All posts tagged uchaguzi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akitoa salamu za mwaka mpya wa 2011 kwa wananchi wa Zanzibar,kwa kuwatakia kheri ya mwaka mpya, kuwa na Amani na Utulivu,bila ya kuwa na migogoro ya aina yoyote,aliyasema hayo jana Ikulu Mjini Zanzibar. PIcha na Ramadhan Othman, Ikulu.
Rais wa Zanzibar akabidhiwa repoti na EU
10/02/2011, 4 Comments

Na Salma Said, KIONGOZI Mkuu wa waangalizi wa uchaguzi kutoka Jumuiya ya Ulaya (EU), Bwana David Martin amekabidhi taari ...

Sauti:Tathmini ya uchaguzi wa 2010
14/12/2010, 1 Comment

Salma Said: Asalamu alaykum leo tokea asubuhi katika hoteli ya Zanzibar Ocen View kulifanyika mkutano wa wadau wa uchagu ...

Maalim Seif ataka maelezo ya Polisi
02/12/2010, 5 Comments

NA MWINYI SADALLAH Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad Jeshi la Polisi Zanzibar limetakiwa ku ...

MAALIM SEIF: Uchaguzi wa Zanzibar ulikua safi hauna GHIBA?
02/12/2010, 6 Comments

MAKAMU wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, amewathibitishia viongozi na wanachama wa chama cha CUF ...

Jukumu la polisi ni kuelewa dhana ya GNU – polisi
29/11/2010, Zima maoni

Na Salma Said, JESHI la Polisi Zanzibar limesema jukumu linalowakabili kwa sasa baada ya uchaguzi mkuu kumalizika ni kue ...

Tuangalie Mbele, washindi ni wazanzibari
19/11/2010, 5 Comments

Othman Miraji, Ushindi una wakunga wengi! Lakini mara hii haikataliki kwamba ni Wazanzibari wote walio wakunga wa ushind ...

MATOKEO YA UCHAGUZI MDOGO HAYA HAPA
14/11/2010, 10 Comments

Jimbo la Mwanakwerekwe mshindi ni CCM 2975, CUF 1971, MAKINI 28, NCCR 7, TADEA 10, UPDP 9 NA TLP 5 Jimbo la Magogoni msh ...