Kwa nini udhibiti wa passport uliondolewa kati ya Zanzibar T

Written by  //  14/08/2010  //  Makala/Tahariri  //  39 Comments

Na. B.OLE,

Hadi leo hii nashindwa kuelewa kwa nini udhibiti wa ”passport” uliondolewa kati ya Zanzibar na Tanganyika. Wakati hili likitendeka hakuna kiongozi yeyote wala Mwanasheria aliepiga kelele juu ya hili.

Tulichokisikia ni kwamba Tanganyika wanasherekea kuungana kwao na Zanzibar, kwa maana hiyo kitengo hichi cha forodha nacho kinaingizwa kwenye mambo ya Muungano, ili kuwafanya Watanganyika kuingia Zanzibar bila kitambulisho chochote kile.

Nasema hili lilifanywa maksudi ili kuipa mzigo mkubwa Zanzibar na pia kuichanganyana na Bara kama wanavyosema vijana wa kileo ”kiaina” bila wenyewe Wazanzibar kufahamu ni nini kinachoendelea.

Hili lilikuwa ni kosa kubwa kwa Serikali ya Zanzibar kwani ubaya wake umekuwa mkubwa kiasi ambacho si watu wengi walifikiria kama hali iliopo sasa kama ingeweza kujitokeza.

Wavamizi wamekuwa wengi Zanzibar, huku wenyeji wakihangaika kimaisha. Huu ni mpango maalumu wa kuithibiti Zanzibar na watu wake, ndio ukaona mpaka inafika leo hii Mzanzibar anakoseshwa haki yake lakini mgeni anafaidika na matunda ya Zanzibar.

Hii leo nafasi muhimu zote zimedhibitiwa na Watanganyika tokea sheha, wafanyakazi mahotelini, wauza baa, sekta za Serikali zikiwemo Bank na sehemu zote za ulinzi kama vile jeshi na nyenginezo, sasa hawa Wazanzibar wenyewe wafanye nini ?

Athari za kuondolewa kwa udhibiti wa Passport ni kubwa sana, kwanza inatishia hali ya usalama wa Raia na Taifa kwa ujumla. Tuangalieni leo hii Majambazi yanavyotumia silaha Zanzibar jambo ambalo huko mwanzo sikuwahi kulisikia.Mimi binafsi sikufikiria ya kwamba iko siku nitasikia milio ya Risasi ‘live” Zanzibar. Leo hii ni jambo la kawaida kusikia sehemu fulani imevamiwa na majambazi.

Sehemu za biashara zinavamiwa bila woga, la kushangaza ni kwamba vitendo hivyo vinafanywa kweupe, hakuna ambae anajali kama vile tuko vitani.

Kutokana na kwamba Zanzibar hakuna udhibiti wowote ule inakuwa sio rahisi wahalifu hawa kufikishwa kwenye vyombo vya sheria, matokeo yake wanapeta mitaani.

Na wale ambao hukamatwa kwa bahati mbaya basi wengi wao huwa ni wageni kutoka nje ya Zanzibar, na hakuna hatua yeyote ile inayochukuliwa kuikomesha hali hii.

Serikali iko kimya kulizungumzia suala hili, licha ya kutambua udogo wa visiwa hivi, kwamba hauwezi kubeba mzigo mkubwa wa watu.

Ni imani yangu kwamba suala hili litaangaliwa upya na Serikali inayokuja kwani ni jambo lenye umuhimu mkubwa kwa Wananchi wa Zanzibar na mali zao na usalama wa nchi pia.

Wala huu sio ubaguzi, kila nchi ni jukumu lake kudhibiti uingiaji wa watu kiholela, ndio leo hii kila unapokwenda duniani lazima uwe na visa, kwa nini Zanzibar tuwaruhusu watu kuingia bila kufanyiwa uchunguzi wowote ule.

Lazima udhibiti katika mipaka yetu utupiwe macho upya na kila ambae si Mzanzibar hana budi kuingia chini kwa viza au ”entrey” maalum inayotambulika na Serikali.

39 Comments on "Kwa nini udhibiti wa passport uliondolewa kati ya Zanzibar T"

  1. mwanakijiji 14/08/2010 kwa 10:47 um ·

    NInachokisoma ni kile ambacho ninakihofia; Wazanzibar ni kina nani? Sheria yenu wenyewe inafungua mlango wa watu wa bara kuwa WAzanzibari. Lakini, hata kihistoria Wazanzibari haijawahi kumaanisha wakazi wa visiwa vya Unguja na Pemba TU! Mnachojaribu ni kile kile cha kujaribu kubagua ili mbakie na “Wazanzibari pure”.

    Leo mnafikia kuita watu “wahalifu hawa” kwa sababu hawakutoka Zanzibar au hawana asili ya Unguja na Pemba. Ati “wavamizi” na “Wenyeji”!! Sasa mbona hujauliza haja ya Wazanzibari kuwa na pasi zao za kusafiria ili kwenda nje ya Zanzibar?

    Bila kujali unachosema unadai kuwa ‘nafasi zote muhimu’.. kweli nafasi zote muhimu zimeshikiliwa na “watanganyika” (watu ambao hawapo anyway). YOte ni katika kupandikiza hisia isiyo na ukweli wa halisia au kihistoria kuwa Zanzibar wanakaliwa kimabavu.

    Kama dai lako hata moja lina ukweli embu tuambie ni masheha gani hao ambao ni Watanganyika? Embu tutajie tu japo nafasi chache “muhimu” ambazo zinakaliwa na Watanganyika. Lakini kuzungumzia nadharia hewani haisadii kujenga mjadala wa kiakili (rational argument) badala yake tunatoa mijadala ya kihisia (emotional arguments).

    Jaribu tena tafadhali, namba uliyopiga kwa sasa haipatikani.

  2. Jiti mjaka 14/08/2010 kwa 11:15 um ·

    Mwana kijiji@
    mimi naku orozeshea izo sehemu walizo shika Watanganyika
    benk Tra hotel au huwa oni wanao vaa nguo za kulalia mchana kweupe.
    Siku izi mpaka wanapewa ukuu wa kamanda wa mkoa hujawaona au una wakana wenzio.

  3. Ghalib 15/08/2010 kwa 1:20 mu ·

    A.ALAIKUM
    Mimi kwa kweli hili suala kila siku nalifikiria sana,kwa nini kusiwe na boda control kama vile zamani,hii imechangia kiasi kikubwa kutawaliwa na watanganyika na kusababisha kuzorota kwa maendeleo,na pia wanzanzibari kukosa opportunity za kazi,eti kisingizio elimu zao ni ndogo,na kuwapandikiza watanganyika.

    Pia imechangia sana kuingia kwa ujambazi,kumekuwa na matokeo tofauti zanzibar kwa kuvamiwa na majambazi,na wanashinda kupatikana kutokana hakuna boda control.

    Ipo haja kubwa ya kurudisha passport kwa tanyanyika na zanzibar kwani tumevamiwa na wageni wengi sana hali yakuwa visiwa vyetu ni vidogo,kwani hata sisi wenyewe tukiamua tena turudi nyumbani basi itakuwa nai mtihani,kutakana na wageni waliovamia visiwa vyetu.

    Pia ipo haja passport hizi kwa utambulisho wa kimataifa kwani kipindi kirefu tumepoteza hazi ya zanzibar,na kuonekana kama ni sehemu ya tanzania,sio kama nchi,lazima ichukuliwe hatua zaidi kurejesha passport hizi,kwa ajili ya usalama wa raiya,pamoja na taifa kwa ujumla.

  4. kwaomtu 15/08/2010 kwa 8:27 mu ·

    @Mwanakijiji
    Unapozungumza na Wazanzibar jitahidi lugha yao adhimu ya Kiswahili usiwaharibie, tunaomba huo msamiati wako ‘embu’ utuambie unamaana gani?

    Halafu mwanakijiji hapo Zanzibar asili yake hasa hakuna wizi, lakini Tangu Watanganyika wapavamie imekuwa hapalaliki, kama unataka sehemu muhimu zilizochukuliwa na Watanganyika mimi nitakutajia, afisi zote za usalama wa Taifa kama, Mkuu wa idara ya Upelelezi, Mkuu wa Majeshi ya Ulizi. Taasisi za elimu ya Juu, kama Bodi ya Mikopo, Baraza la Mitihani, Baraza la Vyuo Vikuu. Idara ya Fedha kama Gavana wa Benki Kuu ya Taifa,na sehemu nyingi tu.

    @B. Ole, nawewe tumechoka na makala zako zisizo na muelekeo. Yaani wewe maisha hujawa mjuzi wa kueka Heading tu, sikuzote hizi heading zako ni suali, wewe vipi?

  5. binamu 15/08/2010 kwa 8:53 mu ·

    Ni lazima tuwe na pasi yetu ya kusafiria na watanganyika waingie kwa hati maalum, kwanza wao walishatukana siku nyingi. Umeona wapi nchi moja ikawa ukipita na mzigo ulipishwe kodi, mbona mizigo kutoka Tanga na Morogoro hailipishwi wakati sisi tukipita na hata kibox cha biscuti bandarini unatakiwa ukilipie, hio kweli ni nchi moja, madhalimu wakubwa hao. Znz tukilaza mpaka bati, saruji nondo baskeli nje ya maghala, leo tunaweka magrill na wanayavunja machogo na kutuibia, tumechoka. Na hao masheha na wenzao ndio hao wanaosababisha kuwanyima haki zao wazanzibar, anakuja chogo/mtanganyika anapewa hati ya kuwa mzanzibari , kitambulisho na mpaka kura wakati mzanzibari wa makunduchi, mdonge, Micheweni na wengineo wananyimwa haki. Tunawaona siku za uchaguzi ndio hao wanaowekwa kwenye matawi ya chama wakifanya ufuska tu halafu wakipakiwa kwenda kufanya uhalifu sehemu mbali mbali, ndio kwa sababu wanaowadhalilisha na kuwatesa si wazee wao. Wahame hasa mmoja baada ya mwengine.

