Written by salma // 10/09/2010 // Matangazo // Zima maoni
asalamu alaykum
leo katika baraza la eid baadhi ya viongozi wa dini wamehudhuria kwa wingi ikiwa ni kuunga mkono maridhiano ningependa umsikilize sheikh azzan khalid hamdan anavyoongea kuhusiana na hilo