<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Maoni kwenye: Khadija Baramia</title>
	<atom:link href="http://www.mzalendo.net/taarab/khadija-baramia/feed" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.mzalendo.net</link>
	<description>...Zanzibar na zama za ukweli na uwazi</description>
	<lastBuildDate>Sun, 05 Feb 2012 03:21:03 +0000</lastBuildDate>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.3.1</generator>
	<item>
		<title>Kwa: Othman</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/taarab/khadija-baramia#comment-31434</link>
		<dc:creator>Othman</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 28 Jul 2011 14:26:40 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?page_id=5729#comment-31434</guid>
		<description>kiukweli hasa dada anajua kuimba nyombo zimetulia hasa,.nauliza hivi kulikua na chuo ambacho kilikua kinafundisha kuimba au ni kipaji tuu ,manaake mimi nilikua bado sijazaliwa kipindi hicho hebu naomba jibu kwa ambao wenzangu wanajua au walikuwepo katika kipindi icho.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>kiukweli hasa dada anajua kuimba nyombo zimetulia hasa,.nauliza hivi kulikua na chuo ambacho kilikua kinafundisha kuimba au ni kipaji tuu ,manaake mimi nilikua bado sijazaliwa kipindi hicho hebu naomba jibu kwa ambao wenzangu wanajua au walikuwepo katika kipindi icho.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: umfatma</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/taarab/khadija-baramia#comment-30189</link>
		<dc:creator>umfatma</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 07 Jul 2011 19:30:41 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?page_id=5729#comment-30189</guid>
		<description>Nyimbo hii inanikumbusha mbali KIKWAJUNI zama za NUR-LUYUN
zaidi ya miaka 22 tokea nihame zánzibar. Iko wapi zanzibar ya zaman
Hongera da Khadija hatokei  mfano wako!!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Nyimbo hii inanikumbusha mbali KIKWAJUNI zama za NUR-LUYUN<br />
zaidi ya miaka 22 tokea nihame zánzibar. Iko wapi zanzibar ya zaman<br />
Hongera da Khadija hatokei  mfano wako!!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: TEDDYBOY</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/taarab/khadija-baramia#comment-23241</link>
		<dc:creator>TEDDYBOY</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 16 Mar 2011 11:21:08 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?page_id=5729#comment-23241</guid>
		<description>IT&#039;S TRUE HOME SWEET HOME sasa ndio nagunduwa umuhimu na asili, i love taarab just becouse zinanikumbusha mengi maishani, kiundani old taarab zina raha ya fumbo na mafunzo ukiridhia utasinzia sio kama sasa matusi na mipasho</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>IT&#8217;S TRUE HOME SWEET HOME sasa ndio nagunduwa umuhimu na asili, i love taarab just becouse zinanikumbusha mengi maishani, kiundani old taarab zina raha ya fumbo na mafunzo ukiridhia utasinzia sio kama sasa matusi na mipasho</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: Mussa Abubakar</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/taarab/khadija-baramia#comment-23139</link>
		<dc:creator>Mussa Abubakar</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 14 Mar 2011 19:25:52 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?page_id=5729#comment-23139</guid>
		<description>Kiukweli huyu Dada ndie muimbaji wa kike waliowahi kutokea ZANZIBAR...Taarabu ni nyimbo ambazo hua na utulivu..kuburudisha na kuleta hisia kwa hadhira..Fortunately Bi Khadija amefanikwa kwa hilo....Ninachokiona kwa waimbaji wengine wa kike wa znz ni kupiga zogo..Ingawa kuna baadhi yao wanaojitahidi km Mwanahawa Ali,Sabah Salum, Rukia Ramadhan, Khadija Kopa bila kumsahau. Khadija Yussuf.....
Haina maana kwamba niliokua sikuawataja hawaimbi vizuri.... but kwa upande wangu hawa nilowataja nyimbo zao naweza kuckiliza na hasa wanapoimba old taarabu co modern taarabu anayoimba Mzee Yussuf haijulikani kama ni mordern Taarabu Old Taarabu wala Bolingo ipo ipo tu</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Kiukweli huyu Dada ndie muimbaji wa kike waliowahi kutokea ZANZIBAR&#8230;Taarabu ni nyimbo ambazo hua na utulivu..kuburudisha na kuleta hisia kwa hadhira..Fortunately Bi Khadija amefanikwa kwa hilo&#8230;.Ninachokiona kwa waimbaji wengine wa kike wa znz ni kupiga zogo..Ingawa kuna baadhi yao wanaojitahidi km Mwanahawa Ali,Sabah Salum, Rukia Ramadhan, Khadija Kopa bila kumsahau. Khadija Yussuf&#8230;..<br />
Haina maana kwamba niliokua sikuawataja hawaimbi vizuri&#8230;. but kwa upande wangu hawa nilowataja nyimbo zao naweza kuckiliza na hasa wanapoimba old taarabu co modern taarabu anayoimba Mzee Yussuf haijulikani kama ni mordern Taarabu Old Taarabu wala Bolingo ipo ipo tu</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: muhanah</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/taarab/khadija-baramia#comment-17089</link>
		<dc:creator>muhanah</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 03 Jan 2011 14:07:42 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?page_id=5729#comment-17089</guid>
		<description>wewe hauja wasikia waimbaji, kuna waimbaji wengi wazuri zanzibar</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>wewe hauja wasikia waimbaji, kuna waimbaji wengi wazuri zanzibar</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: hightide</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/taarab/khadija-baramia#comment-13559</link>
		<dc:creator>hightide</dc:creator>
		<pubDate>Tue, 09 Nov 2010 13:38:18 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?page_id=5729#comment-13559</guid>
		<description>mashairi ,muimbaji na vinanda vimepangilika vyema,mihemo ya sauti iko sawa ,nampongeza kwa uimbaji wa hisia kali.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>mashairi ,muimbaji na vinanda vimepangilika vyema,mihemo ya sauti iko sawa ,nampongeza kwa uimbaji wa hisia kali.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: Mere Mwaipopo</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/taarab/khadija-baramia#comment-727</link>
		<dc:creator>Mere Mwaipopo</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 27 Nov 2009 22:51:26 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?page_id=5729#comment-727</guid>
		<description>Ukweli Dada huyu anaimba vizuri sana ukilinganisha na Waimbaji wengine wa Zanzibar.

Nampongeza sana sana</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Ukweli Dada huyu anaimba vizuri sana ukilinganisha na Waimbaji wengine wa Zanzibar.</p>
<p>Nampongeza sana sana</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>

