Khadija Baramia

TAARABU MBALI MBALI KUTOKA ZANZIBAR
wenda-kesha-kisimani  
Bustani  
Mapenzi Yamenisibu  
Mpeni Pole  
Wadhanifu  
Pendo la moyoni  
Kiasi nimkatae  
Subiri  
Mapenzi yako matamu  

7 Comments on "Khadija Baramia"

  1. Mere Mwaipopo 28/11/2009 kwa 12:51 mu ·

    Ukweli Dada huyu anaimba vizuri sana ukilinganisha na Waimbaji wengine wa Zanzibar.

    Nampongeza sana sana

    • muhanah 03/01/2011 kwa 2:07 um ·

      wewe hauja wasikia waimbaji, kuna waimbaji wengi wazuri zanzibar

  2. hightide 09/11/2010 kwa 1:38 um ·

    mashairi ,muimbaji na vinanda vimepangilika vyema,mihemo ya sauti iko sawa ,nampongeza kwa uimbaji wa hisia kali.

  3. Mussa Abubakar 14/03/2011 kwa 7:25 um ·

    Kiukweli huyu Dada ndie muimbaji wa kike waliowahi kutokea ZANZIBAR…Taarabu ni nyimbo ambazo hua na utulivu..kuburudisha na kuleta hisia kwa hadhira..Fortunately Bi Khadija amefanikwa kwa hilo….Ninachokiona kwa waimbaji wengine wa kike wa znz ni kupiga zogo..Ingawa kuna baadhi yao wanaojitahidi km Mwanahawa Ali,Sabah Salum, Rukia Ramadhan, Khadija Kopa bila kumsahau. Khadija Yussuf…..
    Haina maana kwamba niliokua sikuawataja hawaimbi vizuri…. but kwa upande wangu hawa nilowataja nyimbo zao naweza kuckiliza na hasa wanapoimba old taarabu co modern taarabu anayoimba Mzee Yussuf haijulikani kama ni mordern Taarabu Old Taarabu wala Bolingo ipo ipo tu

  4. TEDDYBOY 16/03/2011 kwa 11:21 mu ·

    IT’S TRUE HOME SWEET HOME sasa ndio nagunduwa umuhimu na asili, i love taarab just becouse zinanikumbusha mengi maishani, kiundani old taarab zina raha ya fumbo na mafunzo ukiridhia utasinzia sio kama sasa matusi na mipasho

  5. umfatma 07/07/2011 kwa 7:30 um ·

    Nyimbo hii inanikumbusha mbali KIKWAJUNI zama za NUR-LUYUN
    zaidi ya miaka 22 tokea nihame zánzibar. Iko wapi zanzibar ya zaman
    Hongera da Khadija hatokei mfano wako!!

  6. Othman 28/07/2011 kwa 2:26 um ·

    kiukweli hasa dada anajua kuimba nyombo zimetulia hasa,.nauliza hivi kulikua na chuo ambacho kilikua kinafundisha kuimba au ni kipaji tuu ,manaake mimi nilikua bado sijazaliwa kipindi hicho hebu naomba jibu kwa ambao wenzangu wanajua au walikuwepo katika kipindi icho.

Leave a Comment

You must be logged in to post a comment.