Mkono wa Pole kutoka ZAWA UK

Written by  //  05/02/2012  //  Kitaifa, Matangazo  //  9 Comments

Assalamu alaykum,

Kwa niaba ya uongozi, wanachama na wazanzibari kwa ujumla, Jumuiya ya Zanzibar Welfare Association UK, inatoa mkono wa pole kwa aliekuwa mwenyekiti wa ZAWA UK na pia ni mlezi wa jumuiya hiyo kwa kwa sasa maalim Abdallah Ali na kifo cha baba yake mzazi Maalim Ali Juma, marehemu atazikwa leo huko Zanzibar.

Twamuomba Mola amughufirie madhambi yake mja wake huyo  na amuingize katika pepo zake Inshaallah.  Vile viletunamuomba Allah awape subra wafiwa wote katika kipindi hiki kigumu cha msiba huu.

Mwenyekiti ZAWA UK

Hassan M Khamis

9 Comments on "Mkono wa Pole kutoka ZAWA UK"

  1. ZANZIBAR 05/02/2012 kwa 10:45 mu ·

    INNAA LILLAAHI WA INNAA ILAYHI RAAJI’UN

    TUNAMUOMBA ALLAH AMGHUFIRIE MAREHEMU NA AMREHEMU NA AMPE KAULI THABIT NA AMPE MAKAAZI MEMA PEPONI, NA AWAPE SUBRA WAFIWA WOTE…AMIN.

  2. Salim Amar 05/02/2012 kwa 11:04 mu ·

    Inna Lillah Wainna Illayhi Rajioun

    Nachukua fursa hii pamoja na familia yangu kutoa mkono wa pole kwa Wafiwa wote na hasa Mzee wetu Maalim Abdalla.

    Tunamuombea marehemu alazwe peponi – Ameen

    Pia, tunawaombea Wafiwa wawe na subra katika kipindi hichi kigumu cha masiba/

  3. zanzibarone 05/02/2012 kwa 1:08 um ·

    INNAA LILLAHI WAINNAA ILAYHI RAAJIUUN

    TUNAMUOMBA MWENYE EZIMNGU AMUEKE BABA YETU MAALIM ALI PAHALI PEMA

    PEPONI, AAMMIN

    NA NAWAOMBEA SUBRA JAMII YA MAALIM ABDULLAH.

  4. alfola 05/02/2012 kwa 1:11 um ·

    INALILLAHI WAINA ILAHI RAJEEOUN NASI TUNATOWA MKONO WETU KWA WAFIWA.

    WAKATI HUWO HUO TUNAOMBA PANAPOTANGANZWA MSIBA UELEZWE KIDOGO

    KAMA VILE MHR MAALIM ABDULLA AKIKAA MTAA FULANI AU KASOMESHA SKULI FULANI KWENYE MIAKA FULANI, PENGINE TUNAMJUWA KWANI WAZANZIBARI SASA TUMETAWANYIKA KILA PEMBE YA ULIMWENGU TUPO.
    NATANGULIZA MSAMAHA IWAPO NIMEKOSEA .

  5. Kamshuu 05/02/2012 kwa 2:00 um ·

    INALILLAH WAINNA ILAYHI RAJIUUN

    TUNATOA MKONO WA POLE KWA WAFIWA, MOLA AMUHIFADHI KWENYE

    MOJA YA JANNAT ZAKE AMIN.

    MAALIM ALI ALIKUWA NI MTU MTARATIBU SANA KWENYE UHAI WAKE, ALIKUWA

    AKIISHI WETE, SELEM MPAKA KWENYE MIAKA YA 1975/78 NADHANI

    BAADA HAPO ALIHAMIA UNGUJA KWENYE IDARA YA MICHEZO [MENEJA WA UWANJA WA

    AMANI] ……………………………………………………..

  6. mchongoma 05/02/2012 kwa 2:12 um ·

    INNA LILAAHI WA INNAA ILAYHI RAJIUUN.

    Allahumma ja’alhu fida’a lahu mina nnar. x 3

    allahumma ja’alhu fakaaka lahu mina nnar.x3

    Wa min adhabil qabri wa min ahwaali yawmil qiyaamati, waghfri lahum warham wajma’a3naa maahum fi-daari karaamatik wamustaqar rahmatika ma’a e3baadika assalihyna wa hizbikal muflihyna.

    Allahumma dkhilhul jannat ma’al anbiya’a walmuralyn.

    Poleni nyote muliohusika na msiba huu, M/mungu atawapa subra wa selwan.

    AMEEN

    MCHONGOMA

  7. Ashakh (Kiongozi) 05/02/2012 kwa 2:55 um ·

    nami sina budi kutoa mkono wangu wa pole kwa mfiwa. Sifa za Maalim Abdallah zimeenea jiji zima la London kutokana na malezi mazuri aliyopata. Bila ya shaka hili litakuwa pengo kubwa katika maisha yake.

    Hivyo ni kuhimisha ustahamilivu, na kushukuru M/Mungu tukijuwa kuwa ni kifo ni moja kati yanguzo za maisha. Tunamtakia Maiti huyu khatma njema.

  8. Ghalib 05/02/2012 kwa 3:59 um ·

    Ina lillah waina ilaihi rajiun,tunatoa mkono wa pole nami pia,M/Mungu amlaze mahali pema baba yetu ameen.

  9. Mjomba 06/02/2012 kwa 6:31 mu ·

    Sk. Abdulla tustahamile msiba Mungu amlaze pema mzee wetu, Amin.
    - Master-

Comments are now closed for this article.