<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Maoni kwenye: Sauti:Zanzibar inaelekea wapi?</title>
	<atom:link href="http://www.mzalendo.net/sauti/zanzibar-inaelekea-wapi/feed" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.mzalendo.net/habari/sauti/zanzibar-inaelekea-wapi</link>
	<description>...Zanzibar na zama za ukweli na uwazi</description>
	<lastBuildDate>Sun, 05 Feb 2012 03:21:03 +0000</lastBuildDate>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.3.1</generator>
	<item>
		<title>Kwa: mrfroasty</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/sauti/zanzibar-inaelekea-wapi#comment-7904</link>
		<dc:creator>mrfroasty</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 26 Jul 2010 20:45:22 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=8436#comment-7904</guid>
		<description>Hakuna matangenezo yoyote kwa wakati wa matukio muhimu Zanzibar.Tumefanya mabadiliko madogo sana kwenye viungo vya site zengine hapo kwenye sidebar upande wa kulia.Lakini hio haina athari zoztoe kama unazozungumzia hapa.

Kitu ambacho nakijua mimi chapisho lina faili kubwa kidogo, hivyo ukibonyeza play inakawia kidogo na kukaa buffering.Hii haizidi dakika 3-5.

Kama bado unapata matatizo ya kiufundi wasiliana na uongozi admin@mzalendo.net au stonetown@mzalendo.net.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Hakuna matangenezo yoyote kwa wakati wa matukio muhimu Zanzibar.Tumefanya mabadiliko madogo sana kwenye viungo vya site zengine hapo kwenye sidebar upande wa kulia.Lakini hio haina athari zoztoe kama unazozungumzia hapa.</p>
<p>Kitu ambacho nakijua mimi chapisho lina faili kubwa kidogo, hivyo ukibonyeza play inakawia kidogo na kukaa buffering.Hii haizidi dakika 3-5.</p>
<p>Kama bado unapata matatizo ya kiufundi wasiliana na uongozi <a href="mailto:admin@mzalendo.net">admin@mzalendo.net</a> au <a href="mailto:stonetown@mzalendo.net">stonetown@mzalendo.net</a>.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: mrfroasty</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/sauti/zanzibar-inaelekea-wapi#comment-7903</link>
		<dc:creator>mrfroasty</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 26 Jul 2010 20:38:46 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=8436#comment-7903</guid>
		<description>@Zinduka, 

Nakufahamu kwa upande mmoja na upande mwengine napata harufu za woga kutoka kwenye maoni yako.Zanzibar kunatakiwa mhamasisho wa kugombania uhuru kwa mara ya pili au na ya mwisho inshallah.

Hivyo mie sioni ubaya wowote kwa watu wa upande wa pili kujua kama wazanzibari wamevinjari hawataki muungano.Hili nadhani wanalijua by now, wanajifanya punguani tuu...but time will tell inshallah!

