Usafirishaji Mizigo kwenda Zanzibar Kwa Ndege

Written by  //  10/01/2012  //  Matangazo  //  Zima maoni

Assalamu alaykum,

Kwa wale watu watakao kuwa wanapendelea kusafirisha mizigo yao kutoka UK kwenda Zanzibar kwa njia ya ndege wanaweza kuwasiliana nami Hassan Mussa kupitia nambari 07588550153.

Tutakuwa tunaondosha mizigo kila siku ya jumatano Inshaallah. Mwezi mara 4 hadi Zanzibar.

Taarifa kamili ya kampuni hii zitapatikana mara tu baada ya website yake itakapokamilika Inshaallah.

Kwa upande wa Zanzibar tunatoa huduma ya door to collection point  ama Door to Door  kwa upande wa Bara ni kwa sasa ni Door to port.

Kwa malezo zaidi tafadhali wasiliana nasi kupitia nambari iliopo hapo juu.

ama tuandikie email zfd@zanzibarfast.com

Web yetu ni http://www.zanzibarfast.com

This week offer, this offer ends 04/02/2012

 

Comments are closed.