<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Maoni kwenye: Old is gold  &#8211; 1</title>
	<atom:link href="http://www.mzalendo.net/taarab/old-is-gold-1/feed" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.mzalendo.net</link>
	<description>...Zanzibar na zama za ukweli na uwazi</description>
	<lastBuildDate>Sun, 05 Feb 2012 03:21:03 +0000</lastBuildDate>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.3.1</generator>
	<item>
		<title>Kwa: mimi wewe</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/taarab/old-is-gold-1#comment-36197</link>
		<dc:creator>mimi wewe</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 17 Nov 2011 17:57:45 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?page_id=14359#comment-36197</guid>
		<description>NAOMBA WIMBO WA BARAGUMU,SIKU YA MASIKU NA MALKIA WA NYUMBANI</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>NAOMBA WIMBO WA BARAGUMU,SIKU YA MASIKU NA MALKIA WA NYUMBANI</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: hilal</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/taarab/old-is-gold-1#comment-36173</link>
		<dc:creator>hilal</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 17 Nov 2011 10:17:00 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?page_id=14359#comment-36173</guid>
		<description>naomba niwekeeni ile nyimbo mpunga unavyo twangwa</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>naomba niwekeeni ile nyimbo mpunga unavyo twangwa</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: mwanafitri</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/taarab/old-is-gold-1#comment-31426</link>
		<dc:creator>mwanafitri</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 28 Jul 2011 11:18:56 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?page_id=14359#comment-31426</guid>
		<description>mm naomba nielekezwe njia gan nitumie kupata kasida za zanzibar kwa mfano kama madrasatul kadiria, nasearchknw internet lkn sipati</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>mm naomba nielekezwe njia gan nitumie kupata kasida za zanzibar kwa mfano kama madrasatul kadiria, nasearchknw internet lkn sipati</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: has</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/taarab/old-is-gold-1#comment-16635</link>
		<dc:creator>has</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 30 Dec 2010 08:53:27 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?page_id=14359#comment-16635</guid>
		<description>Naomba mutuweke nyimbo yenyewe tuki click tuweze kuisoma hatutaki majina tu ya nyimbo kwani tunayajuwa,turekebishieni hili.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Naomba mutuweke nyimbo yenyewe tuki click tuweze kuisoma hatutaki majina tu ya nyimbo kwani tunayajuwa,turekebishieni hili.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: zamko</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/taarab/old-is-gold-1#comment-13928</link>
		<dc:creator>zamko</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 15 Nov 2010 20:34:45 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?page_id=14359#comment-13928</guid>
		<description>Jamani naomba niwekeeni ile nyimbo ya

 kibao chake makumbi ndicho anachokalia, hatanawe havinimbi wataka kunichezea. nafikiri imeimbwa na bibi Rukia ramadhani.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Jamani naomba niwekeeni ile nyimbo ya</p>
<p> kibao chake makumbi ndicho anachokalia, hatanawe havinimbi wataka kunichezea. nafikiri imeimbwa na bibi Rukia ramadhani.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: awena</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/taarab/old-is-gold-1#comment-13712</link>
		<dc:creator>awena</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 12 Nov 2010 18:53:28 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?page_id=14359#comment-13712</guid>
		<description>mwanangu maneno msumar uloyasema</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>mwanangu maneno msumar uloyasema</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: khalef</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/taarab/old-is-gold-1#comment-13553</link>
		<dc:creator>khalef</dc:creator>
		<pubDate>Tue, 09 Nov 2010 09:15:05 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?page_id=14359#comment-13553</guid>
		<description>taraab ni yetu na rusharoho ni yawabongo na itabaki hivyohivyo....</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>taraab ni yetu na rusharoho ni yawabongo na itabaki hivyohivyo&#8230;.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Kwa: ashakh</title>
		<link>http://www.mzalendo.net/taarab/old-is-gold-1#comment-5234</link>
		<dc:creator>ashakh</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 24 May 2010 09:09:55 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.mzalendo.net/?page_id=14359#comment-5234</guid>
		<description>Ahsante Mkuu;

Sasa hivi utawafanya Wazalendo wakumbukie zile enzi zao wakati wako Bwawani, Haelessellasi, NgomeKongwe, au Forodhanni.