@Muddy, 

Sidhani kama mkutano huo DVD yake imetufikia MZALENDO.Kwani tumefungua mtandao wakati tukio hilo la nchi si nchi lishapita...Jaribu kutembelea maktaba ya video za MZALENDO &lt;a href=&quot;http://mzalendo.blip.tv&quot; rel=&quot;nofollow&quot;&gt;mzalendo.blip.tv&lt;/a&gt;</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>@Zinduka, </p>
<p>Nakufahamu kwa upande mmoja na upande mwengine napata harufu za woga kutoka kwenye maoni yako.Zanzibar kunatakiwa mhamasisho wa kugombania uhuru kwa mara ya pili au na ya mwisho inshallah.</p>
<p>Hivyo mie sioni ubaya wowote kwa watu wa upande wa pili kujua kama wazanzibari wamevinjari hawataki muungano.Hili nadhani wanalijua by now, wanajifanya punguani tuu&#8230;but time will tell inshallah!</p>
<p>@Muddy, </p>
<p>Sidhani kama mkutano huo DVD yake imetufikia MZALENDO.Kwani tumefungua mtandao wakati tukio hilo la nchi si nchi lishapita&#8230;Jaribu kutembelea maktaba ya video za MZALENDO <a href="http://mzalendo.blip.tv" rel="nofollow">mzalendo.blip.tv</a></p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: muddy</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/sauti/zanzibar-inaelekea-wapi#comment-7902</link>
		<dc:creator>muddy</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 26 Jul 2010 20:15:08 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=8436#comment-7902</guid>
		<description>tunaomba uongozi watutilie ule mkutano wa maalim seif unao sema zanzibar sinchi tukumbushane maneno mazito ya maalim hapa na hali ya sasa zanzibar
ahsanten</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>tunaomba uongozi watutilie ule mkutano wa maalim seif unao sema zanzibar sinchi tukumbushane maneno mazito ya maalim hapa na hali ya sasa zanzibar<br />
ahsanten</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: kitamli</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/sauti/zanzibar-inaelekea-wapi#comment-7875</link>
		<dc:creator>kitamli</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 26 Jul 2010 14:55:24 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=8436#comment-7875</guid>
		<description>sawa zinduka maneno yako nakubaliana na wewe lakini wakati mwengine hisia zinakuja kutokana na uzito wa jambo lenyewe,watu wanapoonesha wanatuonea huruma ilhali wanatafuta njia ya kutumaliza huoni hapo mtu inabidi utumie kila nukta kuwazindua watu na kuwahamasisha ili wasije wakalichukulia mchezo jambo hili.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>sawa zinduka maneno yako nakubaliana na wewe lakini wakati mwengine hisia zinakuja kutokana na uzito wa jambo lenyewe,watu wanapoonesha wanatuonea huruma ilhali wanatafuta njia ya kutumaliza huoni hapo mtu inabidi utumie kila nukta kuwazindua watu na kuwahamasisha ili wasije wakalichukulia mchezo jambo hili.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: zinduka</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/sauti/zanzibar-inaelekea-wapi#comment-7872</link>
		<dc:creator>zinduka</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 26 Jul 2010 10:25:47 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=8436#comment-7872</guid>
		<description>Mf Froasty,

Ni sawa ulivyosema, lakini ufahamu pia Siasa ni umakini pia wakuhakikisha unachotaka unakipata, Kwahio Si kila wakati unaweza kuonyesha hisia zako waziwazi. Huenda ukaharibu na kumfanya Adui ashtuke na kujua unalengo baya kwake.oa nafasi ya Majadiliano ya kututoa katika lengo kuu lililopo.

Sisi sote tunajua wanaopinga kura ya Maoni Zanzibar sasa hivi na kupita chini kwa chini ni wazanzibar, na hao ndio waliokua wakijifanya Janjaweed, sasa Mwisho wao unakaribia ndio ukaona vitimbi vyao.
 
Nilisema  kipindi hichi ni cha kufanya Kura ya maoni inafanikiwa, sio kuonyesha kwamaba sisi tunamatatizo na Bara na kuonyesha hisia mbaya kwao.  haya yanaweza kuwatisha na tukitaka tusitake  Zanzibar imetawaliwa. sasa kunataka Hekma na Busara na mbinu madhubuti kufikia lengo.

Muono wangu hisia zetu wakati mwengine huwatisha hawa na hata baadhi ya maamuzi ya Wazanzibari kuyakandamiza, kwa hofu zinazotokana na hisia zetu na maneno yetu.

Ukweli tunaujua, tufanyeni kweli kivitendo sio maneno. yanayojiri nyumbani nimiongoni mwa vitendo, tuendelezeni hayo. 

Tuchezeni na wakati, baadhi ya wakati tuutumieni kuwaeleza na mwengine tufanyeni vitendo.

