Taarab
| TAARABU MBALI MBALI KUTOKA ZANZIBAR | |
|---|---|
| Bashraf | |
| Afkari | |
| Usijigambe | |
| Kanilemaza | |
| Nnazama | |
| Ukinichungua | |
| Masikini Roho Yako | |
| Wasikitisha | |
| Waridi Lisilo Na Mwiba | |
| Nipepee | |
| Pendo kitu cha khiari | |
| Cheo chako | |
| Nimekonda Kama Uzi | |
| Dhahabu | |
| Hidaya | |
| Jipeleleze | |
| Jua toka-Bi.Kidude | |
| Khofu yako ondoa-Mohd Ilyas | |
| Wache waseme-Machaprala | |
| Naomba kwako-Machaprala | |
| Kwa moyo wa ukunjufu-R.Ramadhan | |
| Cheka -Ratiba | |
| ASPYL | |
| Afro/Tanu | |
| Amtendae | |
| Furaha | |
| Hunitaki sikutaki | |
| Mzigo | |
| Mpita Njiani | |
| Niahidi dunia | |
| Njoo Mpenzi | |
| Ushoga | |
| Uyashike | |
| Vumilio |
Ombi kwa wapenzi wa taarab
Kama unazo nyimbo za taarab asilia na utapendelea kuwapatia wapenzi wengine tafadhali tutumie nyimbo hizo na tutaziweka hapa.Hizi ndio taarab zote zilizofika MZALENDO.NET hadi sasa.Na hatujapokea nyimbo nyengine.
Jinsi ya kututumia nyimbo {Maelezo haya yanahitaji Internet}
Kutuma nyimbo kwetu ni rahisi sana kwa kutumia teknolojia inayoitwa File Transfer Protocol yaani FTP.Kama umezowea kufungua My Pictures, au My Documents kwenye komputa yako basi hakuna tofauti yoyote na njia hii ya FTP.Kawaida unafungua My Documents,My Pictures sasa badala yake ya My Pictures au My Documents hapo juu kwenye address bar na andika anwani yetu ftp://mzalendo.net/upload/ na ubonyeze kitufe cha “‘Enter”.Hapa utakuwa umefungua Folda linaloitwa upload liliko kwenye komputa ya MZALENDO.NET, na unaweza kukopi mafaili na kuyapaste.Fanya stahmala kidogo, kwasababu mafaili yanasafirishwa kuenda komputa ilioko masafa ya mbali.
Hatua za kutuma mafaili
- Fungua Window Explorer kama ifuatavyo:Start->All Programs->Accessories->Window Explorer
- Kawaida utaona kwenye address bar My Documents, futa na andika ftp://zanbytes.com/upload ikifuatia na kubonyeza “Enter”
- Kopi na Paste mafaili yote ya taarabu kwenye window uliyofungua kwenye hatua 2, na usubiri au uendelee na pirika zako kwa kuacha mafaili hayo yasafirishwe kuja kwenye mitambo yetu.
Ufafanuzi wa picha:
- step1
- step2
Nukuu:
Ushauri tungeliomba usipasti mafaili mengi kwa wakati mmoja, haswa kama uko Afrika Mashariki.
Asanteni





6 Comments on "Taarab"
tunaomba tuwekewe nyimbo za bakari abeid iwe ni moja ya kumbukumbu ya mzee wetu.
mimi sina la ziada ila nawatakia maisha mema na yenye furaha katika mwaka mpya 2011.
naomba tusikate mawasiliano baina yetu.
mie nilikuwa naomba nyimbo ya ukewnza kama munayo ya marehemu sami haji dau
tunaomba tuwekewe nyimbo za bakari abeid iwe ni moja ya kumbukumbu ya mzee wetu.
a/a DAUD Mohamed.
vipi mwenzangu umepata nyimbo ya Sami Haji Dau ya ukewenza ?