Hata hivyo sinabudi kutoa maoni yangu kuhusianan na page hii. 
Tunahitaji kutofautisha baina ya TAARAB na RUSHAROHO. Hivi ni vitu viwili tofauti. Kazi hii ningewaachia wenyewe kina Maalim Idd Farhan, Sh Bakar Abeid, nk, kwani wao ndio SIKIO (wengine ni ndewe tu).

Lakini ninavyo fahamu nikuwa TAARAB inatokana na neno na muziki wa kiarab hususan Misri. Ilipoiingia taarab Zanzibar, Wazanzibar waliibadilisha kidogo ili iendane na mazingira na lafdhi ya lugha ya Kishwahili.

Mwanzoni mwa miaka ya 90s, Wazanzibar haohao, waliona ipo haja ya kuboresha au kuvumbua aina mpya ya muziki wetu. Mwanzo walikuja na aina ya MODERN TAARAB. Hii haikuwa na tofauti saana na ile taarab tuliyozoweya. Kwani mashairi yalikuwa ni yaleyale yanajengeka kwa vina, mizani na vibwagizo. Pia mashairi yake yalikuwa na mfumo hulehule wa kifasihi.

Wakati ulifika, wasanii wetu mojakwamoja waliubadilisha mtiririko mzima. Walianza na kutunga mashairi amabyo ni tofauti na yale tuliyozoweya, utumiaji wa ala mpya, zaidi walibadilisha mfumo mzima wa taarab. Hapo ndio lilipozumbuliwa neno RUSHAROHO.

Ili kukuza lugha yetu ipi haja ya kuangalia kwa kina toauti hizi katika muziki wetu. Ikiwa jina RUSHAROHO haliendani, ni wakati wa wasanii wetu wa lugha kutafuta neno jengine na kulibandika katika aina hii ya muziki.

Mwisho nawaomba kadri tunavyouweleza muziki wetu hatuna budi kuonesha tofauti hii.
TAARAB ibaki kuwa ni taarab.
RUSHOROHO ibaki kuwa ni rusharoho.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Ahsante Mkuu;</p>
<p>Sasa hivi utawafanya Wazalendo wakumbukie zile enzi zao wakati wako Bwawani, Haelessellasi, NgomeKongwe, au Forodhanni.</p>
<p>Hata hivyo sinabudi kutoa maoni yangu kuhusianan na page hii.<br />
Tunahitaji kutofautisha baina ya TAARAB na RUSHAROHO. Hivi ni vitu viwili tofauti. Kazi hii ningewaachia wenyewe kina Maalim Idd Farhan, Sh Bakar Abeid, nk, kwani wao ndio SIKIO (wengine ni ndewe tu).</p>
<p>Lakini ninavyo fahamu nikuwa TAARAB inatokana na neno na muziki wa kiarab hususan Misri. Ilipoiingia taarab Zanzibar, Wazanzibar waliibadilisha kidogo ili iendane na mazingira na lafdhi ya lugha ya Kishwahili.</p>
<p>Mwanzoni mwa miaka ya 90s, Wazanzibar haohao, waliona ipo haja ya kuboresha au kuvumbua aina mpya ya muziki wetu. Mwanzo walikuja na aina ya MODERN TAARAB. Hii haikuwa na tofauti saana na ile taarab tuliyozoweya. Kwani mashairi yalikuwa ni yaleyale yanajengeka kwa vina, mizani na vibwagizo. Pia mashairi yake yalikuwa na mfumo hulehule wa kifasihi.</p>
<p>Wakati ulifika, wasanii wetu mojakwamoja waliubadilisha mtiririko mzima. Walianza na kutunga mashairi amabyo ni tofauti na yale tuliyozoweya, utumiaji wa ala mpya, zaidi walibadilisha mfumo mzima wa taarab. Hapo ndio lilipozumbuliwa neno RUSHAROHO.</p>
<p>Ili kukuza lugha yetu ipi haja ya kuangalia kwa kina toauti hizi katika muziki wetu. Ikiwa jina RUSHAROHO haliendani, ni wakati wa wasanii wetu wa lugha kutafuta neno jengine na kulibandika katika aina hii ya muziki.</p>
<p>Mwisho nawaomba kadri tunavyouweleza muziki wetu hatuna budi kuonesha tofauti hii.<br />
TAARAB ibaki kuwa ni taarab.<br />
RUSHOROHO ibaki kuwa ni rusharoho.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>