Narudia tena mawazo yangu, wakati huu nikukaa na kangalia hali inavyokwenda na kujadili njia zinaoweza kutumiwa kuharibu yanayojiri, sio kujadili hawa hawatupendi hayo tunajaua na tunaendelea kujua kwamba hawatupendi na ni maadui zetu.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Mf Froasty,</p>
<p>Ni sawa ulivyosema, lakini ufahamu pia Siasa ni umakini pia wakuhakikisha unachotaka unakipata, Kwahio Si kila wakati unaweza kuonyesha hisia zako waziwazi. Huenda ukaharibu na kumfanya Adui ashtuke na kujua unalengo baya kwake.oa nafasi ya Majadiliano ya kututoa katika lengo kuu lililopo.</p>
<p>Sisi sote tunajua wanaopinga kura ya Maoni Zanzibar sasa hivi na kupita chini kwa chini ni wazanzibar, na hao ndio waliokua wakijifanya Janjaweed, sasa Mwisho wao unakaribia ndio ukaona vitimbi vyao.</p>
<p>Nilisema  kipindi hichi ni cha kufanya Kura ya maoni inafanikiwa, sio kuonyesha kwamaba sisi tunamatatizo na Bara na kuonyesha hisia mbaya kwao.  haya yanaweza kuwatisha na tukitaka tusitake  Zanzibar imetawaliwa. sasa kunataka Hekma na Busara na mbinu madhubuti kufikia lengo.</p>
<p>Muono wangu hisia zetu wakati mwengine huwatisha hawa na hata baadhi ya maamuzi ya Wazanzibari kuyakandamiza, kwa hofu zinazotokana na hisia zetu na maneno yetu.</p>
<p>Ukweli tunaujua, tufanyeni kweli kivitendo sio maneno. yanayojiri nyumbani nimiongoni mwa vitendo, tuendelezeni hayo. </p>
<p>Tuchezeni na wakati, baadhi ya wakati tuutumieni kuwaeleza na mwengine tufanyeni vitendo.</p>
<p>Narudia tena mawazo yangu, wakati huu nikukaa na kangalia hali inavyokwenda na kujadili njia zinaoweza kutumiwa kuharibu yanayojiri, sio kujadili hawa hawatupendi hayo tunajaua na tunaendelea kujua kwamba hawatupendi na ni maadui zetu.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: mpapani</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/sauti/zanzibar-inaelekea-wapi#comment-7871</link>
		<dc:creator>mpapani</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 26 Jul 2010 09:30:55 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=8436#comment-7871</guid>
		<description>Uwongozi wa Mzalendo, asalam aleikum.