  6. mstahamilivu ismail 15/08/2010 kwa 9:56 mu ·

    Assallam Allaykum ?
    @MWAKANAKIJIJI,
    Mimi shambani kwetu njia ya chwaka panaitwa JENDELE NJIA YA KWENDA CHEJU.
    Wamevamia WANYAMWEZI KATIKA SHAMBA LETU NA BAYA ZAIDI WAMEJENGA KANISA NDANI YA SHAMBA LETU, HUO NI USHAHIDI MMOJA, KUNA SIKU NILIPOKUA ZANZIBAR NILIENDA KUTEMBEA PALE SHAMBANI NILKATUTA KANISA TENA KWA BAHATI ILIKUA JUMAPILI NIKAWAKUTA NA WAKIRISTO NDANI WANAABUDU MASANAMU, NILIPOMUULIZA YULE MLINZI AKANIAMBIA HUYU MNYAMWEZI ALIKUA HANA PA KUISHI TUMEMUAZIMA HAPA TU KWA MDA ILA HATA SISI TUNASHANGAA KUA KAJENGA KANISA LA NYUMBA YA UDONGO WANAABUDU MASANAMU YAO NDANI BILA YA IDHINI YA MWENYE SHAMBA,MWANAKIJIJI UPOOOO ? MIMI KWA USTAARABU NIKAOMBA AITWE MJUMBE (BALOZI)ETI NAAMBIWA HUYO MNYAMWEZI MVAMIVI NDIE MJUMBE (BALOZI)HAHHAHAAAAA, WATANGANYIKA HAO KOSA KUONDOA PASSPORT HII NDIO ATHARI YAKE WAZANZIBAR, JAMANI KWA UCHUNGU NILIMWAMBIA YULE MNYAMWEZI “MZEE NAKUPA MASAA MAWILI MIMI NAENDA KWETU CHWAKA NIKIRUDI TAFADHALI WEWE NA FAMILIA YAKO MUWE MUMESHAHAMA NA HILI KANISA NISILIKUTE VINGINEZO UTANIJUA MIMI NANI”WEEEEEEEEE KWANI NILIPORUDI NILIULIZA KWELI NILIKUTA WATU WAZIMA WENYE HEKMA WANANISUBIRI WALLAH MIMI SIKUULIZA NIMEBEBA MCHI ANGUSHA KILA KITU MBAVU ZA MBWA ZOTE KULEE (VIBANDA VYA UDONGO)NA NDIVO WANAVYOANZA, BAADAE AKANIAMBIA MBAMBA MIMI NAENDA PORISI KURIPOTI NIKAMWAMBIA WEWE UTACHELEWA TWENDE NIKUPELEKE ILA NAKWAMBIA TUKIFIKA PALE NAKUPIG KAMA MJUKUU WANGU MALUUNI MKUBWA, NA KWELI NILIPOFIKA POLISI CHWAKA NIKAMWAMBIA TOA RIPOTI KABISA ILI NIKIANZA KUKUTANDIKA IWE UMESHATOA RIPOTI, MPUMBAVU MKUBWA, KWA BAHATI NZURI WATU WANANIZUIA NA MIMI SIKUA MKAIDI MAANA KANISA NIMESHALIANGUSHA, NA PIA NIMESHAMWAMBIA AHAME BASI TUKASUBIRI ANISHATAKI NIKAMWAMBIA TUKITOKA HAPA, WEWE NA FAMILIA YAKO NISIIKUTE VINGINEZO USIJE KUSHANGAA UKANIPA KESI NYINGINE, WLIHAMA WOTEEEEEEEE HAO NDIO WAVAMIZI,TENA HAFAI HATA KIDOGO TUPO TOFAUTI HATA KIMAADILI,MUULIZE NYERERER NALIJUA HILO VIZUUUUUUUUUURI, ILA NDIO KASHINDWA KUUIBA ZANZIBAR MTAWEZA NYINYI MAKAPOMPOOOOOO ? WEVI WAKUBWA. @MWANAKIJIJI

  7. Bosco 15/08/2010 kwa 10:15 mu ·

    Mstahmilivu ismail umefanya jambo la maana nakupongeza. Hivi kupora ardhi na kujenga makanisa si unguja tu hata pemba lkn unguja ndio imezidi.

    Ndio maana tukasema khulka za wana CCM ni khulka za kikafiri haiwajii kheri wakaikubali. Hata umoja wanaukataa wanasema hapana.
    Mungu waongoze hawa.

  8. sedouf 15/08/2010 kwa 10:24 mu ·

    Mstahamilivu Ismail.
    Hongera sana Ismail kwa maelezo ya kisa chako ambacho bila ya kukuficha kimenisisimua sana na kukuona ni mtu mmoja mwenye kujiamini na wa kupigiwa mfano.

    Tungekuwa vijana wote wa KIZANZIBARI tupo kama wewe basi Zanzibar yetu ingekaa sawa tu na wavamizi wangelikimbia.

    Binafsi nina rafiki wangu wa karibu mno ambao eneo la mbele ya nyumba yao limejengwa kanisa hapo DOLE,na hivi tunavyoongea makafiri wanaabudu humo ndani.Rafiki zangu hawa hawakuwa na ujasiri wa kufanya kama ulivyowafanyia hao wakuja waliovamia eneo lenu.

    Mwana kijiji ,rafiki yangu nakuhakikishia wewe si MZANZIBAR,la kama ni mzenji basi yakheee umepotokaaaa!

    BOLE hongera kwa mada yako safi kabisa,mchango wako tunauthamini.

    Mstahamilivu Ismail hongera tena!

    Naunga mkono kurejeshwa pasi za kusafiriwa kwa jamaa wetu wa mrima!

  9. sedouf 15/08/2010 kwa 10:25 mu ·

    Wahusika wa mzalendo ningependekeza kuandaliwa poll juu ya mdahalo huu wa kurejeshwa pasi za kusafiria kwa WADANGANYIKA!

  10. Wa Wawi 15/08/2010 kwa 11:43 mu ·

    Mi nadhani mashaka yote yananayotuzonga Wazanzibari ni kutokana mfumo mbovu wa uendeshaji wa nchi yetu uliosababishwa na viongozi waoga wa CCM-Zanzibar. Viongozi wa SMZ wanawaogopa viongozi wa Bara katika hali zote na bila shaka zaidi ni kulinda nyadhifa zao. Yapo maovu mengi yanayofanywa na Bara dhidi ya Zanzibar na viongozi wa CCM-ZANZIBAR wanayoaona na bila shaka yanawakera lkn wanashindwa kunyanyua midomo yao kwa hofu za kuogopa kufukuzwa katika chama.
    Sasa basi kama hiyo ndiyo hali, sisi wananachi wa Zanzibar lazima mwaka huu huu tubadilishe mfumo wa uongozi kwa kuwapa uongozi watu majasiri na wazalendo wa kweli.
    Kwa umoja wetu tuichague CUF kuiongoza Zanzibar chini ya Rais Maalim Seif na wawakilishi wa CUF. Napengine tu chakuongeza ni kuwa lazima tuhamasishane kukigigia kura chama cha CUF na kuhakikisha wale ccm wasiofahamu hali halisi ilivyo tunawaelimisha mustakbla wa nchi yetu na maisha yetu.
    lazima kwa umoja wetu tuhakikishe kuwa CCM hawatuibii kura zetu kwa kuyalinda masanduku ya kura kama vile tunavyofanya PBA. Kamwe tusibweteke kwa kutegemea kuwa kutakuwa na uchaguzi wa uhuru na haki. CCM ni wizi wa kura na wana mitego milioni. inawezekana hata namna walivyoendesha zoezi la kura ya maoni ni mtego tu wa kutafuta imani ya CUF kuwa safari hii tutakuwa na uchaguzi wa haki hivyo tusijiandae na ulinzi wwte.
    MASANDUKU YA KURA LAZIMA YALINDWE IPASAVYO,ili kukomesha muungano wa ukandamizaji, uuingiaji wa Watanganyika kiholela, kuamuliwa mambo yetu na Wabara, kulinda hadhi na ustaarabu wetu na bila ya shaka Mafuta yetu.
    NAKUTAKIENI RAMADHANI NJEMA.

  11. Wamtambwe 15/08/2010 kwa 3:52 um ·

    Mimi nahisi kuondoa passport baina ya Zanzibar na Tanganyika ni sawa tu, lakini kosa kubwa ni kuwa hakuna controll ya watu wanaoingia na kuondoka. Haiwezekani ya kwamba mtu anatoka bara aningia Zanzibar bila ya kuwa registered anakuta kwa madhumuni gani, atafikia wapi au kwa nani ma muda gani. Lakini tuelewe na hilo linakuhusu wewe na mimi wakati tunapokwenda Bara. Wezentu Ulaya unatembea ulaya mzima isipokuwa Uingereza bila ya kuulizwa chochote lakini wana udhibiti ufuatao:
    1. Huwezi kwenda kwa mtu yoyote ukaishi au hotelini bila ya kuwa umejiresta kwenye mamlaka inayohusika
    2. Kila mtu hata atakaezaliwa leo lazima anayo Passport au kitambulisho wakati akitiliwa shaka anawezaa kujitambulisha yeye ni nani na sio kwa maneno.
    3. Ulaya watu wote wamehifadhiwa kwenye mtandao details zao zote kuanzia finger prints, DNA mpaka na hata kama uligombana na jirani inajuilikana mara ngapi.
    4. Kwa hiyo ukioneyesha tu kitambulisho chako kwenye kituo cha polisi au Migrration, au Halmashauri au kwenye mamlaka yoyote inatosha kujua historia yako yote.
    5. Patapotokea uhalifu wa aina yoyote na polisi wakafanikiwa kufanya DNA analysis mtu atakamatwa tu.
    Kwa maana hiyo kwa Upande wetu tuliruhusu kabla ya sisi wenyewe kujitayarisha na hilo na kujua athari zake za baadaye. Utakuta wewe unaeishi unaweza ukawajua jirani zako kulikoni idara ya usalama wa raia. Idara zetu za usalama kazi zake kubwa ni kuhakikisha ya kwamba chama kilichoko madarakani kinabakia kwa namna yoyote ile. Ndio maana jaliandaliwa kwa maksudi kuwaingiza watu kutoka bara kwenye majimbo ili kukipatia ushindi chama tawala, athari zake ni sisi watu wa chini tulipe.

  12. phillemon mikael 15/08/2010 kwa 4:39 um ·

    Sikutaka kuingia …lakini imebidi kuingia baada ya kuona maneno ya kejeli mnayompa mwanakijiji……

    Nadhani we are missing some points here ,either deliberately or merely simple ignorance…..hivi zaidi ya watanganyika wachache ,kama mnavyowaita wanaofanya kazi huko mahotelini…ambako pia kuna wenyeji wa huko wanaoosha wote vyombo na kudeki vyumbani…..ni nani anayekuja huko kwa dhiki??????….kuna nini hukoo cha haswaa…tuacheni kuwa na fikra fupi!!!!!!!!

    Hivi kati ya wazanzibar na watanganyika ….ni nani anayependa kuishi upande wa pili…..msiwe mnapenda kulalama ovyo kwa mambo yasiyokuwa na msingi…..ni mzazibar gani mwenye pesa zake ambaye hana makazi bara…….wote hao hata viongozi wote wa huko ….wanaowahubiria chuki dhidi ya wabara wachache wanaofanya vibarua vya ulinzi ,mahoteli etc….jioni wanakuja kulala kwenye majumba yao ya kifahari yaliyotapakaa Tanga,DAR, …na mikoa kama Arusha,Tabora etc…..na ajabu moja ni kuwa huku wala hakuna mtu mwenye chuki na mzazibar…au hata kuwaonea wivu kwa mali zao wanazomiliki…..sasa iweje nyie muumie kwa maskini wachache wanaoganga njaa huko….tena kwa kazi ambazo nyingine nyie hamtaki kuzifanga…..kama mnaona bora hizo kazi wafanye wakenya poa ni sawa……

    Ukiachilia askari wetu shupavu walioko huko kulinda maji ….na baadhi ya instalations…[ambao mlikuja kuwaomba nyie wenyewe]……hao waganga njaa hata mkitaka mnaweza kuwafukuza leo….mkitaka …lakini mjuwe ….mtaibua hasira za wananchi ambao wanaishi na wenzao wazanzibar…huko bara…tena kwa upendo na bila ubaguzi…sasa tukianza kufukuzana sijuwi atakayeumia ni nani????

