nini ushindi ni ushindi tu hata kama ni wa goli moja.usiwe greedy kiasi hicho ,binadamu wametafautiana.kuna wengine wanapenda wanawake wanene wengine wembamba.wengine wanapenda kula kunde wengine hawapendi.wengine wanapenda nyama ya bata kuliko kuku.
uchaguzi wa marekani ulikuwa na 63% turn out.uk ulikuwa si zaidi ya 70% turn out kama sikosei.kwa ufupi hili swala si nyumbani peke yake hata kwa wenzetu vile vile.
nyumbani siasa imebadilika tafauti na miaka ya nyuma watu inaonekana wamechoka na mashaka ya siasa.kila mtu yuko busy na kutafuta maisha.
la mwisho naomba uondoe conspiracy theories kwasababu kwa mujibu habari cuf waliweka waangalizi wao vituo vyote na wakakubali matokeo.
kuna baadhi ya cuf wameweka hapana na vile vile ccm kibao wameweka hapana na hao hao ccm wameweka ndio.
Mimi kwa mawazo yangu naona hao walikua hawakupiga kura ni silaha za CCM,ambazo zitatuliza october.Niwale watu wanaochukuliwa kwa magari kutoka jimbo moja kwenda jingine,ambao hawakuchukuliwa katika kura ya maoni.na tayari wameshaandikiswa.
Muunguja hata nami najiuliza, hii kutaka kujuwa kwanini watu hawajaenda kupiga kura sijuwi ina maana gani na sijuwi ina uzito gani? Au ndio kusema watu warudiye tena hii kura ya maoni?
Kenya ya kwao wanategemea watakao jitokeza ni 60% Jee hawa 40% ndio wawe sababu ya kuzuwiya kura ya maoni? Mtu kama umepata fursa ya kutowa maoni yako, ni vyema kwenda kutumia haki yako, vyenginevyo funga mdomo wako pale utakapo ona mambo yamekwenda vibaya. nchi kama Australia kupiga kura ni lazima, kuepusha manunguniko na kuwapa fursa watu kutowa maoni yao.
Jambo jengie, watu wana njaa, si hasha mwengine yupo songea, mwengine kaajiriwa na mtaliana, mwengine yupo spitali, mwengine kata kuja kutoka Dar hakupata safari…
Huu si wakati wa kutafuta choko choko. Ni wakati wa kufikiria sisi kama wananchi wa kawaida tutafanya vipi kuisaidia hii serikali yetu na serikali itawajibika vipi kuhakikisha hawawaangushi wananchi wao. Uchaguzi utakwendaje. Kwa upande wa tume wamejifunza nini kutokana na kura ya maoni jinsi walivyo weza kupiga kura kwa salama usalimini. Polisi, jeshi, valantia, mgambo… jee kweli munahitajika kwenye kupiga kura? Jawabu nadhani hapana. Kama kuwepo ni polisi na wawili watatu wanatosha… sisi tuna nidhamu kwenye mambo yetu
assalam aleykum
tushukuru mungu uchaguzi umekwisha kwa salama, na ushindi niushindi tu.lakini ingekuwa kuwa vizuri kama wataalamu (kama wapo )wetu wakafuatilia na kufanya utafiti katika kasoro ndogo ndogo kamahizo zinazohusu jamii kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu,wenzetu wanaendelea kasababu wao hawapuuzi kitu ,kila jambo huwa wanalifanyia utafiti.kwa nini idadi kubwa ya watu hawakushiriki katika kutoa maoni yao ? au ndo kama biharusi akikaa kimya maana yake ndo kakubali???