Ningependa kuuliza kama mtandao wa Mzalendo upo kwenye matengenezo kidogo. sababu ya kuuliza ni kuwa tangu nifunguwe habari ya.
sauti: Zanzibar inaelekea wapi?
habari zote mpya zilizokuwa kichwa cha habari zimepotea zimebaki mbili tu hata niki bofya mwanzo(home)inakuja
1:Mchango wa znz walio nje(wazanje)
2:Zanzibar inaelekea wapi?
naomba niulize ni mimi ama mitambo yenu ya kiufundi ipo kwenye matengenezo.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Uwongozi wa Mzalendo, asalam aleikum.</p>
<p>Ningependa kuuliza kama mtandao wa Mzalendo upo kwenye matengenezo kidogo. sababu ya kuuliza ni kuwa tangu nifunguwe habari ya.<br />
sauti: Zanzibar inaelekea wapi?<br />
habari zote mpya zilizokuwa kichwa cha habari zimepotea zimebaki mbili tu hata niki bofya mwanzo(home)inakuja<br />
1:Mchango wa znz walio nje(wazanje)<br />
2:Zanzibar inaelekea wapi?<br />
naomba niulize ni mimi ama mitambo yenu ya kiufundi ipo kwenye matengenezo.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: kitamli</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/sauti/zanzibar-inaelekea-wapi#comment-7870</link>
		<dc:creator>kitamli</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 26 Jul 2010 09:18:40 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=8436#comment-7870</guid>
		<description>haya mahojiano nishayasikiliza kabla na mie sioni tatizo kuwa yamewekwa tena hususan kwa kipindi hichi kuelekea kura ya maoni ningekuwa na uwezo ningependa wazanzibari wote wakayasikia haya,na naamini yangeleta athari kubwa kuwahamasisha watu kupiga kura ya ndio. haiwezekani haya maridhiano yawatie khofu wao na kutaka kudadisi nini kilichozungumzwa,kama wa kuhoji ni sisi hebu tuwachieni.
mnajua nyie nikwambieni hawa jamaa kama alivyosema ulimwengu kuwa kutokana na maelezo ya enzi talib na dr sharif anapata dalili kuwa moja ya mambo yalozungumzwa itakuwa ni masuala ya muungano na hilo ndo khasa linalokhofiwa.Inshallah allah awe pamoja na sisi lakini jamaa hawa ni hatari mbinu zao wanajua wazi kura ya ndio ndo utakuwa mwisho wa vitimbi vyao, watu wawe makini na huu ndio wakati muafaka laa sihivyo tumeingia kwenye mdomo wa chewa Mungu atuepushe na hilo inshallah.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>haya mahojiano nishayasikiliza kabla na mie sioni tatizo kuwa yamewekwa tena hususan kwa kipindi hichi kuelekea kura ya maoni ningekuwa na uwezo ningependa wazanzibari wote wakayasikia haya,na naamini yangeleta athari kubwa kuwahamasisha watu kupiga kura ya ndio. haiwezekani haya maridhiano yawatie khofu wao na kutaka kudadisi nini kilichozungumzwa,kama wa kuhoji ni sisi hebu tuwachieni.<br />
mnajua nyie nikwambieni hawa jamaa kama alivyosema ulimwengu kuwa kutokana na maelezo ya enzi talib na dr sharif anapata dalili kuwa moja ya mambo yalozungumzwa itakuwa ni masuala ya muungano na hilo ndo khasa linalokhofiwa.Inshallah allah awe pamoja na sisi lakini jamaa hawa ni hatari mbinu zao wanajua wazi kura ya ndio ndo utakuwa mwisho wa vitimbi vyao, watu wawe makini na huu ndio wakati muafaka laa sihivyo tumeingia kwenye mdomo wa chewa Mungu atuepushe na hilo inshallah.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: Kumbe</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/sauti/zanzibar-inaelekea-wapi#comment-7867</link>
		<dc:creator>Kumbe</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 26 Jul 2010 01:05:32 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=8436#comment-7867</guid>
		<description>Asalam aleykum

Kadri siku zinavyokwenda hata wale wasojua basi sasa wanajua kwamba huo udugu wa Zanzibar na Tanganyika ni wa kinafiki. Hamu yao kuona wazanzibari waendelee kuwa duni ili wao wamalize kuchukua kila kitu.

Watu hawa wanambinu nyingi, moja ni kuwachukua viongozi wetu na kuwaziba macho hata wengine kufika wao kujivua uzanzibari wake bila ya kujitambua kwa kufadhiliwa serikali ya bara.

Tizama namna watu hawa walivyo na sumu mbaya hata wengine hivi sasa wanaona makala hii haikufaa kuwekwa hapa kwa kisingizio imepitwa na wakati kwani kuna mambo mengine yanayoendelea sasa, hebu tufahamishane hayo yanayoendelea sasa kiini chake ndio hichi kinachozungumzwa hapa.

Vijana tunahitajika kuijua historia yetu, bila ya historia mabadiliko yetu yataongozwa na hawa kina ulimwengu wanaojivutia kila kitu upande wao. Eti wanadai nao wanaumwa kuona kuna machafuko Zanzibar na kufika kuthubutu kusema wakati Tanzania (Tanganyika)inajivunia kutoa hifadhi kwa wakimbizi,Zanzibar inazalisha wakimbizi.

Kwanini ndugu zetu hawa wasije mbio Zanzibar ili tusiingie aibu ya kuzalisha wakimbizi au zanzibar sio Tanzania?

