TANGAZO LA SALA YA EID LONDON
Written by Ashakh (Kiongozi) // 08/09/2010 // Matangazo // Zima maoni
Jumuiya ya East Africa Education Foundation, Madrasa ya Manor-Park na ZAWA za nchini Uengereza wanafuraha kuwaarifu Wazanzibari na waislamu wote waishio Uengereza;
Swala ya Eidul Fitri Itaswaliwa Siku ya Ijumaa, InshaAllah.
Wakhti: SAA 8:30 Asubuhi.
Mahala: Ravidasia Community Centre,
26 Carlyle Road,
Manor Park
London, E12.
Kwa urahisi zaidi ni mkabala na duka la Sadi.
Njia zakufika: Manor park station, Bus 86,25,474,101,104
Ukumbi utakuwa wazi kuanzia 7:00 asubuhi; tujitahidini tufike mapema.
Uongozi wa jumuiya unawatakia Eid Mubarak na Funga Makubuul, Kullu aam wauntum bikhayri.
Kwaniaba ya uongozi: Ustadh Khamis: (07932721729)
Mohammed Nassor Shloli : (07940785087)