    Zaidi ya kuja kutembea na kurudi …ni watanzania bara wachache sana wenye tamaa ya kukaa zanzibar…..kwa hiyo ni vema tukapunguza maneno ya dharau…..

    kuhusu makanisa kujengwa ….kwani katiba yenu inasemaje ..kuhusu uhuru wa kuabudu?????…kwa nini majuzi hamkuweka kifungu cha kukataza dini nyingine kuchanua zanzibar?????……sasa mlifikiri hao wamasai na vibarua wengine wanaofanya kazi mahotelini ….hawastahili kuabudu????….acheni chuki bana!!!!
    thats sarcastic…wakati dunia inaungana kuwa kijiji…..tunabaki kubishana ….kwa kitu kidogo ….ambacho hakina maana…anayetaka ardhhi aja nitampa ….huuku bado tuna sehemu kubwa ….njooni muwahi kabla wakenya na waganda hawajapimiwa……..mimi binafsi ninazo hekari 1,000!!!..hakuna mzanzibar anaweza kuwa na hekari 10 ..sembuse moja huko…..sasa nitakuja kuweka huko makazi ya nini wakati siwezi kumiliki hata heka 1..na hata nikimiliki nalipa kodi kama mgeni…..huku sisi tunawachukulia ndugu ….sijui nyie mnatuonaje…hatujali sana….kuna mambo mengi ya kuhofia ….dhidi ya kenya ,uganda etc..sio zanzibar!!!

  13. zamko 15/08/2010 kwa 6:11 um ·

    Mimi naona wazo la pasport kurudishwa ni zuri sana. control ya passport ilikuwapo system hiyo hapo zamani (nakumbuka tulipokua tunasoma IDM Mzumbe). Tulikua tukiulizwa passport au identiy card pale bandarini DSM. Na yakifanyika hivyo pale Bandarini Znz.

    Kwani watu wanaoingia visiwani naona sio Watanganyika pekeyao,kama ndugu(philemon Mikael)anavosema. Sasa hivi hata hawa wa-Kenya, wa-Uganda, wa-Malawi,Zaire, waburundi wanaingia Zanzibar bila ya passport.Sasa hili ndilo linaloniker zaidi juu ya huu Muungano hewa. Watu wengine kama hawa hatuwezi tukawafafanua kwa sura, kwani wengie wanafanana.

    @philemon: Muungano ukivunjika wazanzibari watapata hasara kwa hizo nyumba na invesment. Kama ndi Twatanganyika wataamua kuzi-seazed mali zao. Lakini hasa kubwa mutapata nyinyi. Niulize kwanini:

    majibu:nikakupatia mifano michache tu

    Zanzibar n visiwa vidogo sana vyenye population ndogo. kuna misaada mingi inaombwakwa jina la Tanzania. misaada hiyo ikifika zanzibarinagaiwa kamamkoa wa pwani. Before than that tlikua tukijipangia wenyewe bila ya kujali/kuingiliwa. Isipokua hatukua na viongozi madhubuti ila, ila (CCM SMZ, ambao wengi wa hakua wazalendo wenye kutakamaendeleo ya wananchi,bali vibaraka wa Kitanganyika).Na wala rushwa kama huko bara. ndio mmpaka sasa ukaona Visiwa vya Zanzibar vinazidi kudidimia.Sasa Muungano kama utavunjwa nanyinyi mutakua na sehemu yenu na Zanzibar sehemu yao ya misaada.

    2. Scholar-ship: Zinakuja scholarship vururu kwa jinala Tanzania. Tokea Serikali ya Ali hassa Mwinyi basi watanganyika wameshafanya PHD mbili mbli. wazanzibar hata PG za nje zimewashinda. Before that, whn we finished our Higher educ. we used to have plenty of opportunities. Na watu walikua wanasoma nje tu Uk.USA,Canada, DK n.k Leo hiiukitemblea vyuo hivo ni wahaya, na watu wengine wenye asili ya kitanganyika.Tukivunja/mukivunja muungano hizi nafs zitawatoka.

    3. Mabalozi ya nchi za nje: Before uniun tulikua na Balozi zetu 16. Baada tu Nyrere alipounda muungano hewa alihamisha balozi zote na mtu akisema “Kwi” anauliwa. Sasa Mikael niulize ni mabalozi wangapi zanzibar iniwakilisha Tanzania. None. Nafasi zote munajichukulia wenyewe. Na hata hamwakumbuki Watanganyika wa DSM (waislamu) waliopigania uhuru wenu wa Tanganyika. Ukienda blozini utasikia Makanjuki Kuvuguma, Rafieli.n.k

    Bandari. Tutapata bandari yetu free na jeshi tunaweza kuunda, kwani ni wnajeshi wangapi wakizanzbari walipelekwa kupigana Uganda. Tullalamika. No Sasa hawawanajeshi unaojitia wanachapa kazi. hawana ila Unafiki na Rushwa. Mtu hata ni kesi ngapi za mauwaji zimefanywa na hawa majeshi unaowaona mashujaa. Mtu hata akirepiwa wao wanaona ni jambo lakawaida. LKwani ndui Culture yenu ndugu Raphiel Mikael.

    Nawasilisha.

  14. phillemon mikael 15/08/2010 kwa 7:58 um ·

    zamko hujajibu hoja yangu hoja kwa hoja…

    Yaani mnategemea mjenge nchi kwa kutumia bakuli la misaada….lol,kuhusu scholarships …mbona tumesoma na wazanzibar wengi tu chuo kikuu ?? tena wana allocations[qoouta]….na hata kama sifa hawajafikia …walisaidiwa ili wajaze qouta yao…kimsingi wazanzibar waliotaka kusoma wamesoma..na wasomi wengi tuliokuwa nao wanatoka kisiwa cha pemba na ni hodari kweli kweli…

    wewe lazima utakuwa unatokea kisiwa cha unguja …kwani nakumbuka wapemba wengi tulio soma nao walikuwa bright …na walikuwa hawana wazo la kuajiriwa na serikali baada ya ku graduate….muulize mtu yeyote pale mlimani aatakuambia…..
    wenzetu wa unguja ….mara zote huwa wanafikiria kuajiriwa tu ….serikalini..,uteuzi au kuwa wanasiasa ….wengi walikuwa busy kufukuzia posts foreign pale unlike wenzao…nimekuambia hivyo kwa kuwa ..kwenye hoja yako hujaongelea kitu endelevu zaidi ya misaada,posts ,etc…sasa ndugu yangu …unafikiri zitasaidia watu wangapi….
    Kwanza lazima muangalie namna ya kupunguza mlolongo wa viongozi wa kisiasa zanzibar….nadhani pia itawaongezea gharama za uendeshaji…..kisiwa cha zanzibar kinatosha kutwawaliwa na mawaziri 12 tu…..wakuu wa mikoa 5,makatibu wakuu ….na walobaki mchukue wataalamu wenu walioko ulaya na amerika wake wapige kazi….waliobaki haasa wale wenzangu na mie wasosoma wakisubiri wapewe kazi kwa kigezo cha mapinduzi …..ni bora muwatafutie kazi ya kufanya…..kabla hawajaja bara kuwapiga udalali…..maana lazima mjuwe kwa kuwa walishazoea kutawala ,wakikosa kutawala watakuja kwenye majumba yao huku bara….waanze kulalamika….so its time nao watu waache kufikiria siasa kama ajira na iwe utumishi….

    kuhusu vitambulisho….ni wazi kama sasa hoja imegeukia kuwa ni warundi na wakenya ….basi wekeni utaratibu kuwa hata wabara wanaokuja huko muwape vitambulisho vya kuwatofautisha na mataifa mengine….na ni wazi mbara anayefanya kibarua hapo anahitaji aina fulani ya utambulisho….na wakati mnamuandikisha mtamuomba alete cheti cha kuzaliwa ..simple….then you can differentiate tanganyika from other east africans….hakuna anayekataa hilo…kwani hata wanokuja kufanya kazi huko wanajia shida tu na sio kuishi …kama nyie wenzetu mnapokuja huku……lakiini msilogwe mkaanza kuwafanyia fujo watu kwa kigezo cha ubara ….mtaibua hasira ambazo watu wa bara hawaajawai kuwa nazo dhidi ya ndugu zao wazanzibar….ambao siku hizo wapo mikoa yote ..wengine wana mashamba ya mpunga ,…au mahindi ,wengine wanafanya biashara bla bugudha ….wengine wameamua kuajiriwa …..hadi kwenye halmashauri vijijini…hasa walimu ….!!
    so tunaomba maneno ya dharau yapungue jamani…ndugu zenu huku wanawaheshimu sana sana!!!…msijengee watu chuki …wakati nyie mpo bara…kwenye majumba yenu…..!!

  15. Wamtambwe 15/08/2010 kwa 8:57 um ·

    @Mikael
    Mimi nafurahi ya kwamba hata Wenzetu wa Bara wako wanaojua. Hoayo maneno uliyosema ndugu Mikael ni ya ukweli na ukweli lazima uungwe mkono hata kama unauma.
    Tatizo la zanzibar wakati wote halikuwa bara tatizo lilikuwepo Zanzibar. Kuna kajikukundi cha watu kadogo hao wanaojiita Wanapinduzi na wanaimani ya kwamba wao tu pamoja na jamaa zao ndio wenye haki ya kutawala Zanzibar. Kwa kutumia kigezo hicho Waliwatumia wezetu wa Bara ili wao wapate ulizi wabakie maisha na wezetu wa Bara waliitumia nafasi hiyo waliyopewa vilivyo kwa na wao walilinda maslahi ya kwa upande wa Zanzibar. Katika miaka ya 60 na 70 wezetu hawa walikuwa wakigawana madaraka hata likizo au kwenda kuongeza ujuzi mtu hataki anaogopa kupoteza nafasi zao wakati wezetu wa pemba wao wakijishughulisha na kusoma. Walipoona wezao wameshasoma na sasa inabidi wawaachie nafasi ndipo palipoanza ubaguzi watu wakagawika waunguja na wa pemba na Kishingizio kikubwa kikawa ni kulinda mapinduzi. Kiukweli wakiyafanya hayo ili kulinda maslahi yao na kuufanya uongozi ni kitu cha kurithishana kama ufalme. Huo ndio ujinga wa Zanzibar yuko tayari mtu kumuunga mkono mtu kwa jambo ambalo halina maslahi kwake yeye wala kwa Taifa lake.
    Wezetu Ulimwenguni wanachukua Uongozi kuwatumikia wananchi na hilo unalihisi kidhati hasa hata utakuwa kipofu. Ndio maana wanakuwatayari linapotokea kosa dogo tu kujiudhulu kwa hiari yao. Wanakuja pale sio kuja kuchuma isipokua kutafuta jina kuwa yeye aliwahi kuwa Kiongozi na kuna haya na haya mema aliyaacha.
    Sisi tunaona Ungozi ndio pahali pekee pa kutafuta mali. Ndio maana wakati wa uchaguzi yuko tayari kila mtu apewe Tsh.500 kura apewe yeye lakini akishapata mutaonana baada ya miaka mitano ijayo. Na Ungozi wao sio kuwatumikia wananchi lakini wananchi kuwatumikia wao.
    Waafrika hatujui kutawala kabisa kabisa kwani sisi tunahitaji vitu vidogo vido tu ili turidhike. Na waafrika wakiridhika unaweza ukawatawala maisha yako lakini na hilo linatushinda ni jambo la kusikitisha sana. Kila raisi lazima ajenge Ikulu kwao alikotoka. Pesa za kuiba hata kama utachukua Billioni utabakia nyuma mpaka lini?. Mpaka lini tutategemea misaada kutoka wakati ardhi tunayo na malighafi zakutosha tunazo? Mpaka lini tutabakia kushadidia vyama tu vya siasa lakini maendeleo ya kweli hayaonekani?
    Hivi kweli wenye makosa ni Wazungu ndio maana Hatuendelei?
    Basi hata majengo yetu tunayojenga waje Wazungu watulie rangi?
    Au jamaa tuseme ukweli ya kwamba haluna hata kiongozi mmoja ambaje maslahi ya chi ameyaweka mbele na Badala yake mtu akipewa vishillingi viwilli akiwekewa Benki uswizi yuko tayari kuuza nchi mzima hala tuwasingizie wazungu.
    Mpaka lini tutakubali makosa yetu?
    Au tutazifanja nchi zetu kuwa vichwa vya wendaazimu maisha yote?