Jambo lakushangaza, msemaji anakiri kushindwa kwa Rais wa Tanzania kuweka sawa hali ya Zanzibar, sasa wazanzibar wanatafuta njia zao anahoja milioni moja kwanini wanataka kufahamiana na kuishi kwa amani.

Huu wakati wa vitendo sio wakati wa maneno, AMKENI vijana msizibwe macho na ULIMWENGU. Tusiwe sisi tu ndio tunaona vibaya kusema na kufanya kweli, tufahamu kuwa kama sisi tunaona vibaya wenzetu hawaoni vibaya na wako tayari kufanya lolote kuhakikisha tunaendelea kuwa &quot;hewallah&quot; kwao daima.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Asalam aleykum</p>
<p>Kadri siku zinavyokwenda hata wale wasojua basi sasa wanajua kwamba huo udugu wa Zanzibar na Tanganyika ni wa kinafiki. Hamu yao kuona wazanzibari waendelee kuwa duni ili wao wamalize kuchukua kila kitu.</p>
<p>Watu hawa wanambinu nyingi, moja ni kuwachukua viongozi wetu na kuwaziba macho hata wengine kufika wao kujivua uzanzibari wake bila ya kujitambua kwa kufadhiliwa serikali ya bara.</p>
<p>Tizama namna watu hawa walivyo na sumu mbaya hata wengine hivi sasa wanaona makala hii haikufaa kuwekwa hapa kwa kisingizio imepitwa na wakati kwani kuna mambo mengine yanayoendelea sasa, hebu tufahamishane hayo yanayoendelea sasa kiini chake ndio hichi kinachozungumzwa hapa.</p>
<p>Vijana tunahitajika kuijua historia yetu, bila ya historia mabadiliko yetu yataongozwa na hawa kina ulimwengu wanaojivutia kila kitu upande wao. Eti wanadai nao wanaumwa kuona kuna machafuko Zanzibar na kufika kuthubutu kusema wakati Tanzania (Tanganyika)inajivunia kutoa hifadhi kwa wakimbizi,Zanzibar inazalisha wakimbizi.</p>
<p>Kwanini ndugu zetu hawa wasije mbio Zanzibar ili tusiingie aibu ya kuzalisha wakimbizi au zanzibar sio Tanzania?</p>
<p>Jambo lakushangaza, msemaji anakiri kushindwa kwa Rais wa Tanzania kuweka sawa hali ya Zanzibar, sasa wazanzibar wanatafuta njia zao anahoja milioni moja kwanini wanataka kufahamiana na kuishi kwa amani.</p>
<p>Huu wakati wa vitendo sio wakati wa maneno, AMKENI vijana msizibwe macho na ULIMWENGU. Tusiwe sisi tu ndio tunaona vibaya kusema na kufanya kweli, tufahamu kuwa kama sisi tunaona vibaya wenzetu hawaoni vibaya na wako tayari kufanya lolote kuhakikisha tunaendelea kuwa &#8220;hewallah&#8221; kwao daima.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: mrfroasty</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/sauti/zanzibar-inaelekea-wapi#comment-7866</link>
		<dc:creator>mrfroasty</dc:creator>
		<pubDate>Sun, 25 Jul 2010 21:57:04 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=8436#comment-7866</guid>
		<description>@Zinduka, 

Kwa kweli huo mjadala personally naupenda kwa vile umeonesha wazi watu ambao wanajiita wasomi na hawakuonesha kama wana nia yoyote njema na Zanzibar.

Hivyo mjadala huu unatusomesha jinsi gani haswa wenzetu mtazamo wao juu ya Zanzibar.Wakati wazanzibari wanadhani Zanzibar ni nchi ilioungana na Tanganyika.Wenzao wa upande wa pili wanahisi kuwa Zanzibar ni sawa na mkoa tuu mwengine wowote, na wanaona ni haki kwa Zanzibar kupotea na kuwa mkoa.

