Kura
Kumbukumbu za kura za maoni zilizopigwa na watembeleaji katika mtandao huu:
Maoni ya habari za mtiririko:
Unashauri kufutwa chapisho hili ?
- Hapana (82%, 9 Votes)
- Ndio (18%, 2 Votes)
Total Voters: 11
Start Date: 16/11/2011 @ 6:49 um
End Date: No Expiry
Waziri Mh. Hamad Masoud ajiuzulu kufuatia ajali ya kuzama meli ?
- Hapana (62%, 243 Votes)
- Ndio (38%, 150 Votes)
Total Voters: 393
Start Date: 08/10/2011 @ 12:13 um
End Date: No Expiry
Samia Suluhu ameisaliti Zanzibar ?
- Ndio (91%, 268 Votes)
- Hapana (9%, 25 Votes)
Total Voters: 293
Start Date: 01/05/2011 @ 10:35 mu
End Date: No Expiry
Zanzibar ibaki ndani ya muungano ?
- Hapana (87%, 1.749 Votes)
- Ndio (13%, 260 Votes)
Total Voters: 2.009
Start Date: 22/02/2011 @ 7:13 mu
End Date: No Expiry
Zanzibar inahitaji katiba mpya ?
- Ndio (92%, 906 Votes)
- Hapana (8%, 81 Votes)
Total Voters: 987
Start Date: 05/12/2010 @ 4:43 um
End Date: No Expiry



2 Comments on "Kura"
Hapo zamani kulikuwa, A.S.P. Mwaka 1977,Vyama viwili vikaungana ikapatikana c.c.m Inamaana [chama cha mapinduzi ].Lakini Bara hayakufanyika mapinduzi,.Sasa tutayaitaje huko Bara, na mapinduzi yamefanyika Zanzibari,. He, haya mambo makubwa kabisa,.Nchi hii inaongozwa na viongozi wapumbavu,Wazanzibari tuwe kitu kimoja tusikubali kuwachagua,Viongozi wanoambiwa, ukiwa ndani ya nyumba mke, ni mkewako,ukiwa nje ya nyumba sio tena mke wako.Sasa hivi Wazanzibari si wajinga tena [Maa,salam]
Unajua bosi Amar, Nyerere mjanja sana na watu wengi hawamfahamu kwa baadhi ya mbinu zake.
Nyerere alikwisha wapima Wazanzibari hasa watu waliokuwa makada wa ASP na Mapinduzi na kuona kuwa ili kuwatia mkononi Wazenj katika kuunganisha vyama, hana budi kuwatilia kile wanachokipenda, nacho ni neno MAPINDUZI.
Hapa akaamua kuwa chama kipya kipewe jina la Chama cha Mapinduzi, CCM, ili awakoshe wazenji waliogubikwa na neno hili kwa siasa walizokuwa wakifundishwa na ASP.
Kwa ufupi ni hivyo.