  16. ole 15/08/2010 kwa 9:13 um ·

    @Kwaomtu.

    Nashukuru sana kwa mawazo na maoni yako mazuri. Napenda nikufahamishe kwamba mimi sio muandishi wa habari wala sikusomea uandishi wa habari na hata shule nilimaliza standard eight.

    Kwaomtu, unakila sababu ya kutokusoma mada zangu kama huridhiki na uandishi wangu pia kama Mwanachama halisi una haki ya kuoumba uongozi wa Mzalendo unikataze kuandika makala humu.

    Ikiwa uamuzi utapitishwa na uongozi basi nitaupokea kwa mikono miwili kwani lengo la huu mtandao ni kuelimisha jamii na pia kuendelea kutoa habari nzuri kwa walengwa.

    Kinacho nishangaza kwako ni kwamba sioni mada zako humu kwenye mtandao. Naamini una uweledi mzuri katika masuala ya uandishi. Ikiwa utafanya hivyo nakuhakikishia nitakuwa mmoja wa wachangiaji na nitafurahi na elimu utakayotupa.

    Mimi mara nyingi huwa nauliza masuali ili nijibiwe kwani masuala ambayo nauliza nakuwa sielewi majibu yake. Sasa ewe mwezangu kama unajua basi tujuilishe na sisi.Waswahili wanasema kuuliza si ujinga.

    Na wewe hutokuwa wa kwanza kutopenda mada zangu, wako wengine kama vile MUUNGUJA,MUHIMU,SHAMHUNA na wengineo kama hao.Kila kinachoandikwa humu ni pumba, tungependelea wakajitokeza wataalamu akina nyinyi ili na sisi tujifunze kutoka kwenu.

    Kama nimekukosea utanisamehe sheikh wangu,Mimi nahisi hii ni njia moja ya kujifunza.

    Nawasilisha.

  17. Wamtambwe 15/08/2010 kwa 10:05 um ·

    Nilikuwa sijamaliza bado nataka kuendelea.
    Sisi wazanzibari tunatabia kila siku ya kuwalaumu wezetu wa bara lakini sisi wenyewe Hatujioni.
    Hivi karibuni tumepiga kura kwa salama na amani na kwa kiasi vulani mambo tuliyoyafanya yanapingana na Muungano mbona mpaka leo hawajaja hao Wabara na vifaru wakauwa watu?
    Huo mwaka 2000 vilipokuja vifaru Pemba watu wakauliwa wengine wakakimbilia Shimoni kuna kiongozi wa Zanzibar hata mmoja aliyekema kitondo kile?
    Au raisi wa Zanzibar alinyanyuka akasema jamani hapa hatuna vita ni uchaguzi tu na hatuhitaji vifaru akanyamazishwa mdomo na jamaa wa bara wakaingia kwa nguvu?
    Au yalukuwa na yale yale Mapinduzi daima ambyo yaliandaliwa Zanzibar?
    Au tuseme haya kuna watu fulani waliwapindua wananchi wa Unguja na pemba na wao ndio wakoloni?
    A tuseme Wasomi wa Zanzibar wakirudi nchini wakipelekwa micheweni kutiwa adabu na makazini wakapangiwa watu wa MaskaNI PIA YAKIANDALIWA Bara?
    Tesemeni ukweli ndipo tutakapojijuwa tulitoka wapi na ndipo makosa kama hayo hatutokubali tena baadaye kutokea.
    Tusiwajadili wabara tujidali sisi wenyewe makosa gani tulikuwa tukiyafanyaambayo yalitufikisha hapa tulipo. Wabara wako bara lakini maadui zetu wapo ni majirani zetu, ni ndugu zetu, ni rafiki zetu na mpaka hivi sasa tunapokaa tukawajadili Wabara wao hawajaridhika kuona Wazanzibari wamekuwa kitu kimoja kwani wao hivi sasa ni loosers. Wanachosubiri ni kupata nafasi tena ili waturudishe tena kule kule tulikotoka. Hawa ndio wa kujadiliwa

  18. abdulwoofaar 16/08/2010 kwa 1:19 mu ·

    A.Alaykum.
    Nami wacha leo niwe mmoja ya wachaniaji. Mi kwa namna 1 au nyengine namuunga mkono philemon. Wazanzibar binafsi tuna matatizo yetu, na hayo ndio yanayosabisha mpaka tukawa ni watu wa lawama tu.
    Kwanza nadhani tuondokane na dhana mapinduzi na kupindua, wacha hayo yabaki katika vitabu vya kihistoria.
    Kamwe nchi haiendeshwi kiushabiki, lazima tuwe na watu wanaoweza kulinda maslahi ya umma wa wazanzibari. Mtu hafai anapigwa chini.
    Zanzibar tayari iko nyuma kulinganisha na tanganyika. Lazima tusome kwa bidii zote, tuondokane na dhana kusimamiwa katika mambo yetu. Tuhamasishe sauti ya umma yenye nguvu na tuwe wazalendo. Domo tupu halitasaidia actions ni muhimu.
    Si busara muungano kuvunjika ila kuna haja ya kuyaondoa mambo mengi ktk muungano kwani hayaiisaidii zanzibar. Zanzibar lazima ibaki kuwa ni nchi yenye mipaka yenye kufahamika kiufasaha, ulinzi, balozi n.k
    kiukweli uunguja na upemba ndio unaotuharibu ndio maana yote haya yanatukumba, siku zote adui hana nafasi watu wanpokuwa wamoja. Wallah sio mkenya, Mganda, mtanganyika wala vikanisa kanisa vya upuuzi vitavyothubutu kututambia ikiwa tutabadilika.
    Mwisho kabisa kabisa namuomba Allah atakabbal funga zetu na azidishe mapenzi miongoni mwetu. Amein

  19. hokani 16/08/2010 kwa 6:50 mu ·

    @phillemo mikael.Sina budi kukupongeza kwa maelezo yako ya hekima ambayo kwa wale wenye kufikiri kwa ubongo wataweza kuona ukweli wake.Mimi ni miongoni mwa wale tuliyojaribu kuwafahamisha ndugu zetu kwa kadiri ya uwezo wetu njia sahihi za kufikia mageuzi ya kweli bila kuhusisha
    chuki,ubaguzi,kashfa na matusi.
    Lakini kwakuwa wachangiaji wengi kwenye mtandao huu ni wapenzi wa uchafu huo hapo juu,nasi tuliitwa majina tofauti kadri akili zao zilivyowaelekeza.
    Tatitizo linaloonekana kuwakabili ndugu zetu hawa ni kutokana na kuongozwa na kasumba na jazba badala ya taaluma.

  20. phillemon mikael 16/08/2010 kwa 9:44 mu ·

    ….hokani kumbe ,…mnaelewa…watu wa huku hawana ubaya na wazanzibar…hata kidogo…miaka yote hata ukiona mnapigwa mijeledi ujuwe ni watu wa kisonge wanakuja huku kuomba wakurya wetu..[askari]….ambao wao wanchojuwa ni amri tu waje wawasaidie washinde…mbona majuzi hawakuomba askari…..na hapakutokea fujo…?????
    …..tena watu wengi huku wanapenda na wale walionyimwa fursa ya kutawala nao waonekane watu kati ya watu……haiwezekani nchi miaka yote kiongozi mkuu na msaidize wake wanatoka upande mmoja tu…kasoro wasaidizi wawili ..maalim na dr omar….
    sasa mwaka huu tumeona pambazuko na haikutokea fujo…mwaka huu ije mvua ije jua ..wanaoitwa..Sharubu ndio watakaoshika nchi…na tayari kuna watu wanapita huku wanasema lazima makamu wote wawili watoke Unguja…..tujiulize kwani kazi ni urais au umakamu tu…..mbona miaka yooote rais na msaidizi wake wanatoka unguuja…kuna ubaya gani mwaka huu tukapata rais na makamu wake…toka pemba..

    kuna wanaolalamika uteuzi ..tatizo ni kuwa serikali ya muungano inapomba mapendekezo ya majina ya uteuzi …mara nyingine watu wenye sifa majina yao hayaletwi…kuna aliyeongelea ugavana….wakati mkapa alipoomba jina nafasi hiyo ….serikali ya mapinduzi ililazimisha kutuma jina la mtu mwenye advance diploma …wakati BOT walikuwa wamesha m vete….jamaa mmoja mwenye Phd Katika masuala ya fedha ambaye naye anatoka zanzibar ….lakini jina lake halikutumwa…sasa nashangaa sana mtu anayesema kuwa zanzbar hakuna wasomi…kama nilivyosema awali ..mzanzibar yeyote aliyetaka kusoma ….alisoma…sema wengi wasioosoma ni wale ambao kazi zilikuwa zinawasubiri wakimaliza form four tu wanapewa kazi nono…….sasa hiyo tamaa ya kuwa ma grauduate wangipata wapi…….sasa wasubiri waone kama ni kweli zanzibar haina wasomi….!!…ni wazi mtakuwa na wasomi tena na wengine itabidi muje muwaombee kazi huku….

    nashauri mwakani watu wooote waombe kazi upya ….ili waajiriwe upya kwa sifa..tena na chombo huru kama DELLOITE ..ETC…hata huku siku hizi majina kabla ya kupelekwa ikulu yanachujwa na vyombo huru!!

  21. Kidekide 16/08/2010 kwa 12:43 um ·

    @Mwanakijiji,

    Mimi moja kwa moja nasema mwanakijiji una matatizo na ubaguzi na pia hujaijua Zanzibar wala hiyo tanganyika ya kwenu, matokeo yake unawadanganya vijana humu kwenye huu mtandao. Pia nawe unaiona Zanzibar kama vile ni mali ya Bara. Una mtizamo hasi dhidi ya Zanzibar kwa ujumla.