Si watanganyika wengi wanaotazama Zanzibar kama ni nchi na kueka heshima.Hapo ukisikiliza hao jamaa, utaona ni wabinafsi and they are far from being called Political Analysts by professional.Wameonesha ubinafsi wa hali ya juu, ambao unaonesha wazi jinsi wanavyoikandamiza Zanzibar.

Na hili tunapenda lijulikane Zanzibar.Ni majuzi tuu Msekwa katoka alikotoka anadai tumeunganisha nchi kwa udugu....ndugu ndio wanavyofanyiana hivi ????

Hivyo makala iko katika muda muafaka kwa mtazamo wangu...unless otherwise.But anyway normally tunajaribu kuchapa makala mpya, lakini leo ni sunday tunaweza jikumbusha wasomi wetu wale wa kutoka Butiama!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>@Zinduka, </p>
<p>Kwa kweli huo mjadala personally naupenda kwa vile umeonesha wazi watu ambao wanajiita wasomi na hawakuonesha kama wana nia yoyote njema na Zanzibar.</p>
<p>Hivyo mjadala huu unatusomesha jinsi gani haswa wenzetu mtazamo wao juu ya Zanzibar.Wakati wazanzibari wanadhani Zanzibar ni nchi ilioungana na Tanganyika.Wenzao wa upande wa pili wanahisi kuwa Zanzibar ni sawa na mkoa tuu mwengine wowote, na wanaona ni haki kwa Zanzibar kupotea na kuwa mkoa.</p>
<p>Si watanganyika wengi wanaotazama Zanzibar kama ni nchi na kueka heshima.Hapo ukisikiliza hao jamaa, utaona ni wabinafsi and they are far from being called Political Analysts by professional.Wameonesha ubinafsi wa hali ya juu, ambao unaonesha wazi jinsi wanavyoikandamiza Zanzibar.</p>
<p>Na hili tunapenda lijulikane Zanzibar.Ni majuzi tuu Msekwa katoka alikotoka anadai tumeunganisha nchi kwa udugu&#8230;.ndugu ndio wanavyofanyiana hivi ????</p>
<p>Hivyo makala iko katika muda muafaka kwa mtazamo wangu&#8230;unless otherwise.But anyway normally tunajaribu kuchapa makala mpya, lakini leo ni sunday tunaweza jikumbusha wasomi wetu wale wa kutoka Butiama!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: zinduka</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/habari/sauti/zanzibar-inaelekea-wapi#comment-7865</link>
		<dc:creator>zinduka</dc:creator>
		<pubDate>Sun, 25 Jul 2010 21:48:56 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?p=8436#comment-7865</guid>
		<description>Mimi nahisi Mr Frost hii makala uiondoe, kwani Wazanzibari tunayo yanayotushughulisha kwa sasa, Tujaribuni kwenda mbele, tusirudi nyuma. Tukawa tunajadili amambo yaliopita.

Tuwekeeni Matokeo yanayojiri Nyumbani ndio lamsingi kwasasa.

Mimi nashauri katika kuweka hizi makala ukurasa wa mbele nimuhimu zikawa ni Habari Mpya zinazokwendana na Hali halisi inayoendelea Nyumbani.

Tusijaribu kuwaondoa watu katika Mood ya Kura yamaoni.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Mimi nahisi Mr Frost hii makala uiondoe, kwani Wazanzibari tunayo yanayotushughulisha kwa sasa, Tujaribuni kwenda mbele, tusirudi nyuma. Tukawa tunajadili amambo yaliopita.</p>
<p>Tuwekeeni Matokeo yanayojiri Nyumbani ndio lamsingi kwasasa.</p>
<p>Mimi nashauri katika kuweka hizi makala ukurasa wa mbele nimuhimu zikawa ni Habari Mpya zinazokwendana na Hali halisi inayoendelea Nyumbani.</p>
<p>Tusijaribu kuwaondoa watu katika Mood ya Kura yamaoni.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>

