Redio

Habari za ulimwengu(Radio)

Idhaa za Kiswahili:

DW Swahili:

03:00 – 04:00 UTC

 

10:00 – 11:00 UTC

 

15:00 – 16:00 UTC

 

Sauti ya Amerika:

Alfajiri

 

Jioni

 

Vipindi

 

Radio Japan:

 

BBC:

Taarifa za Habari

Amka na BBC

Dira ya Dunia

Leo Afrika

Ombi kwa wasikilizaji:

Tafadhali kama ukiona kosa kwenye nakala hii,tunaomba ututumie barua-e anwani yetu ni admin@mzalendo.net

17 Comments on "Redio"

  1. Ameir 11/06/2009 kwa 4:42 um ·

    Vipo mbona hakuna idhaa ya kiswahili ya BBC na pia China zote zipo izo.
    Pili,Badilisha phrase BADO HAKUNA KOMENTI-hichi kiswanglish?:. Comment ni Maoni au Changia. Iwe Hakuna maoni au Hakuna mchango.

    • Administrator 02/08/2010 kwa 10:28 um ·

      Tumefanya marekebisho machache ya kiufundi hapo.Ilikuwa ukifungua hio kurasa, radio za BBC zinaanza kuplay automatically.Sasa zote zitaanza kwenye stop hadi mtumiaji akibonyeza Play.

      Hilo tatizo limegundulika leo, kwani hakuna mtumiaji alieliripoti.

      Kila la kheri

  2. Ameir 11/06/2009 kwa 4:43 um ·

    Au apo Komenti by Ameir iwe Mchango wa Ameir au Maoni ya Ameir-Dictionary nimekupa tizama maana halisi ya Comment

  3. admin 11/06/2009 kwa 4:57 um ·

    BBC hawana service ya kuwapatia watu mp3, au atleast mie sijaweza kupata link ya kudownload mp3 from BBC Swahili..

    China nilikuwa sijuwi ngoja nitafute kama ntaona mp3 zao..

    Asante kwa komenti zako…ngoja niupdate iyo translation…after all nimeupgrade WP…oops maoni

  4. admin 11/06/2009 kwa 5:10 um ·

    China hawana RSS wala mp3, kwa hiyo channel mzalendo.net haitaweza kussuport, all we can do may be put a small link to that site.

  5. JAFFAR PANDU 27/12/2010 kwa 10:55 mu ·

    JEEE HAIWEZEKANI STZ NAYO KUIPATA AKINA SS TULIOKUA MBALI( NGAMBO

  6. mapango 20/01/2011 kwa 1:36 um ·

    @Jaffar Pandu:
    Mnh STZ!, wewe mchawi nini? unataka kusikilia matangazo ya vifo?

  7. Al-Habshy 02/02/2011 kwa 5:59 um ·

    nafurahi sana bbc na mzalendo sijaisikia bado

  8. MPEMBA HALISI 03/02/2011 kwa 11:10 mu ·

    Mbona sauti ya kifaransa ya kiswahili haipo?

  9. MAMA MUMTAZ 16/02/2011 kwa 7:26 um ·

    tunafurahi sana tukisikia habari zenu

  10. Jogooo kibutu 14/07/2011 kwa 11:54 mu ·

    Fundi naomba unieleweshe nifanye nini iliniipate sauti ya BBC live.
    thank you.

  11. ukarara 16/07/2011 kwa 8:01 mu ·

    tunaomba habari zikitoka tu muturushie live ili tujue kinacho endelea kila siku. asante tunawaombea kila la heri mufanikiwe kilakitu chenu

  12. george twalib 07/08/2011 kwa 4:36 mu ·

    ilove mzalendo

  13. Habbeeeesh 23/08/2011 kwa 10:23 mu ·

    Hivi radio mzalendo kwa cmu unaikamata?

  14. Ghalib 14/10/2011 kwa 10:52 mu ·

    Haya kuadhimisha miaka 12 ya baba wa taifa,jee wa taifa gani ?

  15. X-Paster 12/01/2012 kwa 9:56 mu ·

    Assalamu Alaikum Wa Rahmatu Allah Wa Barakatuh

    Mbona hatuoni Radio za Kiislam, kama vile radio Qiblaten 103.6 FM, na Radio Imman na nyinginezo au wao hawapo online!?

  16. X-Paster 21/01/2012 kwa 8:55 um ·

    Assalamu Alaikum Wa Rahmatu Allah Wa Barakatuh

    Mbona hapo kwenye hizo radio hakuna hata link moja ya radio za Kiislam!?

Leave a Comment

You must be logged in to post a comment.