Shukurani

Asante sana kwa msaada na mchango wako :

Kwa niaba ya MZALENDO FOUNDATION, tunapenda kutoa shukurani zetu za dhati kwa mchango wako kwa MZALENDO FOUNDATION.

M.Mungu akujaalie kila la kheri na inshallah tutahakikisha mchango huo unawafikia walengwa.

UONGOZI WA MZALENDO FOUNDATION

One Comment on "Shukurani"

  1. Binshaamis 01/03/2011 kwa 2:17 um ·

    Baada ya kujua kwa kutumia pay pal, imekua simple, tutajitahd kila pale mifuko yetu itakapoturuhusu kufanya hivyo, inshaallah,

    Kutoa sio utajiri bali ni moyo, what I believe.

Leave a Comment

You must be logged in to post a comment.