    Zanzibar hakuna Watanganyika wachache. Zanzibar ilianza kuingiliwa na Watanganyika kwa kuiteka kwenye miaka ya 1957. Wakati wa harakati za Uafrika. Akina Nyerere waliamini kuwa Zanzibar ni ya watu weuzi, na watu weusi ni Wamakonde na wanyamwezi. Eti Washirazi wa asili, Wahindi, Watumbatu (Wahadimu)waarabu, n.k. waliohamia mwanzo kabla ya hata kuzaliwa tanganyika walikuwa wageni, wavamizi Zanzibar! Matokeo yake, propaganda ilianza ya kuwaleta waafrika (Wabara)kuja kuikomboa nchi yetu. Mpaka leo hatujajua kuikomboa dhidi ya nani? Hii sio historia, ni ukweli hadi kesho. Hadi leo hii Wabara karibu wote waliokuja kuivamia Zanzibar na kuwaua “ndugu zao” wamezaliana na kuendelea kuikalia nchi (foreign occupation) badala ya kuondoka baada ya kumaliza “mission”. Huu Muungano unaoutetea leo as a matter of fact ni “Daylight Occupation”. Accept it or not”. Kuanzia Muongo huo mpaka leo, Wabara wanamiminika kama maji ya mito kuingia Zanzibar ili kupata amani ya roho zao na mali. Wenyewe mnasema: kuhemea. Nenda pale Boat ferry, ikiingia kwenye boat mojawapo linalokwenda Zanzibar. Ukishaingia nyamaza kimya, sikiliza watu wanavyoongea na watizame walivyovaa. Halafu nambie ni watu wangapi wanaoongea kwa lafdhi ya kiunguja na wangapi wamevalia kiuchiuchi. tabaan utakuta wanaozungumza na kuvaa kiuchiuchi ndio wengi. Halafu jiulize wabara hawa wanakwenda kufanya nini Unguja kwenye ardhi ndogo, soko dogo, ajira shida, na shida ya maisha kwama unavyosema! Jaribu leo kufanya utafiti huu mdogo.

    Pili hili la amani ni kubwa zaidi kwani hakuna hata Mkoa mmoja Bara ambao unahakika ya kuishi hadi kesho bila ya wasisi wa kuvamiwa- hata uwe masikini sikwambii, mtu mwenye mali yake. Katika watu 50 unaopishana nao mchana, basi 45 wanageuka majambazi usiku. Hao 5 waliobaki ni wale waislamu wa kweli wenye kumuogopa Mungu. Ni kitu gani ambacho Mzanzibar akifate Bara, ujambazi au?. Kwa sababu umalaya wenyewe mumeuleta Zenj kwa mwanya wa Tanzania ni moja. Sema kweli Mwanakijiji.

    Ukiacha Mwakanjuki – hapo zamani wakati mzima(katika hao wabara wakombozi), hakuna Mzanzibar hata mmoja ambae jioni eti apande boti aje Bara kulala. Nadhani huoni vizuri. Mtu atoke kwenye amani ya roho yake akastarehe kwenye ujambazi. Huyo nae lazima awe jambazi au malaya, kwa sababu hiyo ni “package” moja.
    Eti “wanakuja kulala kwenye majumba yao ya kifahari yaliyotapakaa Tanga.” Tanga ipi hiyo Kipumbwi -iliyokuwa kuwadi wa kuweleta watanganyika usikuusiku kwa siri kutuua, kwa amri ya Kambona na Nyerere?

    Unazungumzia chuki ya watanganyika dhidi ya wazanzibar kuwa hakuna. Kwanza kama hakuna Wazanzibar kwenye hiyo mikoa ya Tanga,DAR, …na mikoa kama Arusha,Tabora, hiyo chuki atafanyiwa nani? Sasa nikwambie kuwa Mikoa yote, mitaani hadi maofisini, Wazanzibar hawatakiwi, tena ni wahanga wa matukio ya kiubaguzi lukuki. Mimi mwenyewe nimeshafanya kazi kwenye mashirika ya kimataifa katika mikoa ya Tanganyika, na nimeshaonja joto ya jiwe ya ubaguzi dhidi yangu – sababu kuu ukichunguza, eti ni Mpemba.Usione Wapemba wana mali hapo, wanavumilia mengi. Hapo wamefuata soko tu na wala sio occupation au security. Hao ni wawekezaji kama vile makaburu. Na iko siku yote hayo yatakwisha, kwani hao wawekezaji hamuwathamini mwe… Watu wanakufaeni kwa hali na mali, wakati nyinyi wenyewe mko kwenye mapombe mchana na ujambazi usiku, hamuwathamini. Basi, thamani yao mtaiona pale watakapotia tanga kuelekea kwao.

    Pili kuna ubaguzi wa hali ya juu sana baina ya Watanganyika dhidi ya Watanganyika wenyewe kwa wenyewe, sababu, mmoja eti ni Mhaya na mwengine ni mbora eti ni Mchaga. Sikwambii sasa Mtanganyika dhidi ya Mkenya au Mzanzibar. Wenyewe kwa wenyewe hamchukuliani kuwa ni ndugu, leo kweli utamchukulia undugu Mzanzibari au kwa sababu ni mpole, mkweli na mcha mungu.

    Unazungumzia pia Wakenya na Waganda kuja kuchukua ardhi Tanganyika. Hivi kwa nini unadanganya! Hebu twambie ule mchakato wa Soko huria ulivyokwenda hapo Tanganyika. Si Watanganyika wote mlikataa, mkihofu kupoteza kazi na kuporwa ardhi zenu na Wakenya. Unafikiri hayajulikani au umeshasahau? Muungano mzuri kwa Unguja na Pemba, lakini ni mkuki kwenye nyie! Mnajifanya sungura sana nyie?

    Na mwisho kama mna ardhi kubwa, kitu ambacho ni kweli inakuwaje, kuletana kwa vidau na meli Zanzibar kuja kujidai kulima? Kwa nini hamwendi kwenye yale mapori yenu kutoka Rufiji hadi Kilwa? Au kutoka Kilwa hadi Lindi, kwa mfano?

    Kwa akili yangu Zanzinar hamji ila kuifisidi na hili linajulikana tangu day one ya Mapinduzi, sikwambii madhumuni ya Muungano. Utajengaje makanisa mengi penye ardhi na waumini kiduchu? Hata kuko kwenu Mwanga na Arusha kwa Father Babu, mbona ndio kunaongoza kwa ujambazi wa nguvu na silaha, ushirikina, umalaya, pombe za kupindukia, mauwaji ya albino na watoto wachanga, achilia mbali vizee visio na hatia? Hebu nijibu, hilo kanisa linafanya nini katika hiyo jamii. Na jee kama hali ni hiyo, hali ingekuwaje kama kusingekuwa na hayo makanisa?

  22. Bosco 16/08/2010 kwa 2:10 um ·

    Mimi nlikua nimenyamaza kidogo kwani nimeona wachangiaji wanareje yale yale tu.

    @kidekide Mimi nakuunga mkono kwa 100% kwa unayoyasema.
    Na tuwaache wengine waongee pumba zao. Eti mpaka wakisonge waende kuomba msaada bara ndio walete majeshi yao.

    Kama watanganyika wanawapenda wazanzibari kwanini wakubali kutoa huo msaada wa kuja kuwapiga wazanzibari?
    Mwaka 1995 dr salmin alikuwa ameshakubali kushindwa mbona nyerere ndie alie mwambia asiondoke madarakani?

    Tusidanganyanye watanganyika ndio maadui wa wazanzibari, wanatubagua mpaka misikitini.
    Nani mzanzibar anaependa kukaa tanganyika? Kwenye mjambazi,walevi,wezi,makahaba nk.
    Jamani musiongee pumba sisi hatuna haja ya tanganyika yenu.

    Kwani Israel ina eneo gani kubwa mpaka ikawa ndio inasambaza bidhaa dunia nzima?
    Wanasema zanzibar ni ndigo haitoshi kwa viwanda? Huu ni uongo wa watanganyika kutaka kuendelea kututawala.

  23. ole 16/08/2010 kwa 2:36 um ·

    @ KIDEKIDE :kwanza nakupa hongera DHATI.

    Pili naomba uwasomeshe hawa akina Phillomen na wenzake.Pia na hawa Wazanzibar wasiojijua mbele wala nyuma. Hakuna jambo baya ndugu zangu kama kutawaliwa, kwani ukitawaliwa basi hata mawazo yako yanaendana na bwana wako.

    Sishangai kuwaona Wazanzibar wengine kufuata nyayo za akina Phillomen kuungana kwa hoja ambazo hata vichwa havina.Kama vile wameshakunywa chibuku.

    Nakupeni mfano mmoja na ukweli kabisa mara moja wakati niko safarini UHOLANZI ni nilikutana na kijana mmoja kwanza kijana yule alikuwa Mzanzibar lakini mwenye na asili ya Bara.

    Wazee wake ni wale waliokuja kwa niaba ya Mwalimu Nyerere, sasa kwa bahati mbaya mambo yake yalimuharibikia wakati bado yuko safarini nikimaanisha kwamba visa yake iliisha na ikabidi kukamatwa na hatimae alipelekwa ubalozi wa Belgium na askari wa Kidachi.

    Wakati ule Balozi ALI KARUME alikuwa ameshaondoka, alikuwepo Mtanganyika pale ambae nafikiria mpaka sasa hivi ndie Balozi.

    Yaliomkuta yule kijana pale kwa Balozi hata hahadithiki huku wala askari wa kidachi wakishangaa ni jinsi gani Balozi anavyomfokea Raia wake, kwa yale maneno ya ule Balozi tu, matusi na matakano ya nguoni aliyoyapata mpaka kufika kumtishia kwamba akifika Tanzania moja kwa moja Ukonga sio kumsaidia ili arudi nyumbani salama, ilibidi kijana yule achupe ghorofa ya pili ya jengo la Ubalozi na akimbilie asikokujua.

    Huyu ni jamaaa ambae ana asili ya Bara hata ukimuona tu kwa macho unajua kwamba huyu ni mbara. Sasa sikwambii Mzanzibar, halafu atokee Mzanzibar aseme Watanganyika hawana chuki na sisi.Kama hawana chuki na sisi fikiria huyu ni mbara mwenzake amemfanyia hivi, tena Balozi sikwambii wewe Mzanzibar yakhe.

    Kama kweli hawa watu hawana chuki kwa nini watutawale mpaka wafike kusema kwamba Zanzibar sio nchi ? Sasa kama sio chini wana maaana gani ? . Hivi hii Zanzibar akina Phillomen ni mali yenu! Inawahusu nini mpaka mkawa hamna raha kila wakati Zanzibar, wacheni zenu sisi bwana tunataka visiwa vyetu na nyinyi kaeni na Tanganyika yenu mbona munakuwa wachoyo kiasi hichi.

    Kama Zanzibar sio nchi, narudia tena ni nini? Huo Muungano munao uzungumzia ni upi na kwa niaba gani. Nyiyi Watanganyika wadanganyeni hao wapumbavu wachache lakini Mzanzibar mwenye akili zake hawezi kusikiliza hoja zenu, lengo lenu nyinyi ni kutukandamiza kila uchao, na sasa botilimeshafikia ukingoni tutapambana na nyinyi mpaka mwisho tujue Zanzibar ni Nchi au la.

    Mpaka dunia itakwisha Zanzibar haitokuwa sehemu ya Bara ng’o. Watakao furahi nawafurahi mukinuna shauri yenu.
    .

  24. zamko 16/08/2010 kwa 3:22 um ·

    @Philemon Mikael: Kwakuania tu,Ndugu yangu mimi sina chuki na Mtanganyika wala mkristo. Kwani ninamarifiki zangu wengikutoka tanganyika ambao nimsoma nao. Until now, we have been maintaning a good bound with matual respects.

    Unaposema nilete hoja,sijui hoja gani unaitaka niilete kwani naona nimejaribu kukujibu mambo ambayo labda ulikua hujayaelewa/hutaki kuyaelewa kuhusu hii mada tunayo ijadili.
    Mfao:Uliuliza kuna nini huku zanzibar cha hasa? ukaendelea kuuliza kwa kejeli kwamba kati ya wazanzibari na Watanganyika ni nani anekwenda kwa kuishi?

    Mikael :Na ukaendlea na masuala kwamba Muungano ikivunjika sisi (Wazanzibari ) ndio ambao tutapata hasara. Namimi nikakujibu kama nilivojibu ujumbe wangu wa mwanzo na nikakupa mifano mitatu tu ambayo mpaka sasa tunaiyona wazi. Tafadhali rudia tenaujumbe wangu.

    Ndugu Mikael: knamambo mengine naku-ungamkono nanuuu maneno yako….”na hata kama sifa hawajafikia …walisaidiwa ili wajaze qouta yao…kimsingi wazanzibar waliotaka kusoma wamesoma..na wasomi wengi tuliokuwa nao wanatoka kisiwa cha pemba na ni hodari kweli kweli…” haya n maneno ya kweli ila siwafikiani nawewe unaposema neno (walisaidiwa).

    Sasa Najibu ujumbe wako: Kwaufupi wa historia yangu.Mimi kwanza si mu-unguja bali ni Mzanzibari (PURE). kuzaliwa, ni mzaliwa wa Pemba na baba (upande muunguja)mama Mpemba. Wazazi wangu wote kutoka jeneration ya tano ni Wazaliwa wa visiwa hivi wenye original either Shirazi or Indonesian.Kukulia nilianza kusoma kidogo Pemba na kukuli Unguja. Sasa wacha kejeli zako za Kitanganyika zakutukana watu (wenye asili ya unguja tuu)na ukasema hawakusoma na Wapemba wamesoma na wana-akili.

    Kuna waunguja wangapi aliokua na akili na kufanya hata Phd zao. Muangalie (Babu Juma Duni na anawenzake wengi tu).Ama suala la vijana wa ki-unguja kutaka madaraka wasiokuana elimu nayo nakudharau elimu ni kweli. Lakini suwalaumu ndugu zangu hawa; kwani hii ndio iliokua dhamira ya baba yenu (Nyerere idea). Kuwa Zanzibar itawaliwe na watu wasiokua na ELIMU/QUALIFICATION & VISION . (Wanamapinduzi). Ili aendelee kuliua Taifa la Zanzibar na uwe Mkoa wa pwani ifikapo 2015.Na umeona malengo ya kura yao ya Maoni kwamba isipite.

    Kuhusu suala la schorlarship mimi sikusudii kuja kusoma Mlimani(Tanganyika). kwani sisi Wazanzibari Mlimani, Mzumbe, Sokoine, Shaikone n.k. Nafasi kama hizi hatuziiti schorlarship. Hizin nafasi za elimu ya juu kama vile Kenya wanavoita elimu yao.Wewe umesoma lakini huwezi kutofautisha Scholar-ship za nje na Higher education.

    Na nafasi hizi Wazanzibari hawajazipata kwakujuana, kwani nyinyi Watanganyika ndio munaotoa nafasi hizi na (hasa mtoto wa ki-Pemba)anapopeleka application anapeleka na record za vyeti. Na wakati wa registraton openng day tunatakiwa na vyeti riginal. Sasa hapa mtu atapitishwaje wakati hatuongei kuluga chenu. wapitishaji wote .kama si Mchaga,Mhaya,Mnyakyusa,Mdigo,Msukuma n.k

    Sasa unaposema Wazanzibari wengine hwa hawana qualification zakuingia lakini hujazwa tu. Naona hawa sio Wazanzbari halisi,nakama ndio basi watakua ni watoto wa Wana-Mapinduzi ambao asili yao wengi ni Watanganyika,Wamakonde).Kwahiyo nitasema ndio nyinyi wenyewe kwa wenyewe.

    Kuhusu kutegemea Misaada:hili siolengo langu,ila nilikuaktk kukufahamisha jinsi ya uporaji wa haki za ki-zanzibari unafanywa kwakisingizio cha (MU-UNGANO). Naamini Zanzibar kama itapata uongozi mwengine usiokua wa CCM basi sisi hatutohitaji misada kutoka nje. Hata huu Utalii tunaowaachia wakenya na watanganyika unaweza kuboreshwa na ukatoa ajira.

    Isipokua tunatakiwa tuwe na wawekezaji ambao watadumisha/ wataleta mazingira bora. Zanzibar mpya inatakiwa iwe na indipendant lawyer na indipendant media broadcast.Zanzibar inaresources nyingi za kunyanyua uchmi wake na kuwa Taifa bora. Hata hao watu unaosema wanamiliki mashamba ya mpunga, na wanashika nafasi za mikoa ya shule ni wengi wao ni jamaa wa kipemba waliofukuzwa kazi 1987.

    Na sisi Wazanzibari wenyewe tunatakiwa tubadilike. ikiwa sisi wazanzibari tutaacha kuchagua kazi, kuaga makazini mapema na kwenda kula urojo,maziko yasikwisha. Basitabakia pale pale tulipotokea.Kwani mpaka sasa kuna Wazanzibari wengi wanadhani mtu kufanya kazi za hoteli ni kazi za kihuni).

    Ndugu Mikael: Unaonyesha wewe ni mtu mpya wa mtandao huu, hebu nenda kwenye matokeo ya nyuma kabisa na Usome mikakati ya Wazanzibar jinsi ya kuijenga Zanzibar mpya ambayo tunaweza hata ukawasaidia (watoto wa nyumbani- Tanganyika). Na acheni kutuona mabwege na kutuletea kejeli zisizo za msingi.

    Nawasilisha.

  25. hokani 16/08/2010 kwa 4:30 um ·

    @wamtambwe:Usiyaeleze hayo maana yapo kinyume na wale wanaojiona kuwa wao ni wazanzibari halisi juu ya wengine humu mtandaoni na nje ya hapo.Wanachoshindwa kufahamu ni kwamba,tunakubaliana na harakati za ukombozi wa Zanzibar bali tofauti zetu zipo katika njia na taratibu za kufikia huko tuendako.
    Kwa sababu za jazba na chuki za kupindukia watu wanaachana na mambo ya msingi yaliyochangia kuangamia kwa zanzibar bila kuleta hoja zenye kujitosheleza.Kwa kasoro hii wameshasahau CCM,na sasa imekuwa wabara.

    Labda niulize swali:Watanganyika wanavunja sheria ipi kati ya zilizo duniani au mbinguni wanapoamua kuingia Zanzibar?
    Na pia Wazanzibari huwa wanavunja sheria ipi kati ya hizo wanapoamua maamuzi kama hayo kwa upande wa Tanganyika?

    Pamoja na majibu mazuri mnayotaka kuyapa maswali haya,Jee!! Mtakuwa na maelezo gani juu ya maneno mengi ya kashfa kama vile machogo,makafiri,wezi,majambazi nk.

    Jee!!Haya ndio mafundisho ya dini mnayojaribu kuihubiri hapa?Huku ni kuvuka mipaka,na Mwenyezi Mungu hawapendi wenye kuvuka mipaka.

    Tuacheni kashfa na matusi tuzungumze hoja kama kweli sisi ni watu wenye akili

  26. Bosco 16/08/2010 kwa 4:39 um ·

    @ zamko pamoja na wazalendo wengine tuwe makini na hawa watanganyika akina phillemon mikael na wenziwe naona wanaanza kuleta zile mada za upemba na uunguja ili watutoe ktk lengo letu. Sisi sote ni wazanzibari na adui yetu ni mtanganyika.

    Mikael tupe hizo data za kitaalam basi usitupige uongo+porojo tu.

    Unasema kuna quater ya wazanzibari vyuo vikuu ambayo wanapewa hata kama sifa hazitimii? Huu si ukweli hata huyo CCM ikiwa anatoka zanzibar hawezi kupewa nafasi ya upendeleo ktk vyuo vya tanganyika. Kuna wazanzibari ambao ni watoto wa viongozi znz lkn wamediso mbona hawakufanyiwa huo upendeleo?

    Kila mzanzibari alie ktk chuo cha serikali tanganyika basi kangia kutokana na sifa zake au labda useme kutokana na rushwa lkn si kwa kujaza quater. Hiyo quater kama ipo basi ni ktk maandishi na si ktk utekelezaji hakuna mzanzibari anaengia chuo tanganyika kwa upendeleo banaa au ndio unatutukana kiana?.

    Tupe takwimu kamili je ni wanafunzi wangapi wapo udsm na kati ya hao wangapi ni wazanzibari? Ni wanafunzi wangapi wapo udom,mzumbe,ifm nk na wangapi ktk hao ni wazanzibari?
    Usitudanganye bwanaa.

    Mimi sina record kamili lkn ninavyofahamu mimi ni kua zaid ya 95% ya wazanzibari wote ni waislam. Na ukija chuo kama udom na udsm ni wastan wa 13% tu ndio waislam walio bakia ni akina mikael ie makafiri. Hata tukisema kua hao 13% waislam iwe wote ni wazanzibari basi bado quater haijatimia kwani quater ni 25% au wewe unafanya mahesabu gani hayo?. Na 13% kua wote ni wazanzibari haiwezekani kwani wapo waislam wengi tu kutoka tanganyika ambao wamo vyuoni. @ Mikael usitufanye wajinga kiasi hiki.

    wazanzibari waliopo udsm hawazidi 200 wakati udsm ina wanafunzi wanaokaribia 18,000 hapo utaona ni 1% tu ya wanafunzi wa kutoka zanzibar ambao wapo udsm. Ukija udom,mzumbe,ifm nk hali haitafatautiani sana na udsm.

    Ni afadhali useme mum basi utakuta alau wazanzibari wanafika 300 lkn mum ni chuo cha private.

  27. zamko 16/08/2010 kwa 5:14 um ·

    @Bosco: ahsante ndugu yangu haya unayoyasema ni kweli na mimi kama ulivoona majibu yagu yalivolenga. sasa yeye akisema hao wenye asili ya unguja hawana sifa na Wapemba ni ma bright. Pia nimemjibu kwavile nilivo-ona. nikweli. wazanzibari hasa hawavamii Siasa bali wanajali elimu.

    hili wanallijua wazi hawa nduguzetu watanganyika.

  28. phillemon mikael 16/08/2010 kwa 5:39 um ·

    Mimi sina record kamili lkn ninavyofahamu mimi ni kua zaid ya 95% ya wazanzibari wote ni waislam. Na ukija chuo kama udom na udsm ni wastan wa 13% tu ndio waislam walio bakia ni akina mikael ie makafiri. Hata tukisema kua hao 13% waislam iwe wote ni wazanzibari basi bado quater haijatimia kwani quater ni 25% au wewe unafanya mahesabu gani hayo?. Na 13% kua wote ni wazanzibari haiwezekani kwani wapo waislam wengi tu kutoka tanganyika ambao wamo vyuoni. @ Mikael usitufanye wajinga kiasi hiki.

    wazanzibari waliopo udsm hawazidi 200 wakati udsm ina wanafunzi wanaokaribia 18,000 hapo utaona ni 1% tu ya wanafunzi wa kutoka zanzibar ambao wapo udsm. Ukija udom,mzumbe,ifm nk hali haitafatautiani sana na udsm.

    Ni afadhali useme mum basi utakuta alau wazanzibari wanafika 300 lkn mum ni chuo cha private.

    -BOSCO

    ….i am sorry tulikuwa tunaenda vizuri kwa hoja lakini sasa imekuwa vioja……sasa mimi kujibu matusi ….yasiyoandikika sintaweza……………especially sioni mantiki ya kuitana makafir…..hapa……….wakati tulikuwa tunajadili hoja kwa hoja…..can you be a bit respectful!!!!

  29. intihan 16/08/2010 kwa 7:03 um ·

    A.alkm
    Nilikua najaribu kufuatilia hoja zinazotolewa juu ya hii mada kwa kweli nimefurahi kupata mtu ambae mawazo yake ni tofauti na wachngiaji wengi, nakupa hongera bwana mikael unaonekana ni mtu understanding ingekua wabongo wengi wana mawazo kama yako nafkiri wazanzibari wengi wasinge kua na hasira juu ya wabongo, si kama nakuunga mkono hoja zote unazozizungumzia la hasha, kilichonivutia ni utoaji hoja, ni vizuri kua na wachangiaji km hawa ili hii forum ichangamke kwa challenge mbali mbali kuliko kua na watu wenye mtazamo mmoja tuuu, natofautiana na wewe unaposema wabongo hawana tatizo na wazanzibari, mimi niko bara karibu mwaka wa sita huu na nawajua vizuri wabongo, nimesoma nao undergraduate , postgraduate mpaka master na saiv nipo nafanya nao kazi kwa kweli wana chuki na sisi ila hua hawana la kutufanya tu na ukikaa nao ndio utawajua chuki zao. kuna rafiki yangu mmojo alikua akinitania sana kwa kunambia nyie wazanzibari tutakukandamizeni mpaka basi na wala hatukuacheni na hua anatoa mfano kwa TFF na zfa.

  30. Bosco 16/08/2010 kwa 7:11 um ·

    @ Hokani na mikael kama jambo hamulijui semeni mufahamishwe. Neno kafiri si tusi wala kashfa kwa yule linae muhusu lkn sijui munaogopa nini? Kama mtu ni kafiri lazima tumpe sifa yake banaa.

    Ktk dini ya kiislam mara nyingi neno huwa lina tafsiriwa (1) kilugh(arabic) hii ndio lugha ambayo qur-an kitabu cha allah imeteremshiwa (2) kisheria ie kama alivyokusudia allah na kubainishwa na mtume(saw).

    Sasa tukija ktk neno “kafiri” ktk lugha ya kiarabu ni mpingaji wa jambo lolote na ktk sheria ni yule ambae anapinga maamrisho ya allah yatokanayo na qur-an na mitume yake iwe anaping kiimani au anapinga ktk vitendo wote ni makafiri lkn hukumu ya kafiri wa kiiman na hukumu ya kafiri wa kivitendo ni tofauti.

    Kwa maana hiyo utakuta kafiri wa kiimani ni kila mtu asiyekua muislam(au anakanusha qur-an nzima au japo aya moja) na hukumu yeke ni moto siku ya qiyama.

    Kafiri wa ki matendo anaweza kua muislam lkn baadhi ya matendo yake si yale ambayo mungu anayadhiria kama vile ulevi,uzinifu,kusema uongo,ufisadi nk.

    @ mpaka hapa mikael na hokani naona mumeshapata japo kidogo maana ya neno kafiri.

    Kuhusu kuwaacha CCM na kuwashughulikia watanganyika hilo si tatizo kwani. CCM ndio watanganyika kama hujui, kwani huoni kama dr bilal ndio chaguo la CCM zanzibar lkn dr shein ni chaguo la CCM tanganyika na ndie aliepitishwa kua mgombea w CCM Zanzibar au sivo? Hapo ndio ujue kua watanganyaka ndio hao hao CCM tunaowakataa.

  31. hokani 16/08/2010 kwa 8:18 um ·

    @Bosco:Nilidhani umepona,kumbe ulipata nafuu tu.Matusi wengine si fani zetu,tutaendelea kujibu HOJA.

    Umeamua kuzungumzia dini…..Haya na tuendelee.
    Nilishawahi kukuambia kuwa ni vyema ukarudi kwa mwalimu wako akakupatie sehemu iliyobaki ya mafundisho QURAN na HADITH.

    Maandiko ya Quran yanaeleza mambo yanayompelekea mtu katika ukafiri,at the same time QURAN inatukataza kuitana majina mabaya;Uislam humfanya mtu abadilike kutoka katika tabia mbaya,matusi na kashfa ikiwa moja wapo.
    Unahubiri neno la ALLA huku mvua ya matusi ikitiririka kutoka mdomoni mwako.Wenye akili timamu hawatakuelewa.

    Kigezo cha waumini ni Mtume,aliyeongea na watu kwa hekima na upole.Aliwalingania watu kwa kauli njema,kauli zilizowafanya hata wasiomkubali waendelee kumheshimu.

    Quran Tukufu inatuelekeza katika kuheshimiana hata kama tunatofautiana.

    Ikiwa haya niyaelezayo na kuyaamini kwa moyo na vitendo ni ukafiri basi dunia hii ili ipate mafanikio inahitaji makafiri wa aina yangu.

    Ninaendelea kusisitiza kuwa sisi wengine si watumwa wa historia,Wala hatupo hapa kutetea wanasiasa,bali kutetea mifumo na maadilli tunayoamini kuwa kwa njia moja au nyengine,na kwa kuyafuata kwa uadilifu,tutaweza kufikia malengo yetu kwa salama na amani.

    Kama unatafuta ushindi kwa njia ya kashfa na matusi,mimi nimekubali kushindwa nawe.NAKUACHIA USHINDI.

  32. phillemon mikael 16/08/2010 kwa 9:27 um ·

    Kwa maana hiyo utakuta kafiri wa kiimani ni kila mtu asiyekua muislam(au anakanusha qur-an nzima au japo aya moja) na hukumu yeke ni moto siku ya qiyama. – BOSCO

    WE should not be obsessed by our religion beleafs…….mimi zaidi ya dini yangu pia ni muumin wa uafrika…,nasoma sana vitabu vya uumini wa siasa ….kuanzia Mao…,kim ….dalai lama etc…..ndugu zangu dini zililetwa tu ili kufanya dunia itawalike ….kwa hiyo tusipoteze muda kutofautiana kauli au kupigana kwa ajili ya dini….religion zote ….are just axix of exploitation……ndio maana zilizaa utumwa na ukoloni……
    ……ni nani huyo aliyeenda ahera akarudi kutuambia habari za akhra….
    Pamoja na heshima na uumin wangu….nitaendelea kuheshimu dini ya kila mmoja na katu sintainua mkono au mdomo wangu kwa ajili ya kukashfu dini ya mwenzangu au hata ……..kusifia ya kwangu….

    kwanza wengi wetu dini tumezaliwa tukazikuta….ni bora wale waliosilimishwa ukubwani…au kubatizwa kidogo wanaweza wakawa na hoja …….ya kwanini amechagua dini fulani….lakini wengi tumefuaata dini za wazee wetu na tukaziamin…….sasa ya nini kuhitilafiana………acheni watu wajenge misikiti na makanisa …..!!!

  33. Bosco 16/08/2010 kwa 9:56 um ·

    @fillemon mikael hapa hatuhubiri dini ila nlikua nakufahamisha maana ya neno ambalo ulikua hulijui maana yake ambalo umeliita tusi na kashfa wakati ni sifa yako ie kafiri.

    Unauliza nani amewahi kwenda akhera na akarudi?

    Na mimi nakuuliza wewe umewahi kuingia ndani ya kichwa chako na ukaziona akili zako?
    Kama bado basi itakua wewe huna akili.

    Labda nikusaidie tu nikua ukisoma qur-an utapata jawabu za maswali madogomadogo kama haya na hata maswali makubwa utapata jawabu zake.

  34. Wamtambwe 17/08/2010 kwa 9:59 mu ·

    @Ole:
    Mimi naomba watu munapozungumza musiwe na jazba. Wewe unazungumzia ya kwamba balozi alimtolea maneno kijana nchini Uholazi, hio haimaanishi ya kwamba Wazanzibari wananyanyaswa ila ndiyo System ya Serikali mzima ilivyo, hao mabalozi wote wa Tanzania walioko nchi za nje wako pale sio kwa ajili ya kumsaidia mtanzania akipata matatizo anapokuwa nje, ila ni kuwanyenekea wazungu tu wanapotaka viza za kwenda Tanzania ili waonekane ni wakarimu na kufanya biashara zao.
    Nazungumza hayo soi kumuunga mkono Philemon au nimekunya Chibuku ila ukweli ni ukweli hata kama wewe unakuuma.
    Mimi nimesoma nchini Urusi kuanzia 1990-1996. Mwazoni Hosteli za kulala warusi wakitupa bure na Baadae ilibidi vitu vyote tulipie ikawa pesa posho tunazopata ubalozini $90 ka mwezi hazitutoshi. Mbona ubalozi wa Tanzania nakusudia serikali ambayo walitupeleka kule wenyewe walishindwa mpaka ikabidi Umoja wa mataifa kwa kupitia kitengo chake cha Uhamiaji kilichoko Moscow ndio waliotusaidia wakawa wanatugaiya $120 kwa mwezi za ziada seuze mtu aliyekwenda Uholanzi kwa safari zake akamalizikiwa viza?. Kuna wanafunzi tena Wabara ambao walipigwa na wakauliwa na warusi tena bila ya kosa lolote. Wanafunzi wa nchi zote walikuwa tayari kuandamana kupinga kitendo kile, Serikali yetu ya Muungano haikuthutu kusema hata neno moja kishingizio wataharibu uhusiano wao na Urusi, Itakuwa ajabu mtu aliyekamatwa na Polisi kwa sababu kamalizikiwa viza yake?
    Tunachozungumza sisi ni Matatizo ya Zanzibar tuliyasababisha wenyewe Wazanzibari, sio mimi na wewe. Na laiti kama hao viongozi wetu wote waliopita lao lilikuwa moja basi jamaa wa Bara wasingeweza kufanya lolote. Lakini ndio hao hao kina Salmini waliondoka pamoja na Maalim Seif kwenda kamati kuu wakati wameshakubaliana kufika kule akamgeuka ili Seifu aonekane Msaliti na yeye apewe Uraisi. Ni mwinyi waliokubaliana na Seif asikubali kugombania Uraisi wa Jamhuri ya muungano ili waiendeleze Zanzibar kufika Bara akageuka. Waliokuwa wakipita kupiga watu na Kuharibia watu mali zao ni Vijana wa JKU na KMKM na wote ni wazanzibari halisi na mambo yote hayo yakiandaliwa Unguja bila ya kuwashirikisha Wabara. Ili ndio ubabaishaji huo ili watu wasiujue ukweli?
    Serikali ya Muungano hawana makosa tuliwapa hiyo nafasi na wao wakaitumia ni sawa na wewe enzi zile baada ya Mapinduzi kuna wakati Zanzibar walikuwa na hali mzuri ya uchumi kulikoni, akija mnyamwezi ukamlimisha Bonde pengine thamani yake ni Tsh 200,000 ukamlazia ukamlipa 100,000 na akakubali, hapo huna makosa mulikubaliana. Na sisi wakitoka watu Unguja wakenda wakatunadi kwenye Muungano alimradi maslahi yao yabakie tu.
    Mbona mara hii tulipokuwa wamoja hatukukiona hicho kifaru kutoka bara?
    Munapozungumza zungumzeni kwa kithibitisho sio kwa jazba. Wezetu Bara wanafanya mambo Kisomi sisi tunakaa Zanzibar na mambo yaleyale ya kale yakhe yule ni mnyamwezi kankuja huku alimishwe agaiwe kijio wezetu wao wasoma. Wasomi wote Wazanzibar wanakimbia kufanya kazi Bara kwa sababu wao wanaijua thamani ya elimu sisi tunabakia yakhe tu.
    Yule pale Dr. Masoud yuko mlimani kama unamjua ni jamaa wa piki alisoma Urusi mambo ya Uandishi wa Habari mpaka akachukua PhD. Aliporudi Zanzibar Utumishi wakamwambia ” Basi abaa kumsoma mpaka kunkuwa Daktari ha sie tukupe kazi gani abaa”
    Yuko pale mlimani atoa Lecture na nyumba wamempa. Kahuna Jamaa wa Bara aliyekwenda wambia Utumishi musimpe kazi tunamtaka sisi ni wenyewe Wazanzibari mulimkatalia.
    Nakupa mfano Mwengine Dr. Kassim Mohamed Nassor ni jamaa wa huko huko kwenu Ole kama kweli watoka Ole. Yeye vile vile Kasoma pammoja na Huyo huyo Dr. Masoud lakini yeye ni Mtaalamu wa mambo ya Myamba, kama kweli mnataka kuchimba Mafuta huyo ndiye mtu sahihi. Yeye yuko Urusi tokea 1991 wela hategemei kurudi kwani ameshaoa na nyumba kashanunua, anajua akirudi watamwambia kama mwenzake basi lakhau kunsoma mpaka kunkuwa Daktari. Sasa niambie wanaodhalilisha wasomi kiasi hicho pia nijamaa wabara. Hiyo ni mifano midogo kuna mamia kama hao.
    Kitu kinachotufanya tuseme ni kwamba kuakaa mkizungumza ni wanyamezi , yakhe mmachogo ni mambo yameshapitwa na wakati. Yule pale Lipumba na yeye vilevile ni mnyamwezi lakini juzi alikuweko Sweden kuzungumzi uchumi na watu wa ulimwengu wakamsikiliza, mbona sisi tuliokuwa hatuna machogo hatukualikwa. Chogo hapa sio kitu kinachotudhuru Zanzibar au tuseme tatizo ni kuwa na chogo? Hao tuliokuwa hatuna machogo tuseme tulitiliana Mkataba na Muungu Subhanahu Wataalla tukamwabia hawa wape machogo sisi usitupe ua kuna aya ya kurani inaturuhusi sisi kujitukuza . Tuzungumzieni Fact sio jazba au kudhalilishana.
    Ahsante sana

  35. Bosco 17/08/2010 kwa 11:31 mu ·

    @ wamtambwe kuna mambo nakubaliana na wewe na mengine sikubaliani na wewe.

    Naona umejikita ktk kuzungumzia zaid matatizo badala ya kuangalia chanzo cha matatizo yenyewe. Huwezi kuondoa tatizo bila ya kutafuta chanzo chake.

    Chanzo kikubwa cha matatizo ya zanzibar ni mapinduzi na huu muungano hewa tutake tusitake.

    Mipango ya kuwakataa wasomi zanzibar imeandaliwa na watanganyika baada ya kupachika viongozi vibaraka na hao vibaraka ukiangalia kwa umbali utaona kua wengi wao asili yao si zanzibar.

    Nchi(znz) ambayo imebanwa kiuchumi unafikiri itapata wapi pesa za kuwalipa maprofesa na madoctors? Hii ilipangwa na watanganyika maksudi ili kuwakimbiza wasomi zanzibar.

    Dr salmin walimzuia kuifanya bandari huru ya zanzibar, wakamzuia pia kujiunga na OIC. Mbona tanganyika kuna balozi wa vatican?

    Kama mara hii vifaru havijaja zanzibar basi ni kwa sababu rais kikwete mwenyewe anaunga mkono yanayotokea zanzibar hivi sasa sijui kwa malengo gani lkn kama kikwete haungi mkono haya basi pasingali kua jambo na hata kura ya maoni isingali pita. Wazanzibari hawawezi kuamua kitu wenyewe ktk huu muungano tusidanganyane banaa?

    Angalia dr salmin hakupenda rais awe amani lkn hakua na uwezo wa kumueka seif kutokana na majeshi ya kutoka tanganyika,uganda,msumbiji nk yaliyoletwa kuua wazanzibari au wewe hukuona wakati wa uchaguzi? Au ndio uko ulaya hujui yanayotokea zanzibar?

    Jku na kmkm inawatanganyika kibao na hata mgambo pia wamo watanganyika nawajua kwa majina.

    Wakati wa uchaguzi wa 2000 mimi nilikua znz na ktk kituo kimoja cha polisi walituambia tukikivamia hawatotufanya kitu na kuna wengine walikua tayari wapigwe waumizwe halafu wanyan’ganywe bunduki zao lkn hawa walikua ni wazanzibari ndio ukaona wale askari wa kizanzibari wengi wao hawapewi tena silaha wakati wa uchaguzi kwakua wanaweza kugeuka lkn wanaopewa silaha wengi wao ni janjawiri,wavuta bangi na watanganyika.

    Naomba uelewe kua hakuna linalotokea zanzibar ktk serikali ya smz ikawa halina baraka za viongozi wa juu wa muungano.

  36. Wamtambwe 17/08/2010 kwa 12:28 um ·

    Na mimi nakubaliana na wewe kwa baadhi ya mambo, lakini nasema tena yote hayo yaliyotokea yalitokea kwa sababu tulikuwa hatuna Umoja na Kitu uzalendo hakijulikani kabisa kabisa. Mwaka elfu mbili na mimi nilikuwepo Zanzibar nilikuwepo Wawi pemba na nilikwenda mazikoni karibu watu saba pale. Lakini nataka nikwambie katika hao waliokuwemo wengi walikuwamo Wazanzibari na wao dio waliokuwa wakionjesha nyumba hapa anakaa fulani. Kama unakumbuka vizuri kuna askari baadae wakakimbilia Unguja akaja akauliwa Jango’mbe. Kuna jamaa ya mmoja wa huko huko mtambwe ni Polisi naye alishiriki na mpaka leo hukaa akajisifu.
    Na suala ya kwamba Salmini akitaka kumueka Seif awe Raisi nasikia kwa mara ya kwanza. Nakumbuka Salmini ndiye aliyekuwa akimkejeji Seif akimwita “Bahmadi umuongo” “Abaa wasema uongo mchana”.
    Mimi maoni tusikae tukawajadili Wabara wakadi tunao maadui wetu ndani ya Zanzibar tunakula nao, twalala nao tukawasahau tu

  37. ismailia 25/08/2010 kwa 2:59 mu ·

    @Wamtambwe

    Kumbuka Seif alifanya hivyo hivyo alipokwenda bunge la dodoma na Wawakilishi wa Zanzibar 1984. Hili tatizo lilionekana mapema na wazee wetu waliojitolea mhanga Dodoma kukumbusha tena Makubaliano ya Muungano, na hii hata kabla hizo Pass hazijaondolewa..

    Naimani alifanya hivyo ili aonekane anafaa na Nyerere (100% kama Salmin), na sasa anataka mabadiliko ili aonekane shujaa na wazanzibari (awe yeye raisi)… Sio kama anaonewa kuitwa hivyo, ila Seif hatufai,tuombe aachie tu ngazi CUF ili tuweze kupiga hatua…

    Kurudi tulipotoka naimani itabidi tupate nguvu ya chama tofauti Zanzibar (CUF), lakini sio kupitia Seif….

  38. Utomvu 11/09/2010 kwa 10:50 mu ·

    A,ALAIKUM wana mzalendo, nina imani wengi wetu tuliomo humu ni waislam
    nawale wasiokua waislam basi nina imani sio katika jamii zakizanzibari
    nasio katika waipendeleao mema zanzibar,znz ina historia kubwa na
    hatuwezi sema tuisahau au tuukatae ukweli, nina imani ukweli utabaki kua ukweli naungo
    utajitenga haswa pale mda muafaka utakapo wadia, na mda wenyeawe mwanga wake ndo huuu
    kwakipindi chanyuma wa znz ilikua ni mtihani hata kutoa ushuzi kudiscuss suala lolote ambalo lita ihusu znz ama muungano au kwamaendeleo yawazanzibari,
    japo wapo ambao weliokua majasiri nahatutowasahau waliojitolea nafsi zao
    mambo hazarani nayaliwafika yaliowafika but mungu sa atawalipa
    kwa ujasiri wao nauzalendo wao
    nando imani yetu sisi waislam hua twategemea ujiira
    kwa mungu sw.
    nampongeza MSTAHAMILIVU, kwa ujasiri wake nakisa chake cha kusisimua nauzalendo wake nando waislamu wanavotakiwa wawe hivo sio kuchezewa kijinga jinga jinga kwa upande waakili yangu inaninipa hya mambo yakuchangya yametultea athari kubwa sana na vidonda vikubwa ktk taifa la wazanzibar, ama kimaadili, kijamii nahata kimazingira,na haya yote ni ajenda za kambarage jinsi alivokua akiuchukia uislam na viliv0okua vikimkera visiwa hivi 2 venye waislam wakweli
    but kwavile mungu sw ameahidi kuilinda dini yake nina imamani hata znz mungu sw ataendelea kuilinda amini.mambo nimengi sanayaliopita ndani yahistoria yavisiwa vetu bt itabaki kua as memory for our generation.pia wazanzibar tunajiskia aibu nafezeha kubwa kupoteza utaifa wetu leo mtu anakuuliza where are you coming from? ukimjibu znz anaanza kukuuliza ndo wapi huko doooo,sasa pasport kurejeshwa ndani ya nchi yetu nimuhim sana tena sana kunusuru kizazi kijacho kwaharaka sana, umalayznz ulikua hakuna, ujambazi znz kulikua hakuna vilabu vyapombe znz kulikua hakuna leo ndo imekua kama ndo buness ndani yavisiwa hivo,hio ni kuondoa pasport naunafiki wawenzetu wanaojalia dunia kuliko akhera hatuwezi sema wa znz na watanganyika waliendanakimaadili nakiutamduni ila sisi kuingia tanganya ni neema kwao naukovu wamaisha yadunia naakhera tmewaelimisha kwanjia tofauti kuvaa kuishi nahata maisha.kwahayo wana wazalendo wenzangu ni kuonesha upendo wanchi yetu nakuwasamini jamii zetu zakizanzabar nahao ambao walokua bado niwatumwa historia basi mungu sa atawashinda nakuilinda nchi yaawaislamu wa zanzibar amini mungu abariki zanziabar nawabari wazanzibar kweaujumla uwapeperushe mahasid waliojificha nauwafedheheshe dunuani naakhera amin.

  39. Maulidi 31/12/2010 kwa 10:20 mu ·

    Mimi najiuliza kwa nini sisi watanganyika tunang’ang’ania sana huko zanzibar??? kwanini tusiache nao wafe kwa njaa kwani wamekuwa hawajui fadhila kwani kila kitu haswa vyakula wamekuwa wakichukua kwetu, sisi tumewazidi kwa kila kitu kuanzia barabara, majumba ya kifahari na magorofa mazuri ndio maana wanaona wivu,

Comments are now closed